jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Mwenzako amejibiwa mana yake ana heshimika ww piga kelele ujuavyo hakuna utakachoambuliaLipa kodi kwa maendeleo ya Taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzako amejibiwa mana yake ana heshimika ww piga kelele ujuavyo hakuna utakachoambuliaLipa kodi kwa maendeleo ya Taifa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwenzako amejibiwa mana yake ana heshimika ww piga kelele ujuavyo hakuna utakachoambulia
saa sita za usiku, wametoka shimoni.. 😀😀😀 hii nchi ina mambo mengi sana kama movie za maigizoDiamond ana nguvu Sana , mpak amewatoa shimoni ..😁 ,
Na sheria gani inayowapa mamlaka ya kufunga account ya mtu, kabla ya kukaa nae kwanza.
Mm walinipigia tar 20 Mkuu jamaa alipe Kodi no excuseMimi leo mchana walinipigia simu kwamba nimalize hesabu za mwaka huu mwisho kesho jumamosi 31 Dec.
Jamaa wapo macho hasa.
JF ni jukwaa kubwa sana. Elites woote tuko hapa.
Na kiwango pia anachodaiwa ni kikubwaMwenzako amejibiwa mana yake ana heshimika ww piga kelele ujuavyo hakuna utakachoambulia
Ni mapema sana kufika hukoHata sheria ya kodi iliyokiukwa ni siri.
Hapa TRA wangeweka bayana sheria mfano wale walipa kodi ambao hawakudai risiti za mashine walituweka wazi TRA umma ukajifunza.
Tunaelewa masuala ya benki gani , aina ya akaunti ya benki, account number ya benki ni taarifa za siri za mlipakodi hizo zinafaa TRA wasi share na umma kama walivyosema ktk taarifa kwa umma .
Hii ya TRA kuficha ni sheria gani imevunjwa haikubaliki.
MboweUnaweza toa mfano wa mtu aliewahi fungiwa account yake ndani ya muda wake bila TRA kufuata processes.
Wamemziba mdomo akiendelea watamsanuaSasa kama mmempa barua na mnasema sheria haziruhusu kuzungumzia taatifa za mlipa kodi waraka huu ni wa nini?
Kwa mtindo huu Watz kwa pamoja hatutawachekea mafisadi.Mwambieni alipe Kodi,huku sisi tunakamuliwa Kodi vilivyo
Mbowe biashara zake alikuwa akidaiwa kodi za mapango na NHC za miaka hadi kufikia mamillioni; na awakumtoa alienda mahakamani kesi akashindwa mpaka leo ajalipa madeni ya NHC.Mbowe
Taja mmoja badala ya kupayuka tu.Acha kutetea ujinga. Umeingia mjini juzi kwa Lori la mitumba? Mbona kila aliyepo mjini analijua suala hili?
Maana gan bwana na kuheshika vipi?, katumia mtandao watu wamejibu kimtandaoMwenzako amejibiwa mana yake ana heshimika ww piga kelele ujuavyo hakuna utakachoambulia
Kodi gani ameficha TRA ni kama polisi au mahakama sio kila anayekanyaga pale mualifu.Mkwepa Kodi mnamfichia Siri ya nini? Huyo ni muhalifu, ni sawa na kuficha Siri za mwizi.
Kamwaga mboga, mwageni ugali, ameichafua serikali.
Mtoe barua ya kina kuhusu taratibu zenu za kazi, maana anasema mmevamia, na anaaminisha watu hivyo.
The guilt are afraid....kama Yuko halali shida yake nini mpaka apige yowe, TRA wamerusha Jiwe gizani.Kodi gani ameficha TRA ni kama polisi au mahakama sio kila anayekanyaga pale mualifu.