TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz

Kuna huyu mwamba nadhani naye anatakiwa kujibiwa kama Diamond.

 
Mifano yote alizikwa nayo......
Kuna mtu wakati ule alikuwa na thubutu ya kuleta malamiko yake kwenye media.....
Usijitoe ufahamu, wafanyabiashara walikuwa wanaishi kama wako Sobibor camp....
Hayo ndio majibu ya tuhuma zake nyingi, huwa ya jumla jumla tu, mainly ni baseless accusations.

Unfortunately nikishaona mtu hana hoja sina tabia ya kupoteza muda.

👋

Ila acheni uonevu, hakuna anaesema Diamond ni innocent, lakini kodi idaiwe kwa taratibu za sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…