TRA kwanini Wamehamishia akaunti ya malipo KCB, siyo tena NMB? Ni ufisadi baada ya Magufuli?


Serikali inafurahia kuwapa wananchi tozo ila inachukia tozo za bank ambayo imewekeza shares. Only made in Tzee.
 

Kuna kitu bado hukijui vizuri, kuanzia July 2021, taasisi karibu zote za serikali inatakiwa iwe imekamilisha mfumo mpya wa malipo ya serikali uitwao MUSE.. Hii MUSE inarahisisha sana malipo ya mishahara na malipo mengine ya serikali moja kwa moja toka BOT, yaani mshahara wako na madai mengine yako yote yanalipwa toka BOT kwenye account yako, hivyo hata ukiwa na account bank yoyote sio tatizo, na hii inaharakisha malipo sanaa, within few hours unapata malipo moja kwa moja toka BOT kwenye personal account yako, hapa Serikali imefanya la maana sana, hii itaondoka ule mtindo wa zamani sijui mshahara upitie bank fulani toka BOT, alafu Bank hiyo ianze kuweka kwa individuals na ilitia hasara sana serikali kuwapa bank tender hiyo ya mishahara. Sasa hivi unalipwa direct to your account from BOT within few hours.

Ila hili la TRA kutumia KCB, hii mbaya sana, sana, sanaaaa, na hatari kabisa. Sielewi TRA nini kimewapata. This is unacceptable kabisa.

I hope, Waziri wa Fedha lazima atarekebisha hili. Hii ni kosa
 
Serikali ina minority stake kwenye NMB,The largest shareholders ni waholanzi

Nimekuwekea hadi Wikipedia still hujaangalia ownership.. Huwezi sema serikali ina minority wakati Uholazi na Norway wana 34.9% na serikali ina 31.8%. Hii ni share kubwa sana tu kwa serikali. Hakuna cha minority hapo.


 
Tra Wana account kwenye bank zote kilichotokea hapo ni wakati control number ina tegenezwa aliokuwa anajaza alijaza bank ya KCB hayo malipo yapitie

Ni Jambo la kawaida mwingine anaweza kwenda kulipoa equity, abbsa, crdb.
 
Serikali ina minority stake kwenye NMB,The largest shareholders ni waholanzi
Wabongo kwa ujuaji...rabobank walishahamishi share kwa msouth africa Arise....still ni ujinga kutumia kcb kupitisha mapato...
 
Wabongo kwa ujuaji...rabobank walishahamishi share kwa msouth africa Arise....still ni ujinga kutumia kcb kupitisha mapato...
"NMB Bank’s largest shareholder, Rabobank of the Netherlands, has partnered with the Dutch Development Bank (FMO) and the Norwegian State owned development fund (Norfund) to form a Sub-Saharan Africa-focused investment company, Arise. The partnership was officially launched in Cape Town, South Africa in February 2017"
 
Wabongo kwa ujuaji...rabobank walishahamishi share kwa msouth africa Arise....still ni ujinga kutumia kcb kupitisha mapato...
Rabobank partnered with the Dutch Development Bank (FMO) and the Norwegian State-owned development fund (Norfund) to form the sub-Saharan Africa-focused investment company, Arise.

The investment firm aims to support the growth and advancement of financial institutions by proactively providing - among other things - technical assistance and managerial services in the fields of governance, management, marketing, innovation, compliance and risk management.

Rabobank - which will still be in NMB through the investment consortium - had lodged a request to transfer its stake in NMB Bank Plc for regulatory procedures. The requestwas approved on Monday, the bank said in a statement.
 

mkombozi pekee wa taifa hili ni katiba mpya!
 
Hii inaitwa kujipiga risasi mguuni.
Ni ombwe kubwa la kimkakati kutojenga chako kisa huduma mbaya. Hiyo huduma nzuri haikuja bila kusimamiwa na jasho.
 
Sio kwamba wewe ndo hujaelewa vizuri, hapo kwenye viambatanisho vyote viwili bank ya tra ni moja; bot.

Hizo kcb na nmb ni bank za mlipaji tu.
 
Sio kwamba wewe ndo hujaelewa vizuri, hapo kwenye viambatanisho vyote viwili bank ya tra ni moja; bot.

Hizo kcb na nmb ni bank za mlipaji tu.
Hivi TPB inaaweza kutumika kenya? Huu ujinga ni tanzania tu tuendelee kujifariji na kujifanya tunajua sana!
 
Hili lisikubalike na yeyote. Ni ufisadi mtupu. Tra kuacha kutumia benki ya nchini na kuwapa bank ya kenya. Watanzania wamechoshwa na namna wakenya wanatimia nyia za kifisadi kuihujumu tanzania. Ni aibu TRA kuacha kutumia benki ya ta ambapo wana hisa na kutumia benki ya kenya kcb
 
Hakuna benki ya Tanzania iliyofunguliwa Kenya, na huenda hakuna katika nchi yoyote… kwahiyo option ya pili haitokei.
 
Kwanini isitumike,acha ujinga
Benki zetu kushindwa kujitanua na kwenda kuanzisha matawi nchi jirani hiyo isifanye ukawa na chuki na wivu kwa benki toka nje.
Wabongo tumekuwa watu wa majungu na wivu kwa wengine hasa wale waliopiga hatua kimaendeleo na sio tu kwa wageni hata wenyewe kwa wenyewe tumekuwa tukifanyiana hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…