Wao wanadhani Tz ni Dar es Salaam tu, wanasahau kwamba kule vijijini hata hizo barabara tu ni shida achilia mbali magari. .... sio kwamba hapa Tz tuna kiwanda cha kutengeza magari ambacho tunakilinda. Hawa watu ni majuha sana.
Sijaelewa kama hawa walibuni utumbo huu ni wanauchumi wa ukweli! Yaani kwao Tanzania ni Dar peke yake, kuwakomoa watu wa Dar ina affect nchi nzima. Huu ni ujuha nambari wani. Tanzania hakuna kiwanda cha magari tunachokilinda, sasa kuweka mfumo huu ni kwa faida ya nani?
Kitilya na TRA yake wajivue gamba la kutumikishwa na wanasiasa.
,
Usafiri wa umma wenyewe hivi una exists?? mi naona tu kila mtu anaishi kibahati bahati very close to anarchy. Hivi kweli Tz tunaeza kusema tuna public transport? tuna takwimu zozote za magari, abiria, muda wa safari n.k?
Kama hujaipata hii basi jiandae!!!!!!
Tarehe 1 July 2011 TRA wanaplan kuintroduce system yao mpya kwa ajili ya valuation ya used motorvehicles...
Mfumo mpya utakuwa kama ifuatavyo...Used vehicles zitakuwa valued on either ex-factory FOB au market value in local market...
Nianze na ex factory FOB..
Kwenye mfumo hu, TRA wataestablish database itakayo kuwa na bei za magari kipindi yameingizwa sokoni kwa mara ya kwanza...labda nitoe mfano mana kidogo ina mahesabu
Mfano: Mtu akiagiza gari aina ya Toyota Premio 2001 model..hapo ina maana hii gari imezidi miaka kumi tokea itengenezwe...kwa hilo bei pungufu itakayoruhusiwa ni asilimia 70% ya bei ilipoingia sokoni kwa mara ya kwanza..PREMIO bei yake ya awali sokoni ilikuwa USD 40,000 kwa huko Japan...
Kwa maana hiyo FOB ex factory itakuwa USD 40,000 toa 28,000 (70% of USD 40,000) = USD 12,000 na hiyo ndo itakuwa Customs Value ambayo itakuwa subjected kwenye Import Duty, Excise Duty, VAT na uchakavu (kama upo)....
Kwa namna hiyo kodi jumla itakuwa kama ifuatavyo
Import duty (ID)=0.25*12,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(12,000+0.25*12,000)
Excise (E) =0.1*(12,000+0.25*12,000)
VAT= 0.18* (12,000+ID+DF+E)
Hii ni tofauti na bei za sasa ambazo weza kuagiza premio ya mwaka 2001 kwa CIF ya USD 3,000 to USD 3,500...na kodi ingekuwa kama ifuatavyo
ukiweka na uchakavu
Import Duty (ID)=0.25*,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(3,000+0.25*3,000)
Excise (E) =0.1*(3,000+0.25*3,000)
VAT= 0.18* (3,000+ID+DF+E)
Market Valuation Method
Kwa market value method watachukua bei za sokoni Tanzania na kutoa profit margin ya asilimia 25 na kutoa gharama za kodi zilizolipiwa ili waweze kupata CIF kipindi gari linaingia nchini...Mfumo huu utatumika pale tu ambapo bei halisi wakati gari linaingia sokoni kwa mara ya kwanza itakuwa ni vigumu kujulikana...
My take:
Je hii ndiyo njia ya kupunguza foleni za magari Dar? na je vipi kule ambapo bado kuna shida ya usafiri itakuwaje?
Kama hujaipata hii basi jiandae!!!!!!
Tarehe 1 July 2011 TRA wanaplan kuintroduce system yao mpya kwa ajili ya valuation ya used motorvehicles...
Mfumo mpya utakuwa kama ifuatavyo...Used vehicles zitakuwa valued on either ex-factory FOB au market value in local market...
Nianze na ex factory FOB..
