Unakwenda kwenye ofisi ya TRA ukiwa radhi kulipa kodi.
Unakutana na mlolongo wa ukiritimba. Unasimama foleni benki kwa masaa mawili ili kuwapa fedha. Mazingira ni mabovu na watu wamejazana kupita kiasi. Hakuna hewa ya kutosha. Hata hivyo hakuna meneja anayeonyesha kujali wala kudhibiti mambo. Inaonekana ni hali ya kawaida tu. Unatoka na unaambiwa rudi kesho au keshokutwa kuchukua leseni yako. Upotezaji wa muda na kukatishwa tamaa kwa hali ya juu!
Swali kama Ndesa alivyoouliza: hivi Tanzania hii hakuna watu wenye akili ya kutoa suluhisho la matatizo madogo kama haya?
Sent from my GT-P7500 using Tapatalk HD
Unakutana na mlolongo wa ukiritimba. Unasimama foleni benki kwa masaa mawili ili kuwapa fedha. Mazingira ni mabovu na watu wamejazana kupita kiasi. Hakuna hewa ya kutosha. Hata hivyo hakuna meneja anayeonyesha kujali wala kudhibiti mambo. Inaonekana ni hali ya kawaida tu. Unatoka na unaambiwa rudi kesho au keshokutwa kuchukua leseni yako. Upotezaji wa muda na kukatishwa tamaa kwa hali ya juu!
Swali kama Ndesa alivyoouliza: hivi Tanzania hii hakuna watu wenye akili ya kutoa suluhisho la matatizo madogo kama haya?
Sent from my GT-P7500 using Tapatalk HD