TRA kwanini Wamehamishia akaunti ya malipo KCB, siyo tena NMB? Ni ufisadi baada ya Magufuli?

TRA kwanini Wamehamishia akaunti ya malipo KCB, siyo tena NMB? Ni ufisadi baada ya Magufuli?

TRA na BOT watajitetea kwa sababu zozote zile lakini sisi tunaolipa kodi ktk nchi hii, kwa kujua nani anamiliki KCB (Kenya Commercial Bank) hii ni chini ya kiwango cha uzalendo uliohubiliwa miaka mitano iliyopita. Nalinganisha malipo niliyofanya 2020 na mwaka huu, yakielekezwa benki tofauti kabisa!!

Tunafahamu ni Benki iliyosajiliwa hapa nchini lakini pesa ya kodi za serikali kupitia benki ya muwekezaji wa nje badala ya NMB ambako serikali ina hisa, ni ufisadi. TRA wanafidika nini kuitumia KCB? Imetokea nini baada ya kifo cha Magufuli? Je, KRA ya Kenya, kwa ubaguzi wao kibiashara, inaweza kupitishia pesa za kodi za serikali yao benki ya TZ, hata kama imesajiliwa nchini Kenya?

View attachment 1926663

View attachment 1926664
Is it a big deal? Kwani zikiwa huko zinahama na kuwa mali ya hiyo bank? Wewe ni mburula
 
Serikali ina minority stake kwenye NMB,The largest shareholders ni waholanzi
Wewe kiazi serikali ilitoa asilimia 21 ya hisa zake kuwauzia wananchi, ukiweka na hizo 31.8% maana yake ni kwamba watanzania wanamiliki 52.8% ya NMB, hebu twambie huko KCB watanzania wana asilimia ngapi ya hisa ili twende sawa....
 
Hapana! Huo ni uongo. Kama angepewa Control number ya malipo ya BOT, kusingekuwa na sababu ya kumwambia apeleke KCB, hiyo ingekuwa lobbing. Kama wengi wanavyoeleza, hiyo control number lazima ina connection na KCB na hata kama utalipa kwa simu, bado pesa itapitia KCB. Control number ilipoanzishwa haikuwa na uhusiano na aina ya benki ya kibiashara. Huu ni ufisadi tu umeanzishwa kwa malengo fulani na wezi wazoefu wa TRA.

Ukiwauliza watu wa mabenki, utakuta kuna lobbing inafanyika pamoja na ahadi kibao! Kwa pesa kama za TRA, Kamishna anaweza hata kuahidiwa bilioni kadhaa za bure ili pesa ya kodi ipitie pale. Kumbuka makusanyo yetu ni karibu trioni 2 kwa mwezi!
Mkuu control number inalipwa popote na kwenye bank yoyote ni kwenye uchaguzi ndo inaamua kwenda wapi
 
Haha ila uelewa wamaswala ya finance kwa mtoa Mada ni mdogo Sana... TRA Ina clearence account karibia bank zote.. Inakua ni maamuz ya mteja anapendelea kulipa kupitia nini, hata kupitia mitandao ya simu unaweza Lipa Kodi... Mfan NMB shareholder makubwa ni mholanzi haina maana hizo hela zinaenda uholanzi... Kwene hizo commercial banks hela zinapita tu kwenda BOT, zinafaidika transaction fees tu ambazo serikali itakuja kufaidika Kodi as well kupitia hio miamala...
Nawe ni shithole! Kupitishia benki una maana gani? Kwani Benki kazi zake ni nini?
Kazi ya benki zote ni kupitishia pesa, siyo kutunza pesa na ktk kazi hiyo wanakula gharama zao na ndivyo wanavyoinuka. Unapoipa KCB upper hand ujue unaineemesha mabilioni ya TRA. Why not NMB, CRDB, or other homegrown banks? Shiiiit!
 
Hujaelewa nini?
Umeambiwa wana utaratibu wa kulipia kupitia bank karibu zote zinazo operate hapa nchini. Na Hii ni ili kurahisisha malipo
Huko ndo kuelewesha? Umelewesha nini sasa! Another useless contribution!
Urahisi ni kutumia control number, FINITO! UKishatumia control number ya serikali, sihitaji kuelekezwa kwenda KCB.
 
Mkuu control number inalipwa popote na kwenye bank yoyote ni kwenye uchaguzi ndo inaamua kwenda wapi
Musiwatetee TRA, ni wazembe tu wa maamuzi. Leo nimepewa control number ya kulipia gharama za bandari. Sijaona maelezo yoyote ya kunielekeza benki fulani, basi wameandika nenda benki yoyote au mtandao wowote kalipie kwa kutumia control number hiyo. Kwa nini TRA wan prescribe KCB?
 
Wewe kiazi serikali ilitoa asilimia 21 ya hisa zake kuwauzia wananchi, ukiweka na hizo 31.8% maana yake ni kwamba watanzania wanamiliki 52.8% ya NMB, hebu twambie huko KCB watanzania wana asilimia ngapi ya hisa ili twende sawa....
Mkuu ulienda shule kusoma au kula maandazi? Ignorance ni mbaya sana.
 
