Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TRA wapo mbioni kufungua tawi lao Kariakoo ili kuwa karibu na wateja wao kama kupokea malalamiko, kero n.kAliyeelewa anieleweshe!
Hivyo hawatopata uhalisia wa mfanyabiashara anaefuata taratibu wanazo taka azifuate huku wao hawatoweza kuufuata utaratibu huo, hivyo kwa kifupi TRA badala la kupambana na wahujumu uchumi basi wao ndio watakua wahujumu uchumi wenyeweBandarini kama kawaida tu wakiona vipi wanavusha
Inabidi nao wakwepe kodi , wasitoe risiti na wawe na stoo ya mafichoni ili wapate experience ya maisha ya wafanya biashara wa kariakooImefikia hatua hiyo ili iweze ku experience kile ambacho wafanya biashara wengi wanakilalamikia ili kujiridhisha
KUna sauti unazisikia kichwani kwako?
Tujuze
Alikuwa mwehu sana!Magifuli alifanya biashara nyingi kuhamia store Kwa store, kwan kuwa na fremu ni kujitafutia matatizo.
Hatimaye viduka kwa nje vikawa vidogo na machinga soko Zima, huku wadosi wakiuza kutokea store