TRA kuvunja rekodi dhidi vifo vya biashara na viwanda,tujitafakari na kujirekebisha

TRA kuvunja rekodi dhidi vifo vya biashara na viwanda,tujitafakari na kujirekebisha

mwanamichakato

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
1,188
Reaction score
1,090
Wafanyabiashara na wenye viwanda wanapaswa kulipa kodi stahili kwa uhai wa Taifa letu.

Kodi zinazolipwa zinapaswa kutumika vema,Kulindwa na kusimamiwa vema na si kufujwa.

Mchakato wa kukusanya kodi stahili unapaswa kufanyika kwa kuzingatia uhalisia wa kibiashara na kulinda mazingira bora ya uendelezaji wa biashara.

Wigo wa walipa kodi bado ni mdogo mnoo ukizingatia idadi ya raia wa nchi ama wanufaika wa matunda husika.

Tunakopa kufadhiri miradi lukuki..Tutalipa,Lazima tulipe..Kwa miaka mingi ijayo..Lazima tukuze shughuri mbalimbali za kiuchumi sasa na baadae..

Hatupaswi kuua biashara kwa msingi wa kukusanya mapato ili kuvunja rekodi..Hatupaswi kunyanyasa wafabiashara na wenye viwanda kwa kivuli cha kufurahisha wanasiasa..Hatupaswi kuziba masikio lundo la biashara likifa kwa sababu ya ukatiri wa maafisa kodi..

Dunia inapita ktk changamoto nyingi za kibiashara kimataifa..Tujifunze na kuchukua hatua stahiki kuchukua hatua stahiki kulinda sekta binafsi na wenye viwanda..

TUACHE:-
UBABE
KIBURI
DHARAU
UKATIRI
 
wafanyabiashara wanapitia shida nyingi kuzifanya biashara kusimama..Wengi wanaendesha biashara kwa hasara kwa miaka mingi..

Wengi wana madeni na mikopo lukuki..Wengi wana magonjwa ya hapa na pale sababu ya stress za biashara..

Wafanyabiashara wana tozo za kila namna kila leo..Compliance ya nchi yetu sio mchezo..
Inataka ngozi ngumu kweli kusimama imara

NSSSF
WCF
BRELA
OSHA
CITY LEVIES
TRA
etc/etc
 
Wafanyabiashara na wenye viwanda wanapaswa kulipa kodi stahili kwa uhai wa Taifa letu.

Kodi zinazolipwa zinapaswa kutumika vema,Kulindwa na kusimamiwa vema na si kufujwa.

Mchakato wa kukusanya kodi stahili unapaswa kufanyika kwa kuzingatia uhalisia wa kibiashara na kulinda mazingira bora ya uendelezaji wa biashara.

Wigo wa walipa kodi bado ni mdogo mnoo ukizingatia idadi ya raia wa nchi ama wanufaika wa matunda husika.

Tunakopa kufadhiri miradi lukuki..Tutalipa,Lazima tulipe..Kwa miaka mingi ijayo..Lazima tukuze shughuri mbalimbali za kiuchumi sasa na baadae..

Hatupaswi kuua biashara kwa msingi wa kukusanya mapato ili kuvunja rekodi..Hatupaswi kunyanyasa wafabiashara na wenye viwanda kwa kivuli cha kufurahisha wanasiasa..Hatupaswi kuziba masikio lundo la biashara likifa kwa sababu ya ukatiri wa maafisa kodi..

Dunia inapita ktk changamoto nyingi za kibiashara kimataifa..Tujifunze na kuchukua hatua stahiki kuchukua hatua stahiki kulinda sekta binafsi na wenye viwanda..

