Habari ,
Nimepata taarifa kuwa, T.RA inawatangazia Watu kuwa Kuna mfumo mpya unatakiwa kuanza matumizi mwezi February 2025,
Mfumo huu unampa access ya Moja Kwa Moja mteja mwenye tin namba kuweza kubadili umiliki wa chombo chake direct kupitia mfumo mpya wa T.RA Portal .
Pia upatikanaji wa leseni, kurenew lesseni, kupoteza Kwa kadi za magari, mteja mwenyewe aweza fanya hayo KUPITIA access ya mfumo wa TR.A kupitia tin namba.
Mfumo huu ni mzuri Kwa wananchi sababu utaondoa urasimu na upotevu wa muda.
Changamoto za mfumo huu mpya ni Elimu kuwa ndogo Kwa wananchi wengi Hasa katika matumizi ya mifumo, Hasa vijijini na mijini.
Ushauri: Jambo hili liongezwe muda, mwaka huu 2025 uishe Kwa Kutoa Elimu Kwa wananchi Kisha matumizi sahihi yaanze January 2026,
Hii itaondoa upotevu wa mapato ya Serikali Kwa kuharakisha uanzaji KAZI wa mfumo huu mnamo February 2025.
Karibuni 🙏
Nimepata taarifa kuwa, T.RA inawatangazia Watu kuwa Kuna mfumo mpya unatakiwa kuanza matumizi mwezi February 2025,
Mfumo huu unampa access ya Moja Kwa Moja mteja mwenye tin namba kuweza kubadili umiliki wa chombo chake direct kupitia mfumo mpya wa T.RA Portal .
Pia upatikanaji wa leseni, kurenew lesseni, kupoteza Kwa kadi za magari, mteja mwenyewe aweza fanya hayo KUPITIA access ya mfumo wa TR.A kupitia tin namba.
Mfumo huu ni mzuri Kwa wananchi sababu utaondoa urasimu na upotevu wa muda.
Changamoto za mfumo huu mpya ni Elimu kuwa ndogo Kwa wananchi wengi Hasa katika matumizi ya mifumo, Hasa vijijini na mijini.
Ushauri: Jambo hili liongezwe muda, mwaka huu 2025 uishe Kwa Kutoa Elimu Kwa wananchi Kisha matumizi sahihi yaanze January 2026,
Hii itaondoa upotevu wa mapato ya Serikali Kwa kuharakisha uanzaji KAZI wa mfumo huu mnamo February 2025.
Karibuni 🙏