TRA kwenye kodi ya magari wanafanya "wizi" wa wazi kabisa

TRA kwenye kodi ya magari wanafanya "wizi" wa wazi kabisa

Kwa ulimwengu wa Sasa gari ni basic needs na utusaidia kuacha mawazo ya kukopa kopa kwani yatachochea mapato kivipi . Magari yote ya biashara yaingie bila ushuru Ili kukuza ajira, kuchochea usafirishaji abiria na mizigo. Gari isitozwe ushuru ikiingia ushuru wake utapatikana indirect kupitia tozo mbalimbali mfano parking fee, spareparts, garage, mafuta, fine za traffic, nk hii itachochea wengi kuingiza magari so kupitia ile gharama za kuhudumia gari ndipo kodi ya serikali upatikana.
Hoja ya ant dumping na miundombinu haina mashiko
 
Hebu leo tuwaangalie hawa jamaa,

Mifumo yetu ya kikodi ni mibovu mno yaani hakuna namna ambayo kodi itatoa ahueni kwa mwananchi wa kawaida hilo halipo. Angalia ukiagiza gari iliyotumika iwe japan, Dubai, Thailand au Afrika Kusini yaani kodi unayolipa tena isiyo na mantiki tena kodi ya kuudhi.

Angalia kwa mfano unanunua gari dollar 2500 unalipa tozo na kodi zao dollar karibu tena 2000 , kwa ufupi ukinunua gari ya milioni kumi nje andaa kodi milioni 7 au 8 au 9.

Ukiangalia vyema calculator yao hawa TRA ni formular ya ujanja ujanja ya kuumiza wananchi na wabunge walikaa wakapitisha kodi hiyo ya mchongo ambayo haiendani na uhalisia wa maisha ya Mtanzania.

Ifike hatua nao wajistukie kanuni wanazotumia kama sio kupitwa na wakati basi TRA wao wenyewe wamepitwa na wakati.

Pamoja na kukusanya mapato lakini TRA ni moja ya taasisi zinazorudisha nyuma maendeleo ya nchi hii.

Ni mpaka wakitoka madarakani wakiwa nje nao ufeel maumivu kama wananchi wengine.
 
Gari sio kwa kila mtu kama unalalamikia Kodi ya 9m TZS (4000 USD) elewa hujafikia hadhi ya kumiliki gari hangaika na Guta, SANLG au FEKON ndo size yako. Asante.
Hata kama ajafikia levels still ndicho kilio cha watz kuhusu ile kodi ya wizi.
Nchi zote jirani kodi ipo chini kuliko sisi.
Gari ni kitendea kazi
 
Wanafanya hivyo kuzuia dumping, bila hizo kodi hii nchi ingekuwa jalala la hayo magari used mbaya zaodi miundo mbinu yetu haiwezi himili magari mengi.

Tafuta pesa
We Ni kichaa huoni Kodi zikipungua watu ndio watanunua magari latest.


Hebu nenda kwenye calculator ya TRa Angalia Kodi ya IST ya 2020 na IST ya 2010 halafu tuje kuona kwa TANZANIA kati ya Gari kuukuu na Gari jipya lipi lenye Kodi kubwa
 
Wanapoudhi mimi ni pale wanapo base kodi zao kwenye (CIF +IMPORT DUTY) yaani wange base kwenye CIF tu ingekuwa afadhali.
 
Wanafanya hivyo kuzuia dumping, bila hizo kodi hii nchi ingekuwa jalala la hayo magari used mbaya zaodi miundo mbinu yetu haiwezi himili magari mengi.

Tafuta pesa
Mkuu ingekuwa ishu ni kuzua dumping (uingizaji wa gari zilizochoka) basi ushuru wa gari za miaka ya karibuni ungekuwa mdogo sana, ila sasa mambo ni kinyume kabisa. Gari za mwaka 2018 - kuja 2022 ushuru wake ni balaa, Land Cruiser Series 300 ya 2022 ushuru wake ni shilingi milioni 300 na Japan inauzwa shilingi milioni 350 hivi, lakini Land Cruiser ya 2008 ushuru wake upo chini ya huu wa ya 2022, sasa hapo TRA wanazuia dumping au wanavutia dumping?
 