TUACHE:-
UBABE
KIBURI
DHARAU
UKATIRI
Kwanza yapaswa tuelewe kazi kubwa ya TRA kama sheria yao ilivyotungwa Bungeni ni kukadiria kukusanya na kuhasibu Mapato ya Serikali. Lakini wao ndiyo wasimamizi wa sheria za kodi ambazo huzitumia baada ya bunge kujadili na kupitisha. Malengo yao kila mwaka hupewa kulingana na Bajeti ambapo kuna asilimia kama 60 ya matarajio ya serikali TRA hupewa na kwa kuangalia ongezeko na walipakodi na ongezeko la vyanzo vya kodi. Hivi vyote ndivyo vinavyopelekea tra waweze kuongezewa kiwango cha kukusanya. Mfano kwa sasa tumesikia mapendekezo kwenye gas za magari n.k kwa namna nyingine ni kuwa inawezekana kabisa kuna tafiti wizara imefanya na kujua kuwa kwa kuongeza vyanzo tra wataweza fikia lengo walilopangiwa.
Sina sababu ya kuwatetea hawa kina Zakayo ila ndiyo ukweli ambao najua ni mchungu kwa kila mmoja wetu maana wanachokifanya kwa niaba ya serikali ni kutoza kodi ambapo ni kazi ngumu na yenye lawama sana.Hakuna sehemu yoyote duniani kuna mtu anapenda lipa kodi maana ni kama kupunguza fedha yako mfukoni.
TRA kwa sasa naweza wapongeza sana kwani wamekuwa na usikivu na nimekuwa nikifatilia sana mitandao yao nakuona wakifanya ziara za kututembelea maeneo yetu ya biashara kongamano mbalimbali na kuna Bosi wao mmoja nimekuwa namsikia sana kwenye redio jina limenitoka akifundisha mambo yao ya kodi.
Lawama wanabebeshwa sababu kuna watu waliopaswa kuzingatia kazi zao wameshindwa sasa kibao wanageuziwa wao. Hebu tujiulize mzazi hupeleki mtoto shule ikifika mtihani utamlaumu mwalimu? Kila mmoja anafaa kuwajibika eneo lake watunga sera, sheria, wasimamizi na watoa haki hapo ndipo kila kitu kitakuwa sawa na tujifunze kuwa responsible. Kuna jamaa yangu tuliwahi sana bishana naye kwa kuja na hoja tra wanafaa kujibu matumizi nikamuuliza unafatiliaga bunge akanijibu la nini , sasa mtu kama huyo hata kwenda kupiga kura hataki anakwambia nikachague mtu akapate maisha mimi ya nini unaona ni kiasi gani tuna safari.Ukiweza tambua wajibu wako na haki katika sanduku la kura na kufatilia bunge utaweza fanya maamuzi sahihi na kupunguza kulaumiana.wakati umefika sasa kila mwakilishi atakuja na kutaka kutetea wananchi dakika hizi na ktupia lawama sehemu ili yeye awe msafi. Tuwe makini sana kipindi hiki.
 
Rais Samia alivoingia Madarakani aliongea neno la dharau kwa Magufuli kuwa hataki kodi ya dhulma. Ngoja Uongozi umfunze
 
Kodi ingekuwa shida malalamiko ungeyasikia kutoka kwa walipa kodi wakubwa ambao wanabanwa zaidi.

Hizi kelele zingine ni uelewa mdogo tu wa maswala ya kodi kwa wafanyabiashara wadogo. Kuagiza mizigo wanatumia biashara zinazokwepa kulipa kodi, hawajui umuhimu wa traceability ya VAT from port, hawajui kupanga bei based on input and output VAT.

Hawaelewi tax obligations zao za kuajiri kwa mujibu wa sheria, hawana plans za business rates za halmashauri, awaelewi business rates and taxes are not fixed, awaelewi mipaka ya TRA kama wanatunza vitabu vyao sahihi sambamba na sheria. Hawaelewi tax incentives walizonazo kwenye ku-compound profit tax, hawaelewi faida za kuwa registered VAT na what you can claim back, hawana VAT accounts.

To name a few, ukiwasikiliza wafanyabiashara wa kariakoo tatizo kubwa ni uelewa wao wa maswala ya kodi, hawajui how to-claim capital allowance ya maduka ya uwekezaji walivyofanya ndani ya maduka.

You can go and on and on, shida ya kodi kariakoo ni uelewa mdogo wa wafanyabiashara kuhusu mambo ya kodi.

Ndio maana uwezi sikia walipa kodi wakubwa ambao accounts zao zinafanywa na big-four accounting firms wakilalamikia kodi.

Sisi wananchi ndio tuna shida ya kodi na mitozo ya hovyo kwenye transaction ya hela ambazo tumetafuta wenyewe, serikali inapora.

Mwigulu
 
Wafanyabiashara na wenye viwanda wanapaswa kulipa kodi stahili kwa uhai wa Taifa letu.

Kodi zinazolipwa zinapaswa kutumika vema,Kulindwa na kusimamiwa vema na si kufujwa.

Mchakato wa kukusanya kodi stahili unapaswa kufanyika kwa kuzingatia uhalisia wa kibiashara na kulinda mazingira bora ya uendelezaji wa biashara.

