TRA mnasubiri Rais Samia awaambie mbadilishe teknolojia ya kadi za vyombo vya moto kuwa 'smart card' ndio mstuke?

TRA mnasubiri Rais Samia awaambie mbadilishe teknolojia ya kadi za vyombo vya moto kuwa 'smart card' ndio mstuke?

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
Kuna vitu vinatia kunyaa Tanzania viongozi wapo maofisini hawana ubunifu na hawaendi na wakati wapo wapo tu

Likadi likubwa la A4 kama karatasi ya mtihani wakati siku hizi nchi nyingi wanatumia smart card 💳 tu na inabeba taarifa zote za gari

Au mnasubiri hadi mama aje awaambie ndio mshtuke? Uwepo wenu hapo ofisini una maana gani ? Au ndio kufanya kaz kwa mazoea hakuna ubunifu wowote mnao uleta kazini?
 
mkuu hii ungeiweka kama wazo huu uzi ungetembea sana kuna kurasa yao humu unge wa cc.
 
Binafsi magari yote yasajiliwe kimkoa na mapato yake yawe chini ya municipalities na hii ni pamoja na driving licenses,,,TRA wajikite kwenye ukusanyaji wa kodi kubwa tu
 
Kuna muda huwa najiuliza ivi Maofisini huwa wanafanya kazi gani, nashindwa kupata jibu Mkuu.

KILA KITU NI MPAKA WAPATE MAELEKEZO KUTOKA JUU, YANI WAPOWAPO TU!

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Kuna vitu vinatia kunyaa Tanzania viongozi wapo maofisini hawana ubunifu na hawaendi na wakati wapo wapo tu

Likadi likubwa la A4 kama karatasi ya mtihani wakati siku hizi nchi nyingi wanatumia smart card 💳 tu na inabeba taarifa zote za gari

Au mnasubiri hadi mama aje awaambie ndio mshtuke? Uwepo wenu hapo ofisini una maana gani ? Au ndio kufanya kaz kwa mazoea hakuna ubunifu wowote mnao uleta kazini?
Tumekusikia dalali wa kampuni inayouza hizo smartcard
 
Back
Top Bottom