TRA kwenye kodi ya magari wanafanya "wizi" wa wazi kabisa

TRA kwenye kodi ya magari wanafanya "wizi" wa wazi kabisa

Kwa kifupi tu, sisi Ngozi nyeusi ni mashetani ambayo tunaishi Duniani waziwazi. Kama alivyowahi kuandika ROBERT HERIEL

Imagine kitu chochote kinachohusiana na kuvuka mipaka ya nchi yetu kinakuwa regarded kama anasa.

Ukaombe passport figisu kibao,

Ukiagiza baadhi ya bidhaa nje utitiri wa kodi.

Nauli za ndege mlima. Maana kupanda au kusafirisha parcel kwa ndege ni Anasa.

Ukiagiza gari ndio kama hivyo kwa sababu kumiliki gari ni anasa.

Tukubali tu kuwa sisi ni mashetani na tuna roho mbaya. Na ni ngumu sana kama nchi kuendelea kwa mentality kama hizi.

Mnaoleta hoja ya kwamba nchi yetu isiwe damping area mtuambie kinashindikana nini kuweka sheria nzuri ya damping kwa kutumia Umri wa gari au mileage yake?

Nchi kama China unanunua mzigo kwa Supplier ila mpaka ukaufikishe kwa Agent wako hata kama yupo 1500Km nauli ni ndogo sana.
 
Kwa kifupi tu, sisi Ngozi nyeusi ni mashetani ambayo tunaishi Duniani waziwazi. Kama alivyowahi kuandika ROBERT HERIEL

Imagine kitu chochote kinachohusiana na kuvuka mipaka ya nchi yetu kinakuwa regarded kama anasa.

Ukaombe passport figisu kibao,

Ukiagiza baadhi ya bidhaa nje utitiri wa kodi.

Nauli za ndege mlima. Maana kupanda au kusafirisha parcel kwa ndege ni Anasa.

Ukiagiza gari ndio kama hivyo kwa sababu kumiliki gari ni anasa.

Tukubali tu kuwa sisi ni mashetani na tuna roho mbaya. Na ni ngumu sana kama nchi kuendelea kwa mentality kama hizi.

Mnaoleta hoja ya kwamba nchi yetu isiwe damping area mtuambie kinashindikana nini kuweka sheria nzuri ya damping kwa kutumia Umri wa gari au mileage yake?

Nchi kama China unanunua mzigo kwa Supplier ila mpaka ukaufikishe kwa Agent wako hata kama yupo 1500Km nauli ni ndogo sana.


Ukisema Sana utaitwa mchochezi
 
Gari sio kwa kila mtu kama unalalamikia Kodi ya 9m TZS (4000 USD) elewa hujafikia hadhi ya kumiliki gari hangaika na Guta, SANLG au FEKON ndo size yako. Asante.
Akili yako imechanganyikana na mavi,kwahiyo kuwa na gari kwako ni utajiri?,ptuuu mbaka[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
We jamaa ufute hii comment eti gari sio kwa kila mtu. Namna hii ya kufikiri inafanya uwe na hofu mbele ya mwenye gari.
Huyu ni jamii ya wale mraksi akiona gari analoana huko chini,yaan hutongozi unashika tuu mkono
 
Point ya Jamaa ni valid mkuu, gari pamoja na umuhimu ambao umeusema bado hajafikia kuwa essential item inayohitajika kwenye maisha;

Hivyo kwangu mimi kitu kama gari Kuwekwa kodi hiyo unayosema ni sawa kabisa; Mpaka umewaza hivyo inamaana bado haukuwa na uwezo thabiti kuwa na gari.

Mfano, ukiona unalalamika kwamba Mcdonald, KFC kwamba wanauza vyakula bei juu, its obvious bado hujafika uwezo wa kutumia vyakula vya hapo na sio dhambi usiwachukie wanaomudu hapo au kuwalaumu, vivyo hivyo kwenye gari ungekuwa na uwezo mkubwa kabisa hiyo kodi usingeiona kama kikwazo kabisa, ingekuwa kikwazo kwa watu wengine ila sio kwako.

SO mkuu nimeielewa point yako, ila kimsingi ni kwamba wakati mwingine uwezo wetu ndio unaleta mitazamo fulani inapokuja suala la matumiz ya pesa.
Chuki inatoka wapi tena?
 
swala hili haliondoi wizi wa serkikali kwa wananchi kwenye magari sababu hakuna kiwnda chochote kile kinacholindwa
Kwanza hakuna sehemu nimesema Kodi ya Parking, Niliandika kwa habari ya Kodi vs Malalamiko ya vitu kama parking etc; Narudia tena ukiona unaanza kulalamika kwamba gari uingizaji kodi ni mkubwa bado hujafikia capacity ya freezone, hataka kama ukifanikiwa unaweza fanya hivyo kwa kumaliza hata akiba zako. hii kodi yetu bado sio Kubwa kiivyo kama mnavyolalama
 
Kwanza hakuna sehemu nimesema Kodi ya Parking, Niliandika kwa habari ya Kodi vs Malalamiko ya vitu kama parking etc; Narudia tena ukiona unaanza kulalamika kwamba gari uingizaji kodi ni mkubwa bado hujafikia capacity ya freezone, hataka kama ukifanikiwa unaweza fanya hivyo kwa kumaliza hata akiba zako. hii kodi yetu bado sio Kubwa kiivyo kama mnavyolalama
Mkuu nimeattach screenshot ya ulichokisema kuhusu kodi ya parking kua kubwa angalia ili ujionee ulichoandika..lalamiko lililopo ni methodology ya hio kodi isiokua na msingi kwa mfano gari umenunua milioni 7, kodi ulipe milioni 7 issue haipo kwenye uwezo wa kulipa kodi issue ni haiwezekani nchi isio hata na kiwands cha magari kufsnya protectionism ya kiasi hicho wakati hata ununue gari jipya au chakavu kodi yake bado ipo juu