Wigo wa walipa kodi bado ni mdogo mnoo ukizingatia idadi ya raia wa nchi ama wanufaika wa matunda husika.

Tunakopa kufadhiri miradi lukuki..Tutalipa,Lazima tulipe..Kwa miaka mingi ijayo..Lazima tukuze shughuri mbalimbali za kiuchumi sasa na baadae..

Hatupaswi kuua biashara kwa msingi wa kukusanya mapato ili kuvunja rekodi..Hatupaswi kunyanyasa wafabiashara na wenye viwanda kwa kivuli cha kufurahisha wanasiasa..Hatupaswi kuziba masikio lundo la biashara likifa kwa sababu ya ukatiri wa maafisa kodi..

Dunia inapita ktk changamoto nyingi za kibiashara kimataifa..Tujifunze na kuchukua hatua stahiki kuchukua hatua stahiki kulinda sekta binafsi na wenye viwanda..

TUACHE:-
UBABE
KIBURI
DHARAU
UKATIRI
Good thinking, hili Somo kwenye elimu ya ujasiriamali linaitwa mjasiriamali na yanayomzinguka, (The entrepreneur and his environments),inachangia asilimia 20 ya mafanikio katika biashara ambayo jamii isipo buni mbinu za kukabiliana na changamoto, (yasiyoyatarajiwa), the uncertainty, biashara zinakufa kuna vitu vinne vimejificha hapo ambavyo vinahitaji nguvu ya ziada, sita vitaja kwasababu nimejizima data a. k. a kuahirisha kufikiri kwa nafsi
 
Kodi ingekuwa shida malalamiko ungeyasikia kutoka kwa walipa kodi wakubwa ambao wanabanwa zaidi.

Hizi kelele zingine ni uelewa mdogo tu wa maswala ya kodi kwa wafanyabiashara wadogo. Kuagiza mizigo wanatumia biashara zinazokwepa kulipa kodi, hawajui umuhimu wa traceability ya VAT from port, hawajui kupanga bei based on input and output VAT.

Hawaelewi tax obligations zao za kuajiri kwa mujibu wa sheria, hawana plans za business rates za halmashauri, awaelewi business rates and taxes are not fixed, awaelewi mipaka ya TRA kama wanatunza vitabu vyao sahihi sambamba na sheria. Hawaelewi tax incentives walizonazo kwenye ku-compound profit tax, hawaelewi faida za kuwa registered VAT na what you can claim back, hawana VAT accounts.

To name a few, ukiwasikiliza wafanyabiashara wa kariakoo tatizo kubwa ni uelewa wao wa maswala ya kodi, hawajui how to-claim capital allowance ya maduka ya uwekezaji walivyofanya ndani ya maduka.

You can go and on and on, shida ya kodi kariakoo ni uelewa mdogo wa wafanyabiashara kuhusu mambo ya kodi.

Ndio maana uwezi sikia walipa kodi wakubwa ambao accounts zao zinafanywa na big-four accounting firms wakilalamikia kodi.

Sisi wananchi ndio tuna shida ya kodi na mitozo ya hovyo kwenye transaction ya hela ambazo tumetafuta wenyewe, serikali inapora.

Mwigulu
Sikweli, tatizo la biashara kufa siyo kodi peke yake, Swali fikirishi je umewahi kufanya biashara tuanzie hapo
 
Ccm wanatumia Kodi kama tools ya kuwafanya watz wazidi kuwa masikini ili waweze kuwatala.Thus hawataki uraia pacha.
Mbona mkoloni alituletea maendeleo makubwa sana bila kutegemea Kodi.
Tunawapa wakopeshaji raslimali zetu wawekeze then tunaenda kuwakopa wao kwa riba.
 
Sikweli, Swali fikirishi je umewahi kufanya biashara tuanzie hapo
Sitojibu hilo tafuta accountant.

Vinginevyo njoo specific na hoja yako ya malalamiko ya kodi husika nikujibu.

Nishabishana sana na wafanyabiashara wa kariakoo, hata ukiwaelewesha hawataki.

Kodi ingekuwa shida ugomvi ungeanzishwa na walipa kodi wakubwa.

Hao wakariako hawajui tu hesabu za biashara na jinsi serikali inavyofanya mambo.
 
