TRA na mfumo mpya wa kufanya valuation of Used Vehicles

TRA na mfumo mpya wa kufanya valuation of Used Vehicles

Jaman mie naposikia mambo ya kitaifa yanapelekwa kama mtu anavyoendesha familia yake naumia sanaa...TRA acheni kutumia matumbo kufikiria, kitu mnachokileta kitaleta tabaka ambalo mtajuta hapo badaeKwamtazamo wangu, kuwa na gari kwasasa sio anasa kama munavyofikilia nyie..gari ni hitaji muhimu ktk maisha yakawaida.
 
Wakuu,hii nchi CCM wameishindwa kabisa.Nape Nnauya anapiga kelele tu.TRA wana afya nzuri sana ukilinganisha na wafanyakazi wa idara nyingine za serikali.Watu wanafurahiya lakini madhara yake ni makubwa sana.Kwanza market value ya magari tanzania hakuna kwa sababu hatuzalishi magara.Pia 70% wameipata wapi?Huu ni ufisadi,Japani barabara ni nzuri na bei zao wanaziweka kuendana na market value ya soko la dunia,sasa TZ viongozi wameshafika mwisho wa kufikiria basi wanakuja na mambo ya ajabu.CHADEMA, mko wapi?Mambo kama haya yasipite.Nimeichukia sana SISIMU.Usafiri lazima uwe juu mara milioni moja.
 
AKILI KAMA HIZI JUU YA NCHI YAKO MWENYEWE.....NADHANI ILIMFANYA YO YO AOMBE URAIA WA KENYA!
DOWN WITH THIS...!
RAIS UNAHUJUMIWA NA WATENDAJI WANAOTAKA KUONYESHA KUWA SERIKALI YAKO IMESHINDWA KUWAHUDUMIA WANANCHI WA KAWAIDA....!

ILI WAKIINGIA WATU WAO WARUDISHE MFUMO WA AWALI

TAKE CARE JK....... they are with you and they are not fighting with you

Yaani ingekuwa inaruhusiwa kutukana ningekupa za uso zisizohesabika za fasta.

Kwanini unashindwa kukubali kwamba umaskini na matatizo Tz chanzo chake ni Magamba??? WHY?? kwanini unajitahidi kukwepa ukweli?

Kiranja wa kusimamia umaskini Tz ni Magamba, haya imba kiitikio.
 
Wadhibiti hivyo wakiamini kwamba usafiri wa umma upo madhubuti lakini sivyo hali ilivyo sasa hivi,hii ni dalili ya kutengeneza matabaka ya walio nacho na wasio nacho ambapo ni hatari kubwa kwa usalama wa nchi yetu haswa wasiokuwa nacho wanapoendelea kuongezeka...

Na pia uingizaji sio fujo ni mindombinu mibovu ndio inayosababisha kuonekana gari nyingi barabarani..
Kama mkuu wa nchi anasema kuwa na magari ni maendeleo wewe unategemea kuna nini hapo? Hawa watu wamelewa madaraka, na kwasababu wanajua kwamba wana exemptions wakiagiza magari, na pia wananunua mashangingi ya mamilioni na baada ya miaka 3 wanakwambia depreciation yake ni zero value wanauziana kwa bei ya kutupa, saa ngapi watawafikiria nyie walala hoi? Haya ndio maisha bora kwa kila Mtanzania.
 
We kitilye sijui nani unataka ku-run mental? hebu kafikirieni tena? Tanzania sio Dar tu.
 
napenda kushukuru kwa aliyetuma hizi attachment, naomba kila mdau atulie na kujaribu kuzisoma, kuzielewa na kutumia naona kwangu mimi taxes zipo fair kikubwa hapa ni kujua source and authenticity ya hizo attacment kwani zinaweza kuwa nzuri hapa alafu ukiaenda tra ukakutana na kitu kingine. Iwapo hii info imetoka tra basi naweza kusema haiko vibaya, hapa wanajaribu kuwabana wala rushwa kwa overestimate fob prices kama ambavyo wamekuwa wakifanya siku za nyuma. Wadau naomba na mwingine ajaribu kama nilivyofanya ili kupata uhakika na tuendelee na mjadara huu kwani wanunuzi wa magari siku hizi ni wengi.

crap!
Ndio fair kwako? So rich?
 
wakuu, uchakavu sasa kwa magari yote? malori yalikuwa hayana uchakavu sasa sijui sasa ikoje?? naombeni msada
 
Ina maana ndoto za kununua gari ndo zimeyeyuka hivyo..Sasa hivi vijipesa vyangu nilivyokusanya kwa miaka 3, nikijinyima kula, kuvaa na hata ndugu kuniona bahili ili angalau nitembelee ka gari kangu..duh!