Screenshot_20220301-132946_Samsung Internet.jpg
 
Chuki inatoka wapi tena?
Mkuu hiyo nimeiweka kwasababu imekuwa namna mtu anapomudu vitu fulani huwa anchukiwa na baadh ya watu, Elimu, uwezo wa kulipia vitu kadha wa kadhaa pamoja na kumiliki mali etc; Hivyo nimeiweka tu kusisitiza baada ya kuwa nimeshasema vitu vya msingi kwenye comment yangu. Samahan kama umekwazika
 
Nchi haina kiwanda cha kuzalisha magari itoze kodi kubwa kuliko wazalishaji wa magari huu ni wizi wa wazi kabisa lazima wajirekebishe wanaua uchumi kwa visingizio vya kukusanya kodi kandamizi
 
Wanafanya hivyo kuzuia dumping, bila hizo kodi hii nchi ingekuwa jalala la hayo magari used mbaya zaodi miundo mbinu yetu haiwezi himili magari mengi.

Tafuta pesa
Kuna terminology nyingine acha zitumike huko first world.
Unaongelea dumping fees akati kuna sehemu hapa hapa nchini watu wanatumia punda kusafiri!!!
Hatujafikia level ya kukataa magari chakavu , labda miaka 30 mbele huko.
 
Huu nadhani ni Uzi wa 50 hapa juu ya maumivu ya kodi za kishetani katika suala la kuimport magari kutoka nje.
Kwa ufupi CCM ndio chama haramu na chenye ushenzi mwingi.
Gari inapita DAR ES SALAAM PORT Inaenda Zimbabwe au Zambia lakini mnunuzi wa Zimbabwe atalipia jumla ya kodi ya Ml. 1 ya Kitanzania huku gari hiyo hiyo Mtanzania angelipa kodi ml.9 -11m.
 
NIlichanganya Thread nadhani, Hiyo i meant Parking fee kum-quote jamaa alivyoizungmzia; Samahan kwa Interruption
Sawa achana na hio sio point ya msingi twende kwenye swala la uwezo wa mtu kununua gari..sijui kama unajua methods of valuation kwenye magari kimsingi inatakiwa kitu ulichonunua ulipie nusu bei hio ni general rule ambayo na exceptions zake sasa elezea why ununue gari $2700 lakini ushuru ulipie $3500? Cheki valuation ya Subaru Forester SH5 ya 2012 na Subaru Forester SG9 ya 2005 moja ushuru wake ni milioni 9 ingine milioni 30, gari ya zamani unalipiaje ushuru milioni 30...kodi inatakiwa iwe realistic
 
Wanafanya hivyo kuzuia dumping, bila hizo kodi hii nchi ingekuwa jalala la hayo magari used mbaya zaodi miundo mbinu yetu haiwezi himili magari mengi.

Tafuta pesa
Ni Watanzania wangapi wana uwezo wa kuagiza gari isiyotumika kabisa?
Hata hao wabunge uwani mwao wanejaza hayo magari used ukiondoa yale ya mkopo wanapoimgia bungeni.
Acha kukariri.
Mimi nikipata kirikuu yangu used niitumie dukani kwangu kwa delivery purpose sitaongeza uchumi wa nchi hii?
 
Gari sio kwa kila mtu kama unalalamikia Kodi ya 9m TZS (4000 USD) elewa hujafikia hadhi ya kumiliki gari hangaika na Guta, SANLG au FEKON ndo size yako. Asante.
Umesahau kumeza dawa nakukumbusha kameze mapema
 
Hebu leo tuwaangalie hawa jamaa,

Mifumo yetu ya kikodi ni mibovu mno yaani hakuna namna ambayo kodi itatoa ahueni kwa mwananchi wa kawaida hilo halipo. Angalia ukiagiza gari iliyotumika iwe japan, Dubai, Thailand au Afrika Kusini yaani kodi unayolipa tena isiyo na mantiki tena kodi ya kuudhi.

Angalia kwa mfano unanunua gari dollar 2500 unalipa tozo na kodi zao dollar karibu tena 2000 , kwa ufupi ukinunua gari ya milioni kumi nje andaa kodi milioni 7 au 8 au 9.

Ukiangalia vyema calculator yao hawa TRA ni formular ya ujanja ujanja ya kuumiza wananchi na wabunge walikaa wakapitisha kodi hiyo ya mchongo ambayo haiendani na uhalisia wa maisha ya Mtanzania.

Ifike hatua nao wajistukie kanuni wanazotumia kama sio kupitwa na wakati basi TRA wao wenyewe wamepitwa na wakati.

Pamoja na kukusanya mapato lakini TRA ni moja ya taasisi zinazorudisha nyuma maendeleo ya nchi hii.
Mzee bora umeliandika...yaani mfumo wa kodi bongo ni ovyo mno ukiangalia kwa undani zaid kwa upande wa magari yaani ni mara kumi uagize gari ya 2006 kuliko gari ya 2014..yaani kodi inaruhusu kuagiza magari machakavu kuliko mapya..kama huamini ingiaa pale TRA calculator

Sasa matajiri wengi wananunu magari ya mapya but wanarudishi miaka ya nyuma.mfano wale wanao agizo toka SA.Wengi wanakua na magari ya 2017 mpaka 2020 but kule TRA yanasomeka ya 204 kurudi nyuma.
 
Back
Top Bottom