DOKEZO TRA mtonyo huu hapa, BP PUMA Tangi Bovu hawatoi risiti siku ya tatu sasa

DOKEZO TRA mtonyo huu hapa, BP PUMA Tangi Bovu hawatoi risiti siku ya tatu sasa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Kwangu kituo karibu, rahisi na kwa sasa kinachoaminika ni BP PUMA Tangi Bovu.

Nimeenda kuweka mafuta juzi, wakasema mashine ya risiti imegoma. Leo nimeenda tena hapo, bado hawana risiti!

Majuzi nimeona magazetini TRA wakimshitaki masikini mama mmoja hapa DSM kwa kutodai risiti. Sasa kwa hapa BP PUMA, TRA hamjajificha mahali kweli kuashika wateja wasiopewa risiti?

Watu msije sema huu ni unoko, ni mtonyo, maana hata kwetu risiti inasaidia kuelezea expenditure ya mahesabu ya mwaka.
 
Kwangu kituo karibu, rahisi na kwa sasa kinachoaminika ni BP PUMA Tangi Bovu.

Nimeenda kuweka mafuta juzi, wakasema mashine ya risiti imegoma. Leo nimeenda tena hapo, bado hawana risiti!

Majuzi nimeona magazetini TRA wakimshitaki masikini mama mmoja hapa DSM kwa kutodai risiti. Sasa kwa hapa BP PUMA, TRA hamjajificha mahali kweli kuashika wateja wasiopewa risiti?

Watu msije sema huu ni unoko, ni mtonyo, maana hata kwetu risiti inasaidia kuelezea expenditure ya mahesabu ya mwaka.
TRA inabidi waende Mbagala Rangi3 katika maduka ya Jumla ya chakula na bidhaa ndogondogo ni wababe hawatoi risiti. Ukiwadai tu mnagombana
 
Halafu wakati huo huo mnataka inchi iendelee,na nyie ndio wa kwanza kusema serikali haitoi huduma za jamii.

Kwa stahili hii tutafika wapi?
Acha umbea na tabia za kichawi wewee. Ukiishi na kujali mambo yako utapungukiwa nini?
 
Hayo ni maoni yako na unaonyesha ni kiasi haupo vzr upstairs
Jali na ishi maisha yako utakuwa na amani. Kufuatilifuatilia wanaume wengine wanavoishi unafaidika nini? Kila mtanzania ni mwizi na janjajanja katika nafas yake. Mind your own business to get peace of mind and heart.
 
Jali na ishi maisha yako utakuwa na amani. Kufuatilifuatilia wanaume wengine wanavoishi unafaidika nini? Kila mtanzania ni mwizi na janjajanja katika nafas yake. Mind your own business to get peace of mind and heart.
Ningekufuatilia wewe au mtu binafsi ungekuwa na haki ya kusema hivyo.

Tunazungumzia hapo ukiukaji WA Sheria ya mauzo ambayo moja Kwa moja yanaathir uchumi WA inchi na mustakabali WA Taifa hili.

Inahitaji kuwa na akili kubwa kuliona hili.
 
Back
Top Bottom