DOKEZO TRA mtonyo huu hapa, BP PUMA Tangi Bovu hawatoi risiti siku ya tatu sasa

DOKEZO TRA mtonyo huu hapa, BP PUMA Tangi Bovu hawatoi risiti siku ya tatu sasa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Naam, hao ndio watanzania hapo juu wakitoa maoni yao, kutokana na comments zao ni wazi nchi hii hatujui tunachotaka, hata mimi sijui

CCM oyeeeeee (makofi pwaa pwaa)
Tunajua, wewe ndio hujui.. hata ulaya unapoona ni bora. Hizo fine si kila siku. Si hovyo hovyo hivo. Na tunachosimamia hapa. Hata hao unaowaita wakaipige fine hyo petrol station ni watu wa mchongo tu. Tunaonea huruma huyo ndugu yetu maana unamuweka matatizoni. Hata akipigwa fine. Hatuoni chchte cha maana, fine hizo kila siku watu wanapigwa, tunalipa kodi, wapo watu wanapoteza account za benki, biashara zao, vyombo vyao vya usafiri, kwa ushirikina kama huu ubaolrta, ila badooooooo. Watanzania tunalia.
Sasa usiseme hatujui tunapopataka. Hama nchi basi.
 
Naam, ndugu mtazamaji hao ndio watanzania hapo juu wakitoa maoni yao, kutokana na comments zao ni wazi nchi hii hatujui tunachotaka, hata mimi sijui

CCM oyeeeeee (makofi pwaa pwaa)
Watu hawataki kulipa kodi.
Mkwepa kodi wanamwona mjanja.
Halafu wao wenyewe hawalipi kodi , na bado huyo mtu akiharisha atakimbilia hospitali ili akaharishe huko bure, raha mustarehe bila kulipa kodi!
 
Tunajua, wewe ndio hujui.. hata ulaya unapoona ni bora. Hizo fine si kila siku. Si hovyo hovyo hivo. Na tunachosimamia hapa. Hata hao unaowaita wakaipige fine hyo petrol station ni watu wa mchongo tu. Tunaonea huruma huyo ndugu yetu maana unamuweka matatizoni. Hata akipigwa fine. Hatuoni chchte cha maana, fine hizo kila siku watu wanapigwa, tunalipa kodi, wapo watu wanapoteza account za benki, biashara zao, vyombo vyao vya usafiri, kwa ushirikina kama huu ubaolrta, ila badooooooo. Watanzania tunalia.
Sasa usiseme hatujui tunapopataka. Hama nchi basi.
Watanzania mpaka lini tutaishi na mwazo ya kijinga kijinga.
Kutoa risiti ni SHERIA siyo utashi wa mfanyabiashra au mtu yeyote.
Watu bado mna mawazo ya kijima kuwa asiyetoa risiti au anakwepa kodi ni mjanja.

Mtakuwa na mawzo ya kijima mpaka lini?
Rais Trump huko Marekani TRA ya huko (IRIS), anaandamwa vikali kwa kukwepa kodi katika biashara zake za miaka ya nyuma.
Sasa watanzania hiki kizungumkuti cha kutoelewa kuwa kodi inawiana na maendeleo sijui kitaisha lini.
 
wanaokwenda kufaidika wengine wewe unamaliza bando.
sawa snitch ana kusnitch kwa polisi alafu polisi unalipa laki yeye anaambulia elfu tano
 
Tunajua, wewe ndio hujui.. hata ulaya unapoona ni bora. Hizo fine si kila siku. Si hovyo hovyo hivo. Na tunachosimamia hapa. Hata hao unaowaita wakaipige fine hyo petrol station ni watu wa mchongo tu. Tunaonea huruma huyo ndugu yetu maana unamuweka matatizoni. Hata akipigwa fine. Hatuoni chchte cha maana, fine hizo kila siku watu wanapigwa, tunalipa kodi, wapo watu wanapoteza account za benki, biashara zao, vyombo vyao vya usafiri, kwa ushirikina kama huu ubaolrta, ila badooooooo. Watanzania tunalia.
Sasa usiseme hatujui tunapopataka. Hama nchi basi.
Umeelewa nilichoandika ? ,Msiwe mna comment tu ,baadhi ya comments zangu humu huwa hazisimami upande wowote

Mimi hapo nimeshangaa mabishano nikaweka na utani,punguza makasiliko
 
Watanzania mpaka lini tutaishi na mwazo ya kijinga kijinga.
Kutoa risiti ni SHERIA siyo utashi wa mfanyabiashra au mtu yeyote.
Watu bado mna mawazo ya kijima kuwa asiyetoa risiti au anakwepa kodi ni mjanja.

Mtakuwa na mawzo ya kijima mpaka lini?
Rais Trump huko Marekani TRA ya huko (IRIS), anaandamwa vikali kwa kukwepa kodi katika biashara zake za miaka ya nyuma.
Sasa watanzania hiki kizungumkuti cha kutoelewa kuwa kodi inawiana na maendeleo sijui kitaisha lini.
Watu tunaelewa father. Yeye atulie, anakuja kuita ita hapa ili iweje, kwamba akiita hayo maendeleo yatatoka leo. Watu wanatoa risiti na wanandika pungufu. Aseme elimu iendelee kutolewa.
 
Back
Top Bottom