Mfumo mbona upo poa Sana nawebsite Sasa Ina mwonekano mzuri..vitu vidogo vidogo havijakaa poa leo tu unataka kubadili umiliki wa Hari wakati walitoa tangazo...subiri waset vitu vikae poa...
Ndio maana watu wanashauri mfumo mpya upewe muda ili watu wapate elimu kuutumia sio kinacho endelea now mtandao akuna tangu ijumaa tarehe 07/02 na akuna taarifa yoyoye kwa walipa Kodi
Ndio maana watu wanashauri mfumo mpya upewe muda ili watu wapate elimu kuutumia sio kinacho endelea now mtandao akuna tangu ijumaa tarehe 07/02 na akuna taarifa yoyoye kwa walipa Kodi