Ndiyo tunaona kama kuna kausumbufu fulani
Lakini risit inaumuhimu wake kwako pia
Kiusalama etc
Sema approach wanayoitumia siyo nzuri
Watu kama sisi tayari tunajua umuhimu wa kuchukua risit haitaji tena tuanze kutishana
Na ma fine
Ova
Ndugu ngoja nikupe mifano miwili kutoka kwenye orodha ya details unazotakiwa kuweka kwenye receipt (kwa mfanyabiashara).
Mimi ndio afisa wa TRA nakushuku wewe ulipi VAT yako sahihi.
Matakwa ya sheria yanasema kila risiti iwe numbered yaani 1, 2, 3, 4 and so forth.
Kama nakukagua nakuomba invoice ya suppliers wako si zina record number na nini ulinunua. Namrudia yeye nionyeshe record ya number za receipt nilizochukua kwako inanipa picha ulinunua nini na thamani yake.
Narudi kwako nionyeshe hii stock either as remaining inventory au receipt za mauzo kujua zimeenda wapi; I expect things to balance.
Sasa wakisema waanze kuchunguza mtu mmoja na kurudi nyuma mpaka bidhaa inapotoka hakuna mtu anaweza kwepa VAT huko chini labda wizi uanzie kwa mzalishaji wajuu. Lakini kuanzia kati kati hilo aliwezekani.
Bado hapo kuna maswala ya bank reconciliation ya business account yako kuona manunuzi yako na m mauzo kama vinauwiana wanaweza kurudi na kumfanyia bank reconciliation aliekuuzia.
In short kwenye hiyo list ya receipt yenye mambo zaidi ya kumi wanayotaka uweke pamoja na records zingine; inawasaidia kwenye auditing. You can’t cheat them.
The only way a retailer can avoid paying VAT labda kama hizo bidhaa aliemuuzia kaziingiza nchini kimagendo TRA awazijui au mzalishaji wa juu kabisa ana watu wake wanaouziana kimagendo (hiyo ndio namna pekee mtu anaweza kukuuzia bila ya kukupa receipt kwa bei cheap) and that is bigger problem if caught.
Otherwise VAT is traceable bila ya hata wewe kuchukua receipt kutoka dukani if you are the final consumer.
Kuelezea hiyo receipt ina maana gani na record unazotakiwa kuweka ni kama 10000 words, ila with that info mfanyabiashara awezi kwepa VAT mjomba or else someone will be caught in the supply chain if forensic auditing is conducted na ukikamatwa kosa lake ni kubwa zaidi not worth trying, wahindi nchi za wenzetu pamoja na kupenda fraud VAT wanajua hiyo sio sehemu ya kujaribu.