TRA Tanzania
Senior Member
- Jul 16, 2022
- 128
- 370
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya Muheza Mh. Zainab Abdallah wameendesha kliniki ya kodi katika viwanja vya Bombani Muheza mkoani Tanga. Kliniki hiyo imefanyika kwa kusikiliza na kutatua chamgamoto za kikodi kwa wafanyabiashara wa Muheza.
Aidha wafanyabiashara waliokuwa na changamoto za kikodi wameweza kutatuliwa changamoto zao.
Aidha wafanyabiashara waliokuwa na changamoto za kikodi wameweza kutatuliwa changamoto zao.