The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,412
- 20,685
Hivi unajua kufunga account na kuchukua kodi ni utaratibu wa kisheria?pale unapokumbushwa kulipa kodi halafu unakaa kimya,Hayo ndio majibu ya tuhuma zake nyingi, huwa ya jumla jumla tu, mainly ni baseless accusations.
Unfortunately nikishaona mtu hana hoja sina tabia ya kupoteza muda.
👋
Ila acheni uonevu, hakuna anaesema Diamond ni innocent, lakini kodi idaiwe kwa taratibu za sheria.