Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaratibu huo ulikuwepo zamani, sasa waliona una kasoro gani sijui.Binafsi magari yote yasajiliwe kimkoa na mapato yake yawe chini ya municipalities na hii ni pamoja na driving licenses,,,TRA wajikite kwenye ukusanyaji wa kodi kubwa tu
Haukua na kasoro yeyote, just royal families 👪 zilitaka upigaji mkubwa wa pesa, why TRA wa control kila kodi hapa nchini?,hata vijiduka vya mkaa,tra monster yupo !Utaratibu huo ulikuwepo zamani, sasa waliona una kasoro gani sijui.
"Tra monster"😂😂😂Haukua na kasoro yeyote, just royal families 👪 zilitaka upigaji mkubwa wa pesa, why TRA wa control kila kodi hapa nchini?,hata vijiduka vya mkaa,tra monster yupo !