Binafsi magari yote yasajiliwe kimkoa na mapato yake yawe chini ya municipalities na hii ni pamoja na driving licenses,,,TRA wajikite kwenye ukusanyaji wa kodi kubwa tu
Haukua na kasoro yeyote, just royal families πͺ zilitaka upigaji mkubwa wa pesa, why TRA wa control kila kodi hapa nchini?,hata vijiduka vya mkaa,tra monster yupo !
Haukua na kasoro yeyote, just royal families πͺ zilitaka upigaji mkubwa wa pesa, why TRA wa control kila kodi hapa nchini?,hata vijiduka vya mkaa,tra monster yupo !