Ccm wanatumia Kodi kama tools ya kuwafanya watz wazidi kuwa masikini ili waweze kuwatala.Thus hawataki uraia pacha.
Mbona mkoloni alituletea maendeleo makubwa sana bila kutegemea Kodi.
Tunawapa wakopeshaji raslimali zetu wawekeze then tunaenda kuwakopa wao kwa riba.
Tatizo ni mazingira mabovu ya biashara serikali wanatumia pesa nyingi na muda mwingi kujifungia na kutengeneza tozo, Kodi,Sheria ndogo ndogo (rules regulations and rate setting), bila kushirikisha wadau matokeo yake Ndiyo hayo, (kelele)
 
Wafanyabiashara na wenye viwanda wanapaswa kulipa kodi stahili kwa uhai wa Taifa letu.

Kodi zinazolipwa zinapaswa kutumika vema,Kulindwa na kusimamiwa vema na si kufujwa.

Mchakato wa kukusanya kodi stahili unapaswa kufanyika kwa kuzingatia uhalisia wa kibiashara na kulinda mazingira bora ya uendelezaji wa biashara.

Wigo wa walipa kodi bado ni mdogo mnoo ukizingatia idadi ya raia wa nchi ama wanufaika wa matunda husika.

Tunakopa kufadhiri miradi lukuki..Tutalipa,Lazima tulipe..Kwa miaka mingi ijayo..Lazima tukuze shughuri mbalimbali za kiuchumi sasa na baadae..

Hatupaswi kuua biashara kwa msingi wa kukusanya mapato ili kuvunja rekodi..Hatupaswi kunyanyasa wafabiashara na wenye viwanda kwa kivuli cha kufurahisha wanasiasa..Hatupaswi kuziba masikio lundo la biashara likifa kwa sababu ya ukatiri wa maafisa kodi..

Dunia inapita ktk changamoto nyingi za kibiashara kimataifa..Tujifunze na kuchukua hatua stahiki kuchukua hatua stahiki kulinda sekta binafsi na wenye viwanda..

TUACHE:-
UBABE
KIBURI
DHARAU
UKATIRI
BANDARI YETU ILIKUWA INASAIDIA SANA KATIKA KU - REGULATE MAPATO YETU, TULIKUWA TUNAKONTROL WENYEWE, SASA TUMEIACHIA, TUNAPANGIWA, TUNAKOROMEWA, KUFUATA MIONGOZO YA MKATABA, HATUPO TENA HURU, INALAZIMU SASA KUKABA KITAA, MBWA KALA MBWA!
 
Tatizo ni mazingira mabovu ya biashara serikali wanatumia pesa nyingi na muda mwingi kujifungia na kutengeneza tozo, Kodi,Sheria ndogo ndogo (rules regulations and rate setting), bila kushirikisha wadau matokeo yake Ndiyo hayo kelele
Wanaimba maendeleo kwa nje lakini kwa ndani hawataki watu wawe na maendeleo
 
BANDARI YETU ILIKUWA INASAIDIA SANA KATIKA KU - REGULATE MAPATO YETU, TULIKUWA TUNAKONTROL WENYEWE, SASA TUMEIACHIA, TUNAPANGIWA, TUNAKOROMEWA, KUFUATA MIONGOZO YA MKATABA, HATUPO TENA HURU, INALAZIMU SASA KUKABA KITAA, MBWA KALA MBWA!
Kama wanatoa gawio kubwa kuliko sie kwann wasipewe.
Kipi tunaweza endesha kwa ufanisi
 
Sitojibu hilo tafuta accountant.

Vinginevyo njoo specific na hoja yako ya malalamiko ya kodi husika nikujibu.

Nishabishana sana na wafanyabiashara wa kariakoo, hata ukiwaelewesha hawataki.

Kodi ingekuwa shida ugomvi ungeanzishwa na walipa kodi wakubwa.

Hao wakariako hawajui tu hesabu za biashara na jinsi serikali inavyofanya mambo.
Asilimia 80 ya mafanikio katika biashara yana mtegemea mjasiriamali asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayomzinguka, kuna mambo makuu manne yaliyo jificha 1.maamuzi ya kisiasa ambayo yanaweza sabisha biashara zifanikiwe ama kufa, 2.Jinsi serikali ilivyo jipanga kuinua kipato cha mtu mmojammoja, 3.jamii inayo mzunguka mjasiriamali, 4.mabadiliko ya teknolojia
 
Asilimia 80 ya mafanikio katika biashara yana mtegemea mjasiriamali asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayomzinguka, kuna mambo makuu manne yaliyo jificha 1.maamuzi ya kisiasa ambayo yanaweza sabisha biashara zifanikiwe ama kufa, 2.Jinsi serikali ilivyo jipanga kuinua kipato cha mtu mmojammoja, 3.jamii inayo mzunguka mjasiriamali, 4.mabadiliko ya teknolojia
Ndio shida ilipo badala ya kuonyesha matatizo ya kodi yalipo unaleta story,

Ni vipi waziri amewakwamisha kutokana na finance bill inayojadiwa?

