TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz

TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
IMG-20221230-WA0064.jpg

Pia soma;
Diamond: TRA wananifanya kama mkimbizi
 
Kuna huyu mwamba nadhani naye anatakiwa kujibiwa kama Diamond.

 
Mifano yote alizikwa nayo......
Kuna mtu wakati ule alikuwa na thubutu ya kuleta malamiko yake kwenye media.....
Usijitoe ufahamu, wafanyabiashara walikuwa wanaishi kama wako Sobibor camp....
Hayo ndio majibu ya tuhuma zake nyingi, huwa ya jumla jumla tu, mainly ni baseless accusations.

Unfortunately nikishaona mtu hana hoja sina tabia ya kupoteza muda.

👋

Ila acheni uonevu, hakuna anaesema Diamond ni innocent, lakini kodi idaiwe kwa taratibu za sheria.
 
Back
Top Bottom