Kwenye mfumo hu, TRA wataestablish database itakayo kuwa na bei za magari kipindi yameingizwa sokoni kwa mara ya kwanza...labda nitoe mfano mana kidogo ina mahesabu
Mfano: Mtu akiagiza gari aina ya Toyota Premio 2001 model..hapo ina maana hii gari imezidi miaka kumi tokea itengenezwe...kwa hilo bei pungufu itakayoruhusiwa ni asilimia 70% ya bei ilipoingia sokoni kwa mara ya kwanza..PREMIO bei yake ya awali sokoni ilikuwa USD 40,000 kwa huko Japan...
Kwa maana hiyo FOB ex factory itakuwa USD 40,000 toa 28,000 (70% of USD 40,000) = USD 12,000 na hiyo ndo itakuwa Customs Value ambayo itakuwa subjected kwenye Import Duty, Excise Duty, VAT na uchakavu (kama upo)....
Kwa namna hiyo kodi jumla itakuwa kama ifuatavyo
Import duty (ID)=0.25*12,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(12,000+0.25*12,000)
Excise (E) =0.1*(12,000+0.25*12,000)
VAT= 0.18* (12,000+ID+DF+E)
Hii ni tofauti na bei za sasa ambazo weza kuagiza premio ya mwaka 2001 kwa CIF ya USD 3,000 to USD 3,500...na kodi ingekuwa kama ifuatavyo
ukiweka na uchakavu
Import Duty (ID)=0.25*,000
Dumping Fees (DF) =0.2*(3,000+0.25*3,000)
Excise (E) =0.1*(3,000+0.25*3,000)
VAT= 0.18* (3,000+ID+DF+E)
Market Valuation Method
Kwa market value method watachukua bei za sokoni Tanzania na kutoa profit margin ya asilimia 25 na kutoa gharama za kodi zilizolipiwa ili waweze kupata CIF kipindi gari linaingia nchini...Mfumo huu utatumika pale tu ambapo bei halisi wakati gari linaingia sokoni kwa mara ya kwanza itakuwa ni vigumu kujulikana...
My take:
Je hii ndiyo njia ya kupunguza foleni za magari Dar? na je vipi kule ambapo bado kuna shida ya usafiri itakuwaje?
Mi ninafikiri TRA haijapata wataamalu wenye uelewa wa kutosha. Usafiri ni njia moja wapo inayomaliza tatizo la ajira duniani. kwa sababu kutokana na mihangaiko na mizunguko itakayokuwepo mahali panapo husika. Na ndio maana nchi zilizoendelea zinalinda sana na zimeweka mpangilio mzuri ili kila mtu awe na usafiri kutokana na unafuu anaouona mtumiaji, mradi usitumie hicho chombo vibaya kama mlevi, wizi nk. Na ndio maana wamejitahidi kuboresha barabara zao ili shughuli za kuwasumbua raia zisitokee. Yaani ninasema mazao tulio nayo na madini na rasilimali nyingine tulizo nazo TRA wakitengeneza njia nzuri za ukusanyaji wa mapato watapata hela nyingi sana. Swala ni kuwaelimisha wananchi na kuwafungia calculeta ya computer ambayo inatoa mahesabu arudishe hela yake na kodi ni kiasi fulani na hii mashine inampa risiti hapo hapo. Kama mtu atauza bila kutoa au kupokea risiti iwepo faini. TRA wawe na kikosi chao kama cha polisi sio hawa polisi feki tulionao sasa hivi ambacho kitakagua hata kama kodi itakuwa ndogo kila mtu atalipa na ukwepaji utakuwa ni mgumu. Waache uhuru kwa mali zinazo toka nje ili wananchi wawe na ubunifu wa kutosha, lengo ni kujenga taifa letu.
hiyo ndo wameona njia ya kuongeza mapato badala ya kubuni vyanzo vipya yahani wamekaa tu pale na nothing new to them na wanapokea mishahara mikubwa for nothing. Ilitakiwa wawe na kitengo cha research kwa ajili ya kuangalia opportunities za vyanzo vipya na sio kuzidi kuwapandishia gharama za maisha wananchi.