Wengi watabaki wakisema ni illuminati.wataionja Thika Superhighway nzima kabla ya kufika kwenye stadium ya Kasarani...mi nakwambia watajinyonga leo usiku...Pia watazionja Thika Road Mall, safari Park Hotel na Garden City Mall...
kwa kweli kabla ya kufika hapa kwetu Kasarani lazima watapitia barabara ya Thika, nafikiri itakua poa sana maana baada ya hapo watarudi Tanzania na ujumbe wa wao kuacha kushindana na Kenya, wafanye yao maana bado wako nyuma sana.
Hizi hapa picha za barabara watakayopitia kabla kuingia uwanjani, unajua kwao ndio wameanza kujenga flyover.
Halafu pia wapitie Ring Road
hizi picha ni mwaka wa tatu SASA naziona.
duuu nchi yenu ni kituko cha pekee duniani.
yaani upande mmoja wa mji (thika) is of world class standard upande mwingine (kibera and mathare), you can't imagine if those homo sapiens are belonging to so called mido income economy.
Haha,vifaranga tulivyochoma nilikuwa low quality?ukweli ni kwamba, inawauma tunavyowafanyia alafu nyinyi,mnaishia kulialia tu.low quality inakuwa imported ili wauze kwa wenye uwezo mdogo immediately ina compete na local produced, tambua kuwa maskini ni consumers wakwanza wa low quality ya chakula sasa angalia idadi na wanafanya hivyo kwa kuwa hawana uwezo wa kununua quality, yatupasa kuinua msiah ya wananinchi ki uchumi ili wale kinachotakiwa na huku serikali ikizuia low quality in the market
Waliouza wasahau kupata tena mteja maana hana pa kuuzia tena uchafuHela kabaki Kenya, majivu huko bongolala...a Kenyan is smiling all the way to the bank.
Skiza 21 canon salute kwanza.Waliouza wasahau kupata tena mteja maana hana pa kuuzia tena uchafu
Leta za kwenu mpya tufurahishe macho na kama hamna(am 100% sure hamna) nyamaza sindani ikuingie taratibu.
Waliouza wasahau kupata tena mteja maana hana pa kuuzia tena uchafuHela kabaki Kenya, majivu huko bongolala...a Kenyan is smiling all the way to the bank.
Hizi picha mtatutia hasara wenzenu, maana tunaweza kubomolewa hadi state house ili zijengwe!!!kwa kweli kabla ya kufika hapa kwetu Kasarani lazima watapitia barabara ya Thika, nafikiri itakua poa sana maana baada ya hapo watarudi Tanzania na ujumbe wa wao kuacha kushindana na Kenya, wafanye yao maana bado wako nyuma sana.
Hizi hapa picha za barabara watakayopitia kabla kuingia uwanjani, unajua kwao ndio wameanza kujenga flyover.
Halafu pia wapitie Ring Road
Hio picha ya msafara wa magufuli Thika superhighway utakapoipata tu jombaa unitag. Ntachapilia frame na misumari ya steel ukutani niwe naitazama kila siku. πππ
Hahaha a good memory it will be.
Hahaha me nilidhani ni kitu cha maana sana kumbe ni hii? Sasa mbona arusha wanayo barabara kama hiikwa kweli kabla ya kufika hapa kwetu Kasarani lazima watapitia barabara ya Thika, nafikiri itakua poa sana maana baada ya hapo watarudi Tanzania na ujumbe wa wao kuacha kushindana na Kenya, wafanye yao maana bado wako nyuma sana.
Hizi hapa picha za barabara watakayopitia kabla kuingia uwanjani, unajua kwao ndio wameanza kujenga flyover.
Halafu pia wapitie Ring Road
Minion on fleek!kwa kweli kabla ya kufika hapa kwetu Kasarani lazima watapitia barabara ya Thika, nafikiri itakua poa sana maana baada ya hapo watarudi Tanzania na ujumbe wa wao kuacha kushindana na Kenya, wafanye yao maana bado wako nyuma sana.
Hizi hapa picha za barabara watakayopitia kabla kuingia uwanjani, unajua kwao ndio wameanza kujenga flyover.
Halafu pia wapitie Ring Road
Kinachokuwasha na kukutoa povu ni hela kubaki Kenya.Waliouza wasahau kupata tena mteja maana hana pa kuuzia tena uchafu
Hahahaha wacha kupima watu upuzi...weka Barabara tote sio 200m za upuzi.Hahaha me nilidhani ni kitu cha maana sana kumbe ni hii? Sasa mbona arusha wanayo barabara kama hiiView attachment 640353
hili utasikia wakisambaza wazee wa makarai