Mtutuwandei
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 1,317
- 1,817
Vile vituo vya mafuta vya serikali vimefikia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefikiia kuwa JF expert member kwa post hizii hizi au ulitoa rushwa kwa Maxence Melo?Imefikia hatua hiyo ili iweze ku experience kile ambacho wafanya biashara wengi wanakilalamikia ili kujiridhisha
Hilo duka litakuwa na uuzaji wa bidhaa gani sasa! Ili ku experience hicho wanachokisema, Labda kama yatakuwa mengi kama idadi za bidhaa zinazouzwa hapo K/KOO halafu na wao hayo mapato yao yatakuwa yanafanyia nini?Imefikia hatua hiyo ili iweze ku experience kile ambacho wafanya biashara wengi wanakilalamikia ili kujiridhisha
Ni uthibitisho kua TANZANIA sio NCHI nikijisehemu tu cha SOMALIA kilichopo EAST AFRICAHilo duka litakuwa na uuzaji wa bidhaa gani sasa! Ili ku experience hicho wanachokisema, Labda kama yatakuwa mengi kama idadi za bidhaa zinazouzwa hapo K/KOO halafu na wao hayo mapato yao yatakuwa yanafanyia nini?
Hii ni style mpya ya upigaji hii yani waziwazi wameona haitoshi wanavyokula hela za mlalahoi kwa wizi na ufisadi kwenye miradi mbalimbali ya kiserikali sasa wanaenda kuchukua hadi hela za wahemeaji bidhaa hapo town...
Watakua wanauza EFD mashineWatakuwa wanauza nini? Kuna tofauti kubwa kati ya kuku wa kienyeji na wa kufugwa
Zipo ofisi zinazo shughulika haya mambo ya uuzaji wa mashine pale fire kwenye KFC unapanda juu gorofa ya nne wapo!Watakua wanauza EFD mashine
Yako vizuri sana Kila kituo Cha afya kina duka na hospital kubwa Zina maduka yanaendelea .Wamuulize Jiwe yale maduka yake ya MSD yanaendeleaje
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Yani sisi vita yetu ni kupiga hela na kujilimbikizia baada ya hapo unakufa after 5yrsNi uthibitisho kua TANZANIA sio NCHI nikijisehemu tu cha SOMALIA kilichopo EAST AFRICA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipo kimoja pale nxuguni wanajaza mafuta kwa Bei ya 1500Vile vituo vya mafuta vya serikali vimefikia wapi?
Na shemeji yake ndio Mimi. Nafikiria kumfukuza hapa kwanguanakula kwa shemeji huyu
Kama ni kweli, ni upuuzi uliotukuka;Imefikia hatua hiyo ili iweze ku experience kile ambacho wafanya biashara wengi wanakilalamikia ili kujiridhisha
Mafuta 1500 hayo ni unleaded, Dizel au kerosineKipo kimoja pale nxuguni wanajaza mafuta kwa Bei ya 1500
Hao TRA hawapigi hela! Niwanyonyaji, tuna mifumo mibovu ya kodi inayotoa mianya ya rushwa mpaka kwa wasio stahili!Yani sisi vita yetu ni kupiga hela na kujilimbikizia baada ya hapo unakufa after 5yrs
Kwi Kwi KwiYako vizuri sana Kila kituo Cha afya kina duka na hospital kubwa Zina maduka yanaendelea .
Bila kumtaja kiboko yenu mambo hayaendi!Magifuli alifanya biashara nyingi kuhamia store Kwa store, kwan kuwa na fremu ni kujitafutia matatizo.
Hatimaye viduka kwa nje vikawa vidogo na machinga soko Zima, huku wadosi wakiuza kutokea store
Yatafilisika ata miezi 6 mingi, watu watakua wanakopa bila kulipa.Imefikia hatua hiyo ili iweze ku experience kile ambacho wafanya biashara wengi wanakilalamikia ili kujiridhisha
Nilitoa rushwa kama wewe tuUmefikiia kuwa JF expert member kwa post hizii hizi au ulitoa rushwa kwa Maxence Melo?