Kodi ni sheria concerns zote huu ndio muda wa kuziongelea kutokana na finance bill inayojadiliwa bungeni.

Mengine ni uelewa mdogo tu wa walipa kodi.
 
Biashara zina mambo mengi sana, unaweza ukawa kwenye biashara yako, Ikawa inakuletea shs 50,ukafikiri ukimleta mbia ataweza kupindisha mapato yakafikia 200 shs, ili uwe angalau unapata 100shs, matokeo yake, yule unayemleta akashindwa kufikisha ile 200shs,badala yake akafaulu kukusanya 70shs, sasa kwa mujibu wa mkataba ikalazimu upate 35shs, chini ya ile 50shs uliyokuwa ukipata awali.
 
Kwanza yapaswa tuelewe kazi kubwa ya TRA kama sheria yao ilivyotungwa Bungeni ni kukadiria kukusanya na kuhasibu Mapato ya Serikali. Lakini wao ndiyo wasimamizi wa sheria za kodi ambazo huzitumia baada ya bunge kujadili na kupitisha. Malengo yao kila mwaka hupewa kulingana na Bajeti ambapo kuna asilimia kama 60 ya matarajio ya serikali TRA hupewa na kwa kuangalia ongezeko na walipakodi na ongezeko la vyanzo vya kodi. Hivi vyote ndivyo vinavyopelekea tra waweze kuongezewa kiwango cha kukusanya. Mfano kwa sasa tumesikia mapendekezo kwenye gas za magari n.k kwa namna nyingine ni kuwa inawezekana kabisa kuna tafiti wizara imefanya na kujua kuwa kwa kuongeza vyanzo tra wataweza fikia lengo walilopangiwa.
Sina sababu ya kuwatetea hawa kina Zakayo ila ndiyo ukweli ambao najua ni mchungu kwa kila mmoja wetu maana wanachokifanya kwa niaba ya serikali ni kutoza kodi ambapo ni kazi ngumu na yenye lawama sana.Hakuna sehemu yoyote duniani kuna mtu anapenda lipa kodi maana ni kama kupunguza fedha yako mfukoni.
TRA kwa sasa naweza wapongeza sana kwani wamekuwa na usikivu na nimekuwa nikifatilia sana mitandao yao nakuona wakifanya ziara za kututembelea maeneo yetu ya biashara kongamano mbalimbali na kuna Bosi wao mmoja nimekuwa namsikia sana kwenye redio jina limenitoka akifundisha mambo yao ya kodi.
Lawama wanabebeshwa sababu kuna watu waliopaswa kuzingatia kazi zao wameshindwa sasa kibao wanageuziwa wao. Hebu tujiulize mzazi hupeleki mtoto shule ikifika mtihani utamlaumu mwalimu? Kila mmoja anafaa kuwajibika eneo lake watunga sera, sheria, wasimamizi na watoa haki hapo ndipo kila kitu kitakuwa sawa na tujifunze kuwa responsible. Kuna jamaa yangu tuliwahi sana bishana naye kwa kuja na hoja tra wanafaa kujibu matumizi nikamuuliza unafatiliaga bunge akanijibu la nini , sasa mtu kama huyo hata kwenda kupiga kura hataki anakwambia nikachague mtu akapate maisha mimi ya nini unaona ni kiasi gani tuna safari.Ukiweza tambua wajibu wako na haki katika sanduku la kura na kufatilia bunge utaweza fanya maamuzi sahihi na kupunguza kulaumiana.wakati umefika sasa kila mwakilishi atakuja na kutaka kutetea wananchi dakika hizi na ktupia lawama sehemu ili yeye awe msafi. Tuwe makini sana kipindi hiki.
Yamkini Upo sahihi..Naheshimu mchango wako

Tuna Matatizo ya kikatiba..Bunge linapaswa kutokana na wananchi kupitia chaguzi huru,Za wazi na Za haki..Wabunge wanapaswa kuchaguliwa ili kuwakirisha maslahi ya waliowachagua..Wabunge wanapaswa kuwa na elimu kubwa,Uelewa mkubwa mnoo,Mafanikio tukufu,Uzoefu na ubobezi wa mengi..Wabunge wenye uwezo wa kutafiti Kwa kina..Wazalendo,Waadirifu haswaaa..Hatupaswi kuwa na wabunge wapiga porojo na siasa pekee na Waunga hoja Kwa maslahi ya kubaki bungeni..Kuteuriwa..

