Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ronaldo anadaiwa.Mabilion leohii anataka timu imlipie kha kapokea yeye timu ikalipe kodi
Swala muhimu msikimbizane na viduka mshenzi
Je huku mnakusanya kodi..Kwa wachezaji.
Naamini hizi milioni hamsini za manula 55 za Okwi..Na jumla ya kaama mil 100+ za vijana wa mbao FC waliozawadiwa tungekuwa tuna kodi kubwa tu..Na kwingineko
Nashauri tuanze kukusanya hizo pesa mapema kabla liigi haijaanza
Swala muhimu msikimbizane na viduka mshenzi
Je huku mnakusanya kodi..Kwa wachezaji.
Naamini hizi milioni hamsini za manula 55 za Okwi..Na jumla ya kaama mil 100+ za vijana wa mbao FC waliozawadiwa tungekuwa tuna kodi kubwa tu..Na kwingineko
Nashauri tuanze kukusanya hizo pesa mapema kabla liigi haijaanza