TRA: Ukinunua bidhaa na usipodai risiti utapigwa faini ya kati ya Tsh. 30,000 na Tsh. 1,500,000

TRA: Ukinunua bidhaa na usipodai risiti utapigwa faini ya kati ya Tsh. 30,000 na Tsh. 1,500,000

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa mwongozo wa kisheria kwa wananchi wote kwamba endapo utanunua bidhaa au Huduma ni lazima udai risiti.

Endapo utakamatwa umenunua bidhaa au Huduma na hauna risiti basi utapigwa faini ya kati Tsh. 30,000 na 1,500,000 kwa mujibu wa kanuni za sheria ya kodi.

Kumbuka kudai risiti kila wakati.

Maendeleo hayana vyama!

----
Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA), imesema kuwa wataanza msako katika maeneo mbalimbali nchini kwa lengo la kuwakagua na kuwatoza faini wanunuaji wanaonunua bidhaa bila kuomba risiti na wafanyabiashara wanaouza bidhaa bila kutoa risiti.

Kauli hiyo imetolewa hii leo Januari 7, 2021, na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi kutoka TRA, Richard Kayombo, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio.

"Kama hautachukua risiti kwenye huduma ama bidhaaa yoyote uliyonunua ambayo inatakiwa kutolewa risiti, unaweza ukatozwa faini ya shilingi 30,000 au Milioni 1.5", amesema Kayombo.

Aidha akizungumzia kuhusu wafanyabiashara wasiokuwa waaminifu, Kayombo amesema kuwa, "Kama umeuza bidhaa lakini hujatoa risiti adhabu yako ni kati ya Mil. 3 hadi Mil. 4.5 iwe umetoa risiti ya udanganyifu adhabu hiyo inakuhusu au unayo mashine lakini hauitumii".
Ukinunu kwa machinga inakuwaje?
 
Na bado, JK aliendesha nchi vizuri na alikuwa anakusanya bil 900, nyinyi mnaokusanya Trilioni 2 mnanyonya damu wananchi, bado kodi ya "KUWEZANA" tu ndio TRA wamebakiza.
JK alikuwa hatakusanyi ada za shule, vyuo, mortuary, mabango, kodi ya ardhi, kodi ya jengo, sijui nini, vyote
 
Kudai receipt ni uzalendo VAT na Income tax inapotea sana kwasababu wapo wafanya biashara sio waaminifu kabisa.
 
Nkitoka kuongeza mafuta nkaulizwa risiti,nkawajibu Bei juu sjaweka wanipe ushahidi kuwa nimejaza wese
Risiti iko connected na pampu Sasa inakuwaje nijaze risiti kwenye gari?

Muhimu wachunguze Kama kituo kimedisconnect risiti na pampu
 
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa mwongozo wa kisheria kwa wananchi wote kwamba endapo utanunua bidhaa au Huduma ni lazima udai risiti.

Endapo utakamatwa umenunua bidhaa au Huduma na hauna risiti basi utapigwa faini ya kati Tsh. 30,000 na 1,500,000 kwa mujibu wa kanuni za sheria ya kodi.

Kumbuka kudai risiti kila wakati.

Maendeleo hayana vyama!

----
Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA), imesema kuwa wataanza msako katika maeneo mbalimbali nchini kwa lengo la kuwakagua na kuwatoza faini wanunuaji wanaonunua bidhaa bila kuomba risiti na wafanyabiashara wanaouza bidhaa bila kutoa risiti.

Kauli hiyo imetolewa hii leo Januari 7, 2021, na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi kutoka TRA, Richard Kayombo, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio.

"Kama hautachukua risiti kwenye huduma ama bidhaaa yoyote uliyonunua ambayo inatakiwa kutolewa risiti, unaweza ukatozwa faini ya shilingi 30,000 au Milioni 1.5", amesema Kayombo.

Aidha akizungumzia kuhusu wafanyabiashara wasiokuwa waaminifu, Kayombo amesema kuwa, "Kama umeuza bidhaa lakini hujatoa risiti adhabu yako ni kati ya Mil. 3 hadi Mil. 4.5 iwe umetoa risiti ya udanganyifu adhabu hiyo inakuhusu au unayo mashine lakini hauitumii".
TL aliliona hili mapema?Kama alilisemasema hivi!!!!!
 
Ninataka nitoke kidogo nirudi dakika ya 89 aisee kama mzee Membe
Achana na hizo mambo fundi25, maisha hayakosi changamoto na amini kwenye kila changamoto kuna faida na fursa pia
 
178909098.jpg
 
Naunga mkono hoja.
Binafsi mimi ni mkristo, naamini katika Neno la Mungu na si katika mtu, nimebatizwa na nimejazwa Roho mtakatifu.

Kuna maandiko yanatumiwa na watu wachache ili kuhalalisha haramu au kujijipendekeza kwenye mamlaka ili tu wapate wanalolihitaji kutoka kwa viongozi.

Wakati mwingine hofu ndio msingi wa kuhubiri Injili kwa uso wenye haya.

Kama mamlaka zote zimepata baraka toka juu je?

1.Viongozi kama Hittler (ex-German's Fuhrer) aliyewaua mamilioni ya Waisraeli ile mamlaka ilitoka mbinguni?

2.Je, Viongozi kama Idd Amini walioingia kwa kuipindua nchi ni mamlaka iliyopaswa kuitii na kuiombea kwakuwa mamlaka zote zimetoka kwa Mungu?

3. Nimeona wanasiasa wakienda kwenye nyumba za aganga wa kienyeji ili kunyoosha mapito yao na baadