- Thread starter
- #21
Ndio wafanye fasta Serikali inapoteza Kodi wiki ya pili sasa Kodi haiingizi Serikalini.Mfumo mbona upo poa Sana nawebsite Sasa Ina mwonekano mzuri..vitu vidogo vidogo havijakaa poa leo tu unataka kubadili umiliki wa Hari wakati walitoa tangazo...subiri waset vitu vikae poa...
Kwenye lessen Iko poa,
Huku kwenye magari hamna mtandao.