Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magari mapya ushuru wake ukojeWanafanya hivyo kuzuia dumping, bila hizo kodi hii nchi ingekuwa jalala la hayo magari used mbaya zaodi miundo mbinu yetu haiwezi himili magari mengi.
Tafuta pesa
Nimemshangaa sana huyo Jomba na vidharau vya kishamba, sijui Mtu wa wapi huyoAkili yako niyazamani sana.dunia ya leo unashindwa kujua gari ni kitu cha kawaida. Dunia ya leo gari sio ufahari au maisha mazuri bali ni huduma kama huduma zingine.
Atakuwa mtu wa kuzimuNimemshangaa sana huyo Jomba na vidharau vya kishamba, sijui Mtu wa wapi huyo
Kama huna pesa gari utaiweza? Pambana na bodaboda.Weyeee, Acha dharau na misifa...! Umewahi kukagua vizuri list na calculation za Import taxes kwenye system ya TRA?
Kwa mfano mimi huwa sioni sababu ya Excise Duty, na hata kama ipo unajua Bongo wanakuchaji % ngapi?
Mnaagiza mikweche mkipigwa uchakavu mnalia Lia.
Bado napingana na hii hoja yako,Point ya Jamaa ni valid mkuu, gari pamoja na umuhimu ambao umeusema bado hajafikia kuwa essential item inayohitajika kwenye maisha;
Hivyo kwangu mimi kitu kama gari Kuwekwa kodi hiyo unayosema ni sawa kabisa; Mpaka umewaza hivyo inamaana bado haukuwa na uwezo thabiti kuwa na gari.
Mfano, ukiona unalalamika kwamba Mcdonald, KFC kwamba wanauza vyakula bei juu, its obvious bado hujafika uwezo wa kutumia vyakula vya hapo na sio dhambi usiwachukie wanaomudu hapo au kuwalaumu, vivyo hivyo kwenye gari ungekuwa na uwezo mkubwa kabisa hiyo kodi usingeiona kama kikwazo kabisa, ingekuwa kikwazo kwa watu wengine ila sio kwako.
SO mkuu nimeielewa point yako, ila kimsingi ni kwamba wakati mwingine uwezo wetu ndio unaleta mitazamo fulani inapokuja suala la matumiz ya pesa.
Hapo sasa ndio umekuja Vizuri, Gari nyingi za Usafirishaji(Canter, coaster, Bus) Kodi yake ni ndogo kimsingi, isipokuwa bei yake huwa juu wengi huwa hawamudu Bei, you can try it kwa TRA calcultaor kuweka ivi vi-saloon na gari kama Isuzu carries, Fuso Etc na Buses sio kama saloon carsBado napingana na hii hoja yako,
ni hivi matumizi ya magari hayaishii kwenye anasa peke yake unatakiwa uchukulie upana zaidi hasa uzalishaji mfano unaweza kuta eneo flani watu wanapata changamoto ya usafiri hivyo ni gharama kwenda kupata huduma za kijamii na shughuli za kusafirisha mazao ama raw materials na kuadhiri msisimko wa uchumi.
Mkuu wewe hauna unachokijua kwanza hakuna kodi ya parking bali ni tozo ile..pia lalamiko kuhusiana na parking ilikua hela inajiongeza kila siku lakini sasa hivi ukiandikiwa unapewa hadi miezi mitano ndo unalipia kwaio hata kama hio siku hauna hela utaja lipa ndani ya muda huo..swala hili haliondoi wizi wa serkikali kwa wananchi kwenye magari sababu hakuna kiwnda chochote kile kinacholindwaKama mtu anaanza kulalamika tu Kodi ya Kuimport, kuna uwezekanao mkubwa sana akalalamika kwamba kodi ya parking ni kubwa, Spare bei juu etc. Juzi tu utaratibu mpya wa parking ulianzishwa watu wakalalamika kwamba bei ni kubwa, sijui sio rafiki etc; Kila utakachofanya watu watalalamika tu;
Kitu ambacho hauelewi wewe ni kwamba watu hawalalamiki kulipoa ushuru bali ni method inayotumika kukokotoa ushuru wa hayo magari ndo tatizo...🤣🤣🤣Wabongo utawaweza? Wanapenda kufuata mkumbo bila kutafakari. Utakuta mtu anaenda bar za kishua akiuziwa bia ya eg safari kwa elfu kumi anaanza kulialia bila kujua zile ni kwa wateja wenye uwezo. Usafiri wa umma uko lakini unakuta mtu analazimisha kununua gari huku hata hana uwezo wa kulipia ushuru wake. Wakiambiwa ukweli wanamshambulia aliyewaambia. Hivi kweli mtu kama unashindwa kulipa ushuru wa gari wa sh milioni 5 kuna haja ya kumiliki hilo gari? Kwa nini usipande magari ya umma tu?
Wangeweka sheria gari ya miaka fulani kurudi chini isiwepo, labda kusiwe na gari ya kuanzia mwaka 90 kurudi chini, nafiki yale mafiati ya madina hapa dar yasingekuwepo teeenaWanafanya hivyo kuzuia dumping, bila hizo kodi hii nchi ingekuwa jalala la hayo magari used mbaya zaodi miundo mbinu yetu haiwezi himili magari mengi.
Tafuta pesa
Kodi haiwezi zuia Dumping. Ushawahi Nunua Gari Jipya Ukaona Kodi yake TRA!?
Ukute hujawahi kuagiza hata ki vitz old modelNunua mpya mzee uepukane na kodi za kijanja.
Hata ununue Zero kodi ipo pale paleAudi A5 ya 2019 bei ya chini around 75M ila kodi yake 42M.
Kodi 56% aiseee sisi ni mashetani tunaishi live duniani.
Ni 30% ya Bei.
Gari Mzee ndiyo up to 100%.
Jamaa yupo sawa, gari nyingi bongo ni nzee inabidi ziwe discouraged
Hamna barabara, zilizopo ni two lanes, Sasa miaka hii unaunganisha mikoa na two lanes.
Halafu zinaharibu mazingira kutokana na kutokuwepo miundombinu ya kutosha.
Kodi kubwa sababu unaleta takataka zenye umri uliozidi miaka kumi... hebu hamia kwenye gari mpya tuone kama utaleta kelele tena
Huyo Ni kijana unakuta kamaliza Shule huko kijijini kaenda St Augustine University akitoka hapo anapata kazi TRA , matokeo yake ndio hayo.Taja gari moja mpya yenye kodi ndogo.