Gotze Giyani
Senior Member
- Feb 28, 2022
- 127
- 194
Gari sio kwa kila mtu kama unalalamikia Kodi ya 9m TZS (4000 USD) elewa hujafikia hadhi ya kumiliki gari hangaika na Guta, SANLG au FEKON ndo size yako. Asante.
Umelala yooooKubwa jinga ovyoo hili shabiki la kijani linaturudisha nyuma
Umelala yo
Kama hamna uwezo wa gari. Nunueni baiskeli hazina Kodi kubwaNa
Na road toll inafanya kazi gani?
Ushawahi kusikia double taxation?
Tafuta phoenix hutadaiwa kodiMama yako kamlalia kibenteni wake yoo
TRA kwa hili militizame kwa jicho la ziada. Kwa ujumla mnawaumiza sana wateja hawa.Hebu leo tuwaangalie hawa jamaa,
Mifumo yetu ya kikodi ni mibovu mno yaani hakuna namna ambayo kodi itatoa ahueni kwa mwananchi wa kawaida hilo halipo. Angalia ukiagiza gari iliyotumika iwe Japan, Dubai, Thailand au Afrika Kusini yaani kodi unayolipa tena isiyo na mantiki tena kodi ya kuudhi.
Angalia kwa mfano unanunua gari dollar 2500 unalipa tozo na kodi zao dollar karibu tena 2000, kwa ufupi ukinunua gari ya milioni kumi nje andaa kodi milioni 7 au 8 au 9.
Ukiangalia vyema calculator yao hawa TRA ni formular ya ujanja ujanja ya kuumiza wananchi na wabunge walikaa wakapitisha kodi hiyo ya mchongo ambayo haiendani na uhalisia wa maisha ya Mtanzania.
Ifike hatua nao wajistukie kanuni wanazotumia kama sio kupitwa na wakati basi TRA wao wenyewe wamepitwa na wakati.
Pamoja na kukusanya mapato lakini TRA ni moja ya taasisi zinazorudisha nyuma maendeleo ya nchi hii.
Acha uzandiki mkuu alichozungumza Mwamba ndio malalamiko ya wananchi wengi sasa wewe ni nani uzungumze ki don hivyo?kuwa na adabu tafadhali katika kipindi hiki unachosubiri posting yako kwenda kidato cha tano Ahsante sanaGari sio kwa kila mtu kama unalalamikia Kodi ya 9m TZS (4000 USD) elewa hujafikia hadhi ya kumiliki gari hangaika na Guta, SANLG au FEKON ndo size yako. Asante.
Akili yako ni yazamani sana. Dunia ya leo unashindwa kujua gari ni kitu cha kawaida. Dunia ya leo gari sio ufahari au maisha mazuri bali ni huduma kama huduma zingine.
Gari sio kwa kila mtu kama unalalamikia Kodi ya 9m TZS (4000 USD) elewa hujafikia hadhi ya kumiliki gari hangaika na Guta, SANLG au FEKON ndo size yako. Asante.
Sasa TRA wizi wao upo wapi hapo?! Ikiwa mwenyewe ume admit sheria zinatungwa na bunge na tax man kazi yake ni ku execute hizo sheria.Hebu leo tuwaangalie hawa jamaa,
Mifumo yetu ya kikodi ni mibovu mno yaani hakuna namna ambayo kodi itatoa ahueni kwa mwananchi wa kawaida hilo halipo. Angalia ukiagiza gari iliyotumika iwe Japan, Dubai, Thailand au Afrika Kusini yaani kodi unayolipa tena isiyo na mantiki tena kodi ya kuudhi.
Angalia kwa mfano unanunua gari dollar 2500 unalipa tozo na kodi zao dollar karibu tena 2000, kwa ufupi ukinunua gari ya milioni kumi nje andaa kodi milioni 7 au 8 au 9.
Ukiangalia vyema calculator yao hawa TRA ni formular ya ujanja ujanja ya kuumiza wananchi na wabunge walikaa wakapitisha kodi hiyo ya mchongo ambayo haiendani na uhalisia wa maisha ya Mtanzania.
Ifike hatua nao wajistukie kanuni wanazotumia kama sio kupitwa na wakati basi TRA wao wenyewe wamepitwa na wakati.
Pamoja na kukusanya mapato lakini TRA ni moja ya taasisi zinazorudisha nyuma maendeleo ya nchi hii.
AseeeHebu leo tuwaangalie hawa jamaa,
Mifumo yetu ya kikodi ni mibovu mno yaani hakuna namna ambayo kodi itatoa ahueni kwa mwananchi wa kawaida hilo halipo. Angalia ukiagiza gari iliyotumika iwe Japan, Dubai, Thailand au Afrika Kusini yaani kodi unayolipa tena isiyo na mantiki tena kodi ya kuudhi.
Angalia kwa mfano unanunua gari dollar 2500 unalipa tozo na kodi zao dollar karibu tena 2000, kwa ufupi ukinunua gari ya milioni kumi nje andaa kodi milioni 7 au 8 au 9.
Ukiangalia vyema calculator yao hawa TRA ni formular ya ujanja ujanja ya kuumiza wananchi na wabunge walikaa wakapitisha kodi hiyo ya mchongo ambayo haiendani na uhalisia wa maisha ya Mtanzania.
Ifike hatua nao wajistukie kanuni wanazotumia kama sio kupitwa na wakati basi TRA wao wenyewe wamepitwa na wakati.
Pamoja na kukusanya mapato lakini TRA ni moja ya taasisi zinazorudisha nyuma maendeleo ya nchi hii.
IdiotHuku TRA, huku EWURA kule TARURA bado "WEWURA"
Utakuta mtu kama huyu mwenye cells chini ya 2 za ubongo ni kiongozi na ndio aliyepiga hizo hesabu uchwara.Gari sio kwa kila mtu kama unalalamikia Kodi ya 9m TZS (4000 USD) elewa hujafikia hadhi ya kumiliki gari hangaika na Guta, SANLG au FEKON ndo size yako. Asante.