Kuna kitu bado hukijui vizuri, kuanzia July 2021, taasisi karibu zote za serikali inatakiwa iwe imekamilisha mfumo mpya wa malipo ya serikali uitwao MUSE.. Hii MUSE inarahisisha sana malipo ya mishahara na malipo mengine ya serikali moja kwa moja toka BOT, yaani mshahara wako na madai mengine yako yote yanalipwa toka BOT kwenye account yako, hivyo hata ukiwa na account bank yoyote sio tatizo, na hii inaharakisha malipo sanaa, within few hours unapata malipo moja kwa moja toka BOT kwenye personal account yako, hapa Serikali imefanya la maana sana, hii itaondoka ule mtindo wa zamani sijui mshahara upitie bank fulani toka BOT, alafu Bank hiyo ianze kuweka kwa individuals na ilitia hasara sana serikali kuwapa bank tender hiyo ya mishahara. Sasa hivi unalipwa direct to your account from BOT within few hours.
Ila hili la TRA kutumia KCB, hii mbaya sana, sana, sanaaaa, na hatari kabisa. Sielewi TRA nini kimewapata. This is unacceptable kabisa.
I hope, Waziri wa Fedha lazima atarekebisha hili. Hii ni kosa