Ndio wakaamua kuvunja na jengo?🤣🤣Mbowe biashara zake alikuwa akidaiwa kodi za mapango na NHC za miaka hadi kufikia mamillioni; na awakumtoa alienda mahakamani kesi akashindwa mpaka leo ajalipa madeni ya NHC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wakaamua kuvunja na jengo?🤣🤣Mbowe biashara zake alikuwa akidaiwa kodi za mapango na NHC za miaka hadi kufikia mamillioni; na awakumtoa alienda mahakamani kesi akashindwa mpaka leo ajalipa madeni ya NHC.
Aende ofisini akumbushwe sheria za kikodi alizokiuka na sio kwamba hajui barua alishatumiwa.Mwenzako amejibiwa mana yake ana heshimika ww piga kelele ujuavyo hakuna utakachoambulia
Ni waraka wa kutaarifu umma kuwa kuna sheria za kikodi zimekiukwa ndiyo maana asake wa tandale kabanwa kwenye kona ya kitanda.Sasa kama mmempa barua na mnasema sheria haziruhusu kuzungumzia taatifa za mlipa kodi waraka huu ni wa nini?
Sasa kama mmempa barua na mnasema sheria haziruhusu kuzungumzia taatifa za mlipa kodi waraka huu ni wa nini?
Sasa alipe kodi kwa maendeleo ya taifa.Sasa Diamond unavyoshare ktk page zako . Ticket za million 50 $old out ..million 10 $old out.. M5....M3..
What d u expect bro!😞..
DefinitelySasa alipe kodi kwa maendeleo ya taifa.
Tatizo ni kwamba huwa mna ‘bias listening’ wakati sakata likiwa linaendelea. Matokeo yake mna kuwa na premise ya kujiaminisha ukweli mnaotaka nyinyi.Ndio wakaamua kuvunja na jengo?🤣🤣
Jichanganye tu uingie kati yao ndo utajua hujui.Na sheria gani inayowapa mamlaka ya kufunga account ya mtu, kabla ya kukaa nae kwanza.
Mhusika anajua ila kataka huruma ya watu, msiwachukulie TRA poaInatakiwa mtu aitwe haojiwe siyo unafunguka account hata mhusika hajui kwanini account yake imefungwa.
Hii nchi ngumu sana kuishi. Fuatane sheria
Kwamba huko kodi ndo haitozwi?Diamond anapanga kuhamishia kazi zake Rwanda au Kenya tuone kama itakuaje
Wanapenda show off sana wakidakwa wanarudi kwa wananchi kuwa wanaonewakimsingi hawa watu wamezoea janja janja sana
Tumia akili, hawajaongelea maswala ya kodi, wametoa taarifa isiyohusika na malipo ya kodi, wameondoa taharukiSasa kama mmempa barua na mnasema sheria haziruhusu kuzungumzia taatifa za mlipa kodi waraka huu ni wa nini?
😄😄😄😄Tumia akili, hawajaongelea maswala ya kodi, wametoa taarifa isiyohusika na malipo ya kodi, wameondoa taharuki
Watu kama nyie ndio mnaowapa hawa watu encouragement ya kuonea watu na kuvunja sheria.Jichanganye tu uingie kati yao ndo utajua hujui.
Wanazuia account, utajipeleka mwenyewe, wataomba hesabu zako , zisipoeleweka jua ni kitanzi hivyo. Siku zote hufunga kama hueleweki
Sidhani kama ana any significant impactDiamond anapanga kuhamishia kazi zake Rwanda au Kenya tuone kama itakuaje
Na mimi nitaweka uonevu wanu kwangu
Kwa kufunga account ya mtu Ina maana mna uwezo wa kuchukua pesa zake!! Hii imekaaje?!
Huko hawalipi kodiDiamond anapanga kuhamishia kazi zake Rwanda au Kenya tuone kama itakuaje