Kwa mifumo ya hapa kwetu Afrika..Sina hakika ikiwa wabunge wanawakirisha matakwa,mahitaji,kero,shida Za wananchi..Wengi wanawakirisha kero na matatizo Kwa fikra zao/Utashi wao/ufahamu wao/Elimu zao na exposure zao..Migandamizo ya Vyama vyao (Caucus)..Mkuu wao (Chama..)

Kutunga sheria si jambo rahisi linalowezwa kufanywa yeyote ama na wabunge wa darasa la 7,form 11 ama wenye D mbili..Bunge letu linapitisha sheria zilizotungwa..Bunge letu linapiga mihuri sheria..Technocrats ktk serikali ndio watunga sheria..Hakuna tunaemkomoa ni nchi yetu na vizazi vyetu..Tupo leo na Tunajenga msingi wa kujiondoa toka ktk Lindi la umaskini..Tulinde uchumi wetu na biashara zetu..Sheria ziendane na uhalisia..Sheria ziwe rafiki..Watekeleza sheria wawe na stabs/uadirifu/Hekima na busara..Watafiti wa Wizara watafiti namna kuongeza wigo wa walipa kodi sio kudumaza wachache..Watafiti namna ya kuongeza uwekezaji sio kukamua na kuua..

Tuna Fundamental issues kuhusu uchumi wa nchi yetu sasa na baadae..Hakuna faida ya kufanya mambo Kwa mbwembwe leo huku tukijua fika tunakwenda kugonga Mwamba tuendako..Uchumi wetu bado ni tegemezi kwenye imports na si uzalishaji wa viwanda ama Kilimo kikubwa cha kisasa..Exports zetu bado Zipo chini compared to imports..
 
Kodi ingekuwa shida malalamiko ungeyasikia kutoka kwa walipa kodi wakubwa ambao wanabanwa zaidi.

Hizi kelele zingine ni uelewa mdogo tu wa maswala ya kodi kwa wafanyabiashara wadogo. Kuagiza mizigo wanatumia biashara zinazokwepa kulipa kodi, hawajui umuhimu wa traceability ya VAT from port, hawajui kupanga bei based on input and output VAT.

Hawaelewi tax obligations zao za kuajiri kwa mujibu wa sheria, hawana plans za business rates za halmashauri, awaelewi business rates and taxes are not fixed, awaelewi mipaka ya TRA kama wanatunza vitabu vyao sahihi sambamba na sheria. Hawaelewi tax incentives walizonazo kwenye ku-compound profit tax, hawaelewi faida za kuwa registered VAT na what you can claim back, hawana VAT accounts.

To name a few, ukiwasikiliza wafanyabiashara wa kariakoo tatizo kubwa ni uelewa wao wa maswala ya kodi, hawajui how to-claim capital allowance ya maduka ya uwekezaji walivyofanya ndani ya maduka.

You can go and on and on, shida ya kodi kariakoo ni uelewa mdogo wa wafanyabiashara kuhusu mambo ya kodi.

Ndio maana uwezi sikia walipa kodi wakubwa ambao accounts zao zinafanywa na big-four accounting firms wakilalamikia kodi.

Sisi wananchi ndio tuna shida ya kodi na mitozo ya hovyo kwenye transaction ya hela ambazo tumetafuta wenyewe, serikali inapora.

Stupid Mwigulu

Asante kwa elimu
Kwa kuzingatia tatizo la ajira na mfumo wa elimu unaozalisha wafanyabiashara wasio na uelewa ktk tax compliance and other..

Kwa nini kusiwe na mkakati wa kimfumo kutoa elimu stahiki ili kuwalinda na kuwakuza Hawa wafanyabiashara si tu wa Kariakoo (Nchi nzima) ambao ni uti wa mgongo ktk Makusanyo ya nchi?

Ikibidi Elimu ya kodi iingizwe kwenye masomo ya biashara Kwa mapana yake..Leo tuna wahasibu Una wengine wenye CPA Lakini hawajui masuala ya kodi inavyopaswa..Tuna graduates wafaulu mitihani ila kazi zero..Ni shida..

Wangapi wanaweza ku afford huduma Za big four (PWC,KPMG,EY,Deloitte)?
 
Back
Top Bottom