TRA torched 150 bags of substandard tea from Kenya

wataionja Thika Superhighway nzima kabla ya kufika kwenye stadium ya Kasarani...mi nakwambia watajinyonga leo usiku...Pia watazionja Thika Road Mall, safari Park Hotel na Garden City Mall...
Wengi watabaki wakisema ni illuminati.
 

hizi picha ni mwaka wa tatu SASA naziona.
duuu nchi yenu ni kituko cha pekee duniani.
yaani upande mmoja wa mji (thika) is of world class standard upande mwingine (kibera and mathare), you can't imagine if those homo sapiens are belonging to so called mido income economy.
 

Hizo hapo nimezileta maana ndio njia ya kwenda uwanja wa Kasarani ambayo Magufuli atatumia, lakini ukitaka basi nakuletea na za maeneo mengine ambayo hatapata fursa ya kuona, nikipata fursa nitatiririka hapa...






















 
Haha,vifaranga tulivyochoma nilikuwa low quality?ukweli ni kwamba, inawauma tunavyowafanyia alafu nyinyi,mnaishia kulialia tu.
 
Jeshi litujengee ukuta wa kutenganisha Tanzania na Kenya kama ule wa mererani hahahaha
 
Hizi picha mtatutia hasara wenzenu, maana tunaweza kubomolewa hadi state house ili zijengwe!!!
 
Hio picha ya msafara wa magufuli Thika superhighway utakapoipata tu jombaa unitag. Ntachapilia frame na misumari ya steel ukutani niwe naitazama kila siku. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hahaha a good memory it will be.
Hahaha me nilidhani ni kitu cha maana sana kumbe ni hii? Sasa mbona arusha wanayo barabara kama hii
 
Minion on fleek!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…