TRA mfumo wa kufuatilia utendaji wa EFD ni hatua sizizo na tija zaidi ya kutengeneza mwanya wa rushwa

TRA mfumo wa kufuatilia utendaji wa EFD ni hatua sizizo na tija zaidi ya kutengeneza mwanya wa rushwa

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Kwenye taarifa iliyoambatanishwa hapa chini, TRA imeingia mkataba na the International Growth Centre (IGC) taasisi ya kitafiti iliyoko ndani ya London School of Economics ya kufunga mfumo wa kufuatilia utendaji wa EFD.

Kwa mjibu wa mpango huo TRA watakuwa wanatuatilia mwenendo wa utowaji wa risiti, ukipungua wanamfuata mteja na kumchukulia hatua za kisheria.
Kwa maelezo haya TRA wanadhani biashara inaenda na kutembea kama mshale wa saa. Hizi ni akili za ajabu sana na mpango huu ni wizi kama wizi mwingine.

 
mzee acha janja janja wewe toa risiti wacha wafatilie mimi sioni shida kama unatoa ngoma kama hutoi. mimi tra wafatilie tu si mara ya kwanza huwa wananifatilia kila wakija kwangu wanakuta natoa naona wameamua acha kwani wamejua hawanipati ng'o sitaki kuwapa nafasi ya adhabu mimi nikiuza tu natoa zangu.
Kijana sijui kama umeelewa kinachofatiliwa ni nini na mie hoja yangu ni ipi
 
mzee acha janja janja wewe toa risiti wacha wafatilie mimi sioni shida kama unatoa ngoma kama hutoi. mimi tra wafatilie tu si mara ya kwanza huwa wananifatilia kila wakija kwangu wanakuta natoa naona wameamua acha kwani wamejua hawanipati ng'o sitaki kuwapa nafasi ya adhabu mimi nikiuza tu natoa zangu.
Hongera kwa kutoa risiti. Ila hujamuelewa mtoa hoja. Usikute hata TRA Tanzania hawajaelewa maana ni kipi hasa watakifanya na huo mfumo. Tuwape muda katika kuboresha miundombinu yao wawe kisasa zaidi.
 
Kwa vile hatujajua huo mfumo unafanyaje kazi ngoja tuone,kwa mawazo yako unahisi labda watu wasio na biashara zisizo na mauzo mengi wataonewa.
Mkuu nafanyia kazi maelezo yao (TRA) ambayo kwa ufupi watafatilia INTENSITY ya utowaji wa risiti. Unatoa risiti unapouza sasa wafanyabiashara hawauzimda wote- kuna peak, low na moderate hours. Sijui bench mark itakuwa ipi kati ya hizo. Kama itakuwa peak hours maana yake wakati wa low hours intensity itakuwa chini na mfanyabiashara atakamatwa kwa kuvunja sheria- kwa mjibu wa maelezo ya TRA
 
Back
Top Bottom