Kodi ya magari ni wizi mtupu serikali inawaibia wananchi
Yaani Mtu anauza gari (kitu kinachoshikika - mali) kwa shilingi milioni 4 halafu Serikali inatoza ushuru shilingi milioni 4 ikiwa imekaa tu, hakuna ilichofanya kujustify utozaji wa hiyo milioni 4 na hapo bado mtu unalipia gharama za kutumia bandari kupitisha gari lako na bado pia TRA unawalipa gharama za kuhandle utokaji wa gari lako (nje ya ile milioni 4 ya ushuru)...na wananchi bado tunaona mambo ni sawa tu!!
 
Yaani Mtu anauza gari (kitu kinachoshikika - mali) kwa shilingi milioni 4 halafu Serikali inatoza ushuru shilingi milioni 4 ikiwa imekaa tu, hakuna ilichofanya kujustify utozaji wa hiyo milioni 4 na hapo bado mtu unalipia gharama za kutumia bandari kupitisha gari lako na bado pia TRA unawalipa gharama za kuhandle utokaji wa gari lako (nje ya ile milioni 4 ya ushuru)...na wananchi bado tunaona mambo ni sawa tu!!

Kodi ya magari ni wizi Mkubwa serikali inatuibia sisi wananchi,gari kitendea kazi sawa na computer au kalamu iweje itozwe bei SAwa na ya kununulia
 
parking fee, spareparts, garage, mafuta, fine za traffic, nk hii itachochea wengi kuingiza magari so kupitia ile gharama za kuhudumia gari ndipo kodi ya serikali upatikana
Kama mtu anaanza kulalamika tu Kodi ya Kuimport, kuna uwezekanao mkubwa sana akalalamika kwamba kodi ya parking ni kubwa, Spare bei juu etc. Juzi tu utaratibu mpya wa parking ulianzishwa watu wakalalamika kwamba bei ni kubwa, sijui sio rafiki etc; Kila utakachofanya watu watalalamika tu;
 
Kama mtu anaanza kulalamika tu Kodi ya Kuimport, kuna uwezekanao mkubwa sana akalalamika kwamba kodi ya parking ni kubwa, Spare bei juu etc. Juzi tu utaratibu mpya wa parking ulianzishwa watu wakalalamika kwamba bei ni kubwa, sijui sio rafiki etc; Kila utakachofanya watu watalalamika tu;
Hakuna uhusiano na ukichoandika.
Mbona walifuta road license wakaiingiza kwenye mafuta na wanapata pesa nyingi Sana kuliko ile ya awali. Ndo hivyo ukifuta direct tax utapata nyingi Sana kwenye indirect tax kupitia gari hio hio.
Mfano direct tax milioni 4 indirect tax huwa zaidi ya milioni 10 per car life span ni suala la hesabu. Ondoa import duty Ili wasiojua hesabu waingie mkenge kuagiza kwa wingi then utakusanya zaidi kupitia indirect tax, yaani nyumba moja zimejaa gari 5 baba gari, mama gari, mtoto gari, KILA mti gari
 
Kama mtu anaanza kulalamika tu Kodi ya Kuimport, kuna uwezekanao mkubwa sana akalalamika kwamba kodi ya parking ni kubwa, Spare bei juu etc. Juzi tu utaratibu mpya wa parking ulianzishwa watu wakalalamika kwamba bei ni kubwa, sijui sio rafiki etc; Kila utakachofanya watu watalalamika tu;
Raha ya ngoma ni kuicheza.
 
Wanafanya hivyo kuzuia dumping, bila hizo kodi hii nchi ingekuwa jalala la hayo magari used mbaya zaodi miundo mbinu yetu haiwezi himili magari mengi.

Tafuta pesa
Lakini pia viwanda vya nondo vingepata malighafi kibao kutoka nje ya nchi.
 
CCM bado wanamentality ya hovyo sana nchi zote za Afrika ya mashariki Sisi ndyo tunakodi kubwa ya kutoza magarii hawana mpango wowote WA kubadili ili dunia ya sasa gari ni sehemu ya maisha yeti ya kila siku
 
Back
Top Bottom