BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
Lòoh! One Of the best indicator we expected to see so let us wait
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lòoh! One Of the best indicator we expected to see so let us wait
TRA chapeni kazi, lazima kila mtu alipe kodi, bila kuogopwa
Vipi kwa Wafanya biashara wasio kuwa Maarufu? Lets say ndio mfanya Biashara yuko huko Manyoni Singida, Huu ujinga mtupu, Taasisi zinafanya kazi kwa kuangalua nani kalalamika?
Ila kuna vijana Tra wanakula rushwa ni kuhonga wanawake tu
Wanalalamika walalahoi wanapiga kimyaVipi kwa Wafanya biashara wasio kuwa Maarufu? Lets say ndio mfanya Biashara yuko huko Manyoni Singida, Huu ujinga mtupu, Taasisi zinafanya kazi kwa kuangalua nani kalalamika?
Kwa mwaka unalipa kiasi gani?TRA chapeni kazi, lazima kila mtu alipe kodi, bila kuogopwa
Kungekuwa hakuna sheria hiyo, bank gani ingekibali kuingilia acc za wateja wake??Na sheria gani inayowapa mamlaka ya kufunga account ya mtu, kabla ya kukaa nae kwanza.
Inatakiwa mtu aitwe haojiwe siyo unafunguka account hata mhusika hajui kwanini account yake imefungwa.
Hii nchi ngumu sana kuishi. Fuatane sheria
Walaka wa wito...Sasa kama mmempa barua na mnasema sheria haziruhusu kuzungumzia taatifa za mlipa kodi waraka huu ni wa nini?
Soko la zaidi ya "60 million people" si la kubeza! Apige hesabu zake sawasawa.Diamond anapanga kuhamishia kazi zake Rwanda au Kenya tuone kama itakuaje
Una weza kuishitaki mamlaka kwa kukiuka sheria kama unahisi hivyo...Hata sheria ya kodi iliyokiukwa ni siri.
Hapa TRA wangeweka bayana sheria mfano wale walipa kodi ambao hawakudai risiti za mashine walituweka wazi TRA umma ukajifunza.
Tunaelewa masuala ya benki gani , aina ya akaunti ya benki, account number ya benki ni taarifa za siri za mlipakodi hizo zinafaa TRA wasi share na umma kama walivyosema ktk taarifa kwa umma .
Hii ya TRA kuficha ni sheria gani imevunjwa haikubaliki.
Simba, Yanga na hata TFF ziliwahi kumbwa na kadhia hii kwa nyakati tofauti...Tatizo ni kwamba huwa mna ‘bias listening’ wakati sakata likiwa linaendelea. Matokeo yake mna kuwa na premise ya kujiaminisha ukweli mnaotaka nyinyi.
Sasa kama ulifuatilia sakata baada ya NHC kuwa inamdai Mbowe kodi ya zaidi ya miaka 5 nyuma, waliamua kumtoa kwa kukiuka mkataba na wakaweka wazi jengo wana mpango walikubadilishia matumizi ivyo litavunjwa wakishamtoa.
Mbowe akakata rufaa, akashindwa; mengine ni facts mnazotaka nyinyi lakini NHC waliweka wazi eneo wanalivunja kufanya uwekezaji mwingine baada ya hapo.
alifungiwa mbowe account zake zoteUnaweza toa mfano wa mtu aliewahi fungiwa account yake ndani ya muda wake bila TRA kufuata processes.
Kama una pesa nyingi kimbia benki kabisaNa sheria gani inayowapa mamlaka ya kufunga account ya mtu, kabla ya kukaa nae kwanza.
Hao ndio TRA aisee hii nchi inapoenda sio kabisaSasa kama mmempa barua na mnasema sheria haziruhusu kuzungumzia taatifa za mlipa kodi waraka huu ni wa nini?
Huyo dogo kama umesikia interview yake , ameelezea vizuri mnoo! kuna jambo haliko sahihi pale TRA katika kadhia hii, na Diamond ameonesha kulipa kila kodi anayopaswa kulipa.Alipe Kodi Ili Nchi Iweze Kufanya Mambo Yake
Kungekuwa hakuna sheria hiyo, bank gani ingekibali kuingilia acc za wateja wake??
Ndio TRA pamoja na wewe mnaulizwa ni sheria gani insyoruhusu jambo hilo? Jibu ni kutaja sheria na sio kuuliza maswali tena juu ya maswali.ni wajibu wako kujua sheria na kuifata
Yule bwana Kayombo amekuwa mkurugenzi wa Idara ya Elimu kwa mlipakodi kwa miaka zaidi ya 10 ila hamna anachojifunza. Wasaidizi wake nao hawajifunzi chochote, hawana update ya mabadiliko ya sheria za kodi yanayofanywa na bunge wakati wa kupitisha bajeti nkKatika hili, kitengo cha kutoa elimu kwa wateja kimepwaya!
Wewe ujamuelewa diamond yeye hajapinga kuhusu kulipa kodi ebu fungua hiyo video umsikilize vizuri anachodai kwanini wamemfungia account zake bila kumpa maelezo yoyote na hajapokea taarifa yoyote wewe angalau umepokea taarifa hiyo ndio hoja yake ya msingi nashangaa wewe unaamisha lengoMm walinipigia tar 20 Mkuu jamaa alipe Kodi no excuse