Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Cc: TRA Tanzania, Dr. Mwigulu Nchemba
Kuchaji kodi ya Dungu 15M na magari 50 000 tu yakaingia kwa mwaka inapata Shs 750,000,000,000// bilioni 750 tu
Wakati kama itapunguza kodi na kuwa shs 5M kila Dungu 4×4 used na kwa kufanya hivyo sasa yakaingia mengi milioni moja kila mwaka na kusambaa hadi SOUTH SUDAN, UGANDA, DRC, RWANDA, BURUNDI, ZAMBIA, MALAWI, MSUMBIJI, COMORO, MADAGASCA, MAURITIUS, SEYCHELLES
TRA ingemake 1,000,000×5,000,000=5,000,000,000,000, yes trillions 5 kila mwaka kutoka bilioni 750 yaani karibu mara tano na hapo maana yake BANDARI NAYO IMEKUWA BUSY SAANA NA KUTENGENEZA PESA YA TOZO ZA MELI ZILETAZO MAGARI HAYO.
Wakati mwingine African countries mifumo yetu ya kodi TUNAJIKABA sisi wenyewe aisee yaani hatupigi hesabu nyepesi tu ambazo Dr Msukuma na darasa lake la 7 angepika kwa maslahi ya Taifa...
Unakaa unajiuliza kuna nini au ni wafanyabiashara wanaoingiza magari MAPYA ndio wana DICTATE kodi za used cars ziwe kubwa ???? Na je ni kwa maslahi ya nani?
Wa gari jipya atabaki wa gari jipya serikali ilitazame hili la kupunguza kodi ya magari used ili TANZANIA IWE HUB ya kuuzia used car kwa nchi za SADC na ukanda wa maziwa makuu lakini maana ni tija kwa pato la taifa kuanzia kwenye Vipuri car parkings road taxi maana unaweza kuweka kodi ya barabara kwa used car shs 50,000/= kwa mwaka pale tu linapouzwa hivyo hata kama Mkongoman analinunua kwenda nalo kwao lazima alipe hiyo kodi..hapo napo ume make money kama taifa.
Kodi kubwa kubwa huwa zina slow down business na kulipinguzia taifa mapato ukiachana nazo na badala yake ukaacha watu wawe na magari kisha wewe sasa ukaweka vikodi vidogo vidogo instead kama road taxi, fuel taxi, spare parts taxi utavuna hela nyingi kwa magari mengi kuingia kwanza halafu pia kwakuwa yapo tayari wenye nayo hawataepuka kodi ndogo ndogo zihusuyo magari nazo zinakuingizia pesa kama Taifa.
Shime TRA na wizara ya fedha kama mna uzalendo wa Taifa hembu lichukueni hilo.
Gari sio anasa kamwe dunia ya leo.
Hii isambae hadi iwafikie wahusika.
Copied from Mzalendo mpenda Kodi/kwa maendeleo.
Kuchaji kodi ya Dungu 15M na magari 50 000 tu yakaingia kwa mwaka inapata Shs 750,000,000,000// bilioni 750 tu
Wakati kama itapunguza kodi na kuwa shs 5M kila Dungu 4×4 used na kwa kufanya hivyo sasa yakaingia mengi milioni moja kila mwaka na kusambaa hadi SOUTH SUDAN, UGANDA, DRC, RWANDA, BURUNDI, ZAMBIA, MALAWI, MSUMBIJI, COMORO, MADAGASCA, MAURITIUS, SEYCHELLES
TRA ingemake 1,000,000×5,000,000=5,000,000,000,000, yes trillions 5 kila mwaka kutoka bilioni 750 yaani karibu mara tano na hapo maana yake BANDARI NAYO IMEKUWA BUSY SAANA NA KUTENGENEZA PESA YA TOZO ZA MELI ZILETAZO MAGARI HAYO.
Wakati mwingine African countries mifumo yetu ya kodi TUNAJIKABA sisi wenyewe aisee yaani hatupigi hesabu nyepesi tu ambazo Dr Msukuma na darasa lake la 7 angepika kwa maslahi ya Taifa...
Unakaa unajiuliza kuna nini au ni wafanyabiashara wanaoingiza magari MAPYA ndio wana DICTATE kodi za used cars ziwe kubwa ???? Na je ni kwa maslahi ya nani?
Wa gari jipya atabaki wa gari jipya serikali ilitazame hili la kupunguza kodi ya magari used ili TANZANIA IWE HUB ya kuuzia used car kwa nchi za SADC na ukanda wa maziwa makuu lakini maana ni tija kwa pato la taifa kuanzia kwenye Vipuri car parkings road taxi maana unaweza kuweka kodi ya barabara kwa used car shs 50,000/= kwa mwaka pale tu linapouzwa hivyo hata kama Mkongoman analinunua kwenda nalo kwao lazima alipe hiyo kodi..hapo napo ume make money kama taifa.
Kodi kubwa kubwa huwa zina slow down business na kulipinguzia taifa mapato ukiachana nazo na badala yake ukaacha watu wawe na magari kisha wewe sasa ukaweka vikodi vidogo vidogo instead kama road taxi, fuel taxi, spare parts taxi utavuna hela nyingi kwa magari mengi kuingia kwanza halafu pia kwakuwa yapo tayari wenye nayo hawataepuka kodi ndogo ndogo zihusuyo magari nazo zinakuingizia pesa kama Taifa.
Shime TRA na wizara ya fedha kama mna uzalendo wa Taifa hembu lichukueni hilo.
Gari sio anasa kamwe dunia ya leo.
Hii isambae hadi iwafikie wahusika.
Copied from Mzalendo mpenda Kodi/kwa maendeleo.