Kiluvya2011
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 215
- 31
AKILI KAMA HIZI JUU YA NCHI YAKO MWENYEWE.....NADHANI ILIMFANYA YO YO AOMBE URAIA WA KENYA!
DOWN WITH THIS...!
RAIS UNAHUJUMIWA NA WATENDAJI WANAOTAKA KUONYESHA KUWA SERIKALI YAKO IMESHINDWA KUWAHUDUMIA WANANCHI WA KAWAIDA....!
ILI WAKIINGIA WATU WAO WARUDISHE MFUMO WA AWALI
TAKE CARE JK....... they are with you and they are not fighting with you
Kama mkuu wa nchi anasema kuwa na magari ni maendeleo wewe unategemea kuna nini hapo? Hawa watu wamelewa madaraka, na kwasababu wanajua kwamba wana exemptions wakiagiza magari, na pia wananunua mashangingi ya mamilioni na baada ya miaka 3 wanakwambia depreciation yake ni zero value wanauziana kwa bei ya kutupa, saa ngapi watawafikiria nyie walala hoi? Haya ndio maisha bora kwa kila Mtanzania.Wadhibiti hivyo wakiamini kwamba usafiri wa umma upo madhubuti lakini sivyo hali ilivyo sasa hivi,hii ni dalili ya kutengeneza matabaka ya walio nacho na wasio nacho ambapo ni hatari kubwa kwa usalama wa nchi yetu haswa wasiokuwa nacho wanapoendelea kuongezeka...
Na pia uingizaji sio fujo ni mindombinu mibovu ndio inayosababisha kuonekana gari nyingi barabarani..
soma hapa mkuu..
http://www.tra.go.tz/images/organisation structure.jpg
wanacho hicho kitengo kabla hata wewe hujazaliwa enzi ya kibanga ampiga mkoloni....shida ni kuwa wanafanya nini hao watu chini ya huyo director wa research and policy?
napenda kushukuru kwa aliyetuma hizi attachment, naomba kila mdau atulie na kujaribu kuzisoma, kuzielewa na kutumia naona kwangu mimi taxes zipo fair kikubwa hapa ni kujua source and authenticity ya hizo attacment kwani zinaweza kuwa nzuri hapa alafu ukiaenda tra ukakutana na kitu kingine. Iwapo hii info imetoka tra basi naweza kusema haiko vibaya, hapa wanajaribu kuwabana wala rushwa kwa overestimate fob prices kama ambavyo wamekuwa wakifanya siku za nyuma. Wadau naomba na mwingine ajaribu kama nilivyofanya ili kupata uhakika na tuendelee na mjadara huu kwani wanunuzi wa magari siku hizi ni wengi.
Kama itakuwa kweli ni sooKama hujaipata hii basi jiandae!!!!!! Tarehe 1 July 2011 TRA wanaplan kuintroduce system yao mpya kwa ajili ya valuation ya used motorvehicles... Mfumo mpya utakuwa kama ifuatavyo...Used vehicles zitakuwa valued on either ex-factory FOB au market value in local market... Nianze na ex factory FOB.. Kwenye mfumo hu, TRA wataestablish database itakayo kuwa na bei za magari kipindi yameingizwa sokoni kwa mara ya kwanza...labda nitoe mfano mana kidogo ina mahesabu Mfano: Mtu akiagiza gari aina ya Toyota Premio 2001 model..hapo ina maana hii gari imezidi miaka kumi tokea itengenezwe...kwa hilo bei pungufu itakayoruhusiwa ni asilimia 70% ya bei ilipoingia sokoni kwa mara ya kwanza..PREMIO bei yake ya awali sokoni ilikuwa USD 40,000 kwa huko Japan... Kwa maana hiyo FOB ex factory itakuwa USD 40,000 toa 28,000 (70% of USD 40,000) = USD 12,000 na hiyo ndo itakuwa Customs Value ambayo itakuwa subjected kwenye Import Duty, Excise Duty, VAT na uchakavu (kama upo).... Kwa namna hiyo kodi jumla itakuwa kama ifuatavyo Import duty (ID)=0.25*12,000Dumping Fees (DF) =0.2*(12,000+0.25*12,000)Excise (E) =0.1*(12,000+0.25*12,000)VAT= 0.18* (12,000+ID+DF+E) Hii ni tofauti na bei za sasa ambazo weza kuagiza premio ya mwaka 2001 kwa CIF ya USD 3,000 to USD 3,500...na kodi ingekuwa kama ifuatavyoukiweka na uchakavu Import Duty (ID)=0.25*,000Dumping Fees (DF) =0.2*(3,000+0.25*3,000)Excise (E) =0.1*(3,000+0.25*3,000)VAT= 0.18* (3,000+ID+DF+E) Market Valuation Method Kwa market value method watachukua bei za sokoni Tanzania na kutoa profit margin ya asilimia 25 na kutoa gharama za kodi zilizolipiwa ili waweze kupata CIF kipindi gari linaingia nchini...Mfumo huu utatumika pale tu ambapo bei halisi wakati gari linaingia sokoni kwa mara ya kwanza itakuwa ni vigumu kujulikana...My take:Je hii ndiyo njia ya kupunguza foleni za magari Dar? na je vipi kule ambapo bado kuna shida ya usafiri itakuwaje?
Wewe kaa mimi by the end of the year nlikua nimepanga. Sasa hiyo ela ngojea niipeleke baa, so that these i.diots TRA na mabwana zao Magamba they can go and fvck themselves.E bwana hii kali, nilikuwa nataka niuze gari yangu ili niagize nyingine, sasa basi kwanza nitulie.
Nchi inavoondeshwa unaeza kushangaa. Hii ni nchi ya kusadikika, ni nchi pekee unayoweza kulipa kodi kubwa kuliko thamani ya manunuzi. Very funny.TRA ndio wanaandika tax law?