Wadau, kwani hatuwezi kuandamana mpaka IKULU..

Haiwezekani !! Haiwezekani....Wabunge, wawakilishi mko wapi kututea katika hili????
 
Ina maana ndoto za kununua gari ndo zimeyeyuka hivyo..Sasa hivi vijipesa vyangu nilivyokusanya kwa miaka 3, nikijinyima kula, kuvaa na hata ndugu kuniona bahili ili angalau nitembelee ka gari kangu..duh!

Wadau, kwani hatuwezi kuandamana mpaka IKULU..

Haiwezekani !! Haiwezekani....Wabunge, wawakilishi mko wapi kututea katika hili????
 
Suala hili sio kwamba watapunguza foleni ni ukosefu wa kubuni vyazo vipya, hivi madini mbona hawakusanyi huko?!!
 
E bwana hii kali, nilikuwa nataka niuze gari yangu ili niagize nyingine, sasa basi kwanza nitulie.
 
sizani kama kuna mchanganuo kama huo nchi nyingine duniani zaidi ya kwetu, mara nyingi mtu utozwa ushuru kutokana na bei uliyonunulia hicho kitu, sasa naona sisi tunakurupuka,ngoja madealer wa kijapani watakapoiburuza serikali mahakamani, sizani kama watauza.
hivi uchakavu hupo sasa hata kwenye malori??
 
Kama hujaipata hii basi jiandae!!!!!! Tarehe 1 July 2011 TRA wanaplan kuintroduce system yao mpya kwa ajili ya valuation ya used motorvehicles... Mfumo mpya utakuwa kama ifuatavyo...Used vehicles zitakuwa valued on either ex-factory FOB au market value in local market... Nianze na ex factory FOB.. Kwenye mfumo hu, TRA wataestablish database itakayo kuwa na bei za magari kipindi yameingizwa sokoni kwa mara ya kwanza...labda nitoe mfano mana kidogo ina mahesabu Mfano: Mtu akiagiza gari aina ya Toyota Premio 2001 model..hapo ina maana hii gari imezidi miaka kumi tokea itengenezwe...kwa hilo bei pungufu itakayoruhusiwa ni asilimia 70% ya bei ilipoingia sokoni kwa mara ya kwanza..PREMIO bei yake ya awali sokoni ilikuwa USD 40,000 kwa huko Japan... Kwa maana hiyo FOB ex factory itakuwa USD 40,000 toa 28,000 (70% of USD 40,000) = USD 12,000 na hiyo ndo itakuwa Customs Value ambayo itakuwa subjected kwenye Import Duty, Excise Duty, VAT na uchakavu (kama upo).... Kwa namna hiyo kodi jumla itakuwa kama ifuatavyo Import duty (ID)=0.25*12,000Dumping Fees (DF) =0.2*(12,000+0.25*12,000)Excise (E) =0.1*(12,000+0.25*12,000)VAT= 0.18* (12,000+ID+DF+E) Hii ni tofauti na bei za sasa ambazo weza kuagiza premio ya mwaka 2001 kwa CIF ya USD 3,000 to USD 3,500...na kodi ingekuwa kama ifuatavyoukiweka na uchakavu Import Duty (ID)=0.25*,000Dumping Fees (DF) =0.2*(3,000+0.25*3,000)Excise (E) =0.1*(3,000+0.25*3,000)VAT= 0.18* (3,000+ID+DF+E) Market Valuation Method Kwa market value method watachukua bei za sokoni Tanzania na kutoa profit margin ya asilimia 25 na kutoa gharama za kodi zilizolipiwa ili waweze kupata CIF kipindi gari linaingia nchini...Mfumo huu utatumika pale tu ambapo bei halisi wakati gari linaingia sokoni kwa mara ya kwanza itakuwa ni vigumu kujulikana...My take:Je hii ndiyo njia ya kupunguza foleni za magari Dar? na je vipi kule ambapo bado kuna shida ya usafiri itakuwaje?
Kama itakuwa kweli ni soo
 
E bwana hii kali, nilikuwa nataka niuze gari yangu ili niagize nyingine, sasa basi kwanza nitulie.
Wewe kaa mimi by the end of the year nlikua nimepanga. Sasa hiyo ela ngojea niipeleke baa, so that these i.diots TRA na mabwana zao Magamba they can go and fvck themselves.
 
Halafu hii sio tetesi tena, mchanganuo wa huu uizi upo kwene website ya TRA. BTW mods unganisheni na ile thread nyingine iliopo kwene uchumi na biashara.
 
Back
Top Bottom