TRA na mashine za risiti

TRA na mashine za risiti

gkileo

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2010
Posts
1,096
Reaction score
487
Ni kichekesho kweli kwamba TRA sasa wanafunga maduka ya wasiokua na mashine za risiti. Ninajiuliza kua wale waliokua wanagoma kufungua maduka kupinga hizi mashine kumbe walikua wanatekeleza matakwa ya TRA bila kujua!
Kama hutumii mashine ya risiti funga Duka utakua huna kelele na TRA!
 
We acha izo kama uhelewi somo tulia mkui
 
Back
Top Bottom