TRA ondoeni Kodi ya Pango kwa mfanyabiashara

TRA ondoeni Kodi ya Pango kwa mfanyabiashara

Msitake urahis wa kupata kodi zenu kwa kumuumiza asiyehusika,mfateni mwenye jengo na siyo kumbana mfanyabiashara

Kwann wenye majengo mnawaogopa au ni baba zenu
Na mkataba una namba za cm na namba ya nyumba ila unamwambia MFANYABIASHARA alipe alafu akadai kwa mwenye frem,
Alafu ukifanya biashara kwenye nyumba Yako hiyo asilimia kumi haipo yaan kuna mambo hata hayaeleweki!
 
Sio kila mmoja wetu anaweza kuzungumzia kodi kisa tu amepata TECNO yake Phantom au ITEL au INFINIX.

Kodi ya Zuio inalipwa na mmiliki halisi wa JENGO/FRAME/STORE yako.

Kwakuwa umelipa pango kwa mwenye Frame, hapa maana yake ni kwamba mwenye Frams ameingiza kipato hivyo ana wajibu wa kulipa kodi. So kutokana na urahisi wa Mfanyabiashara kwenda TRA basi sheria ikamtaka kuzuia 10% ya Pango aliyopaswa kumlipa mwenye frame na kuiwasilisha TRA kwa niaba ya MMILIKI.

Kama frame ni yako, basi utapeleka uthibitisho wa umiliki huo ikiwa sambamba na hati ya jengo hilo au kama imesajiliwa kwenye mfumo wa majengo wa TRA basi unasema na hukatwi kodi hiyo.

Ndugu zangu, kama hamjui kitu ni bora kumtafuta jirani yako akupe elimu sahihi, au anzisha uzi ambao utakufanya ueleweshwe na sio unafungua uzi as if unauelewa na unachokisema kumbe ni BOGAZ SIMAMA TUOMBE.
Jamaa anazungumizia sera za TRA zina mapungufu na katika hayo mapungufu anayeumua ni mfanya biashara

Ni sera ambazo zimetungwa na vilaza na wavivu wa kufikiria pia ni wazembe kama wewe ambaye unaona hi sera ipo sawa

Hivi kweli wewe unakubali kuwa inawezekana kama Kodi ya fremu ni laki mmoja umpe mwenye jengo 1080000 alafu umwambie 120000 nitaipeleka TRA hiyo fremu utaipata kweli?

Ni kilaza pekee kama wewe ataona hi inawezekana lakini kiuhalisia haiwezekani na ndio maana hu mzigo anabebeshwa mfanya biashara na sio kama TRA hawajui wanajua sana kuwa hi Kodi hailipwi na mwenye jengo ila inalipwa na mpangaji

Wapo maofisa wa TRA wengi tu Wana maferemu wanapangisha na mpangaji anapolipa Kodi hata siku Moja hawezi kukuambia Kata 10% ipeleke TRA Kwa sababu anajua kuwa hi sheria Ina mapungufu na haibani yeye ila inambana mfanyabiashara

Wewe ni kilaza na hii nchi Ina vilaza wengi sio wewe peke yako na ndio maana haujamuelewa aliyetoa hu uzi
 
Yes it make. Usichoelewa ni kwamba, Before kumlipa unapaswa uikate kabisa, hawezi kukataa na hiyo ndio sheria.

Umekaza ubongo tu, ni logic simple sana hii.

Fikiria Umechukua fedha, umempa mwenye frame, then mwenye frame aende TRA akalipe 10% ya fedha hiyo. Huoni umeweka mlolongo mrefu wa kikodi?

Moja ya kanuni ya kodi ni kutokuwa na mlolongo mrefu wa ulipaji wake.

Hivyo wewe unayelipia frame, kwa namna yoyote utaenda TRA kwa ajili ya makadirio ya kodi ya biashara yako, hapo sasa ndipo unabeba na pesa ya 10% ya pango ulimkata mmiliki wa frams ile ili kupunguza mlolongo usio na ulazima.
wewe afisa ubashiri ume karirishwa ndo tatizo linapo anzia hapa
katika hali ya kawaida una zani kuna mwenye nyumba atakua tayar kupokea kodi ya 900,000 badala ya 1M ?
TRA wanapaswa kua smart kweny njia zao za ukusanyaji wa mapato nchi zilizo endelea i.e UK suala la kodi ni la lazima kila anaepaswa kulipa kodi ana ilipa mifumo yao iko wazi na huwezi kukwepa TRA wanapaswa kujifunza kwa walio endelea lakin badala yake tunao lipa kodi ni wachache mno na mzigo wa kodi tuna endelea kushushiwa

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
wewe afisa ubashiri ume karirishwa ndo tatizo linapo anzia hapa
katika hali ya kawaida una zani kuna mwenye nyumba atakua tayar kupokea kodi ya 900,000 badala ya 1M ?
TRA wanapaswa kua smart kweny njia zao za ukusanyaji wa mapato nchi zilizo endelea i.e UK suala la kodi ni la lazima kila anaepaswa kulipa kodi ana ilipa mifumo yao iko wazi na huwezi kukwepa TRA wanapaswa kujifunza kwa walio endelea lakin badala yake tunao lipa kodi ni wachache mno na mzigo wa kodi tuna endelea kushushiwa

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Siku ya mkutano wa PM na wafanyabiashara wa Kariakoo waliwaambia hao maafisa wa TRA kwamba wengi wakistaafu huwa wanaomba wapewe fremu KKOO ili wafanye biashara ila huwa hawamalizi mwaka wanakimbia,wanasema biashara mbaya.

Sio biashara mbaya,hawa wakiwa ofisini wanajisahau kwamba sheria wanazotunga siku walitoka watakutana nazo mtaani,na kwakuwa hawana ujanja wanaishia kukimbia tu.
 
Back
Top Bottom