Kwa hiyo kusoma ni kuitia hasara nchi yako, hopeless kabisa....
Ndo maana nakuambia wewe ni kiazi ila hujitambui,kiufupi ni kwamba huduma ya bill payment za TRA zinapatikana karibia benki zote washirika Tanzania.Hapo serikali inapata hasara gani kwa kurahisisha collection ya revenues kwa kumpa taxpayer mazingira rahisi ya ulipaji? Argue kama msomi na siyo muuza maandazi otherwise unakuwa rubbish
 
Ndo maana nakuambia wewe ni kiazi ila hujitambui,kiufupi ni kwamba huduma ya bill payment za TRA zinapatikana karibia benki zote washirika Tanzania.Hapo serikali inapata hasara gani kwa kurahisisha collection ya revenues kwa kumpa taxpayer mazingira rahisi ya ulipaji? Argue kama msomi na siyo muuza maandazi otherwise unakuwa rubbish
Kwa mtandao wa benki za NMB na CRDB pamoja na huduma zao za kifedha zilizotapakaa hadi mitaani ni kwa namna gani mtu atashindwa kulipia bill zake kupitia hizo benki za kitanzania, jaribu kuficha uzwazwa......
 
TRA na BOT watajitetea kwa sababu zozote zile lakini sisi tunaolipa kodi ktk nchi hii, kwa kujua nani anamiliki KCB (Kenya Commercial Bank) hii ni chini ya kiwango cha uzalendo uliohubiliwa miaka mitano iliyopita. Nalinganisha malipo niliyofanya 2020 na mwaka huu, yakielekezwa benki tofauti kabisa!!

Tunafahamu ni Benki iliyosajiliwa hapa nchini lakini pesa ya kodi za serikali kupitia benki ya muwekezaji wa nje badala ya NMB ambako serikali ina hisa, ni ufisadi. TRA wanafidika nini kuitumia KCB? Imetokea nini baada ya kifo cha Magufuli? Je, KRA ya Kenya, kwa ubaguzi wao kibiashara, inaweza kupitishia pesa za kodi za serikali yao benki ya TZ, hata kama imesajiliwa nchini Kenya?

View attachment 1926663

View attachment 1926664

354506.jpg
 
Kwanini isitumike,acha ujinga
Benki zetu kushindwa kujitanua na kwenda kuanzisha matawi nchi jirani hiyo isifanye ukawa na chuki na wivu kwa benki toka nje.
Wabongo tumekuwa watu wa majungu na wivu kwa wengine hasa wale waliopiga hatua kimaendeleo na sio tu kwa wageni hata wenyewe kwa wenyewe tumekuwa tukifanyiana hivyo.
CRDB ina matawi commoro, Burundi nadhani na DRC. Nimeishi kenya kama three years masharti ya kibiashara tunayowekewa watanzania huwezi tamani kufanya biashara huko. Tunawakumbatia bure sana hawa ndugu zetu wanafiki sana.
Kama mnakumbuka Rostam alivyofunguka kipindi cha ziara ya rais nchini kenya huo ndiyo uhalisia. Fuata hii link[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

 
TRA na BOT watajitetea kwa sababu zozote zile lakini sisi tunaolipa kodi ktk nchi hii, kwa kujua nani anamiliki KCB (Kenya Commercial Bank) hii ni chini ya kiwango cha uzalendo uliohubiliwa miaka mitano iliyopita. Nalinganisha malipo niliyofanya 2020 na mwaka huu, yakielekezwa benki tofauti kabisa!!

Tunafahamu ni Benki iliyosajiliwa hapa nchini lakini pesa ya kodi za serikali kupitia benki ya muwekezaji wa nje badala ya NMB ambako serikali ina hisa, ni ufisadi. TRA wanafidika nini kuitumia KCB? Imetokea nini baada ya kifo cha Magufuli? Je, KRA ya Kenya, kwa ubaguzi wao kibiashara, inaweza kupitishia pesa za kodi za serikali yao benki ya TZ, hata kama imesajiliwa nchini Kenya?

View attachment 1926663

View attachment 1926664
Utakua hunawaji lipa kodi wewe hiyo akaunti ipo kitambo sana
 
Wanaoilipa TRA ni watanzania au makampuni yenye akaunti zao KCB, benki hiyo ya kigeni iko kihalali na inawezekana ina ufanisi mkubwa ukilinganisha na benki zetu za kizalendo.

Benki zetu zinashindwa kwenye huduma kwa wateja na hasa huduma kupitia mtandao. Kama uzalendo ni lazima uanze kwa kuwashawishi wananchi wasiweke pesa zao kwenye benki za kigeni ikiwemo KCB..... Je inawezekana ?.
Wenye akaunti KCB ni TRA after all hizi bank ni njia ya kupitishia fedha/Paying Bank ambazo ni Kama wakala wa BOT,mlipaji anachotumia kule ni Control number tu.KCB account iko zaidi miaka 10 mtoa mada ameleta mada bila kuulizia kwanza na kueleweshwa.
 
Watu ambacho hamuelewi ni nini? Hata ukichagua KCB bado unaweza kulipia Exim au CRDB Bank. Kinchohitajika ni hiyo control number tu
Musiwatetee TRA, ni wazembe tu wa maamuzi. Leo nimepewa control number ya kulipia gharama za bandari. Sijaona maelezo yoyote ya kunielekeza benki fulani, basi wameandika nenda benki yoyote au mtandao wowote kalipie kwa kutumia control number hiyo. Kwa nini TRA wan prescribe KCB?
 
Ndio CCM wanaiba huko kupata pesa za kampeni 2025. Yaani hii mijambazi inaimba uzalendo wakati yenyewe haina hata chembe ya huo uzalendo
 
Back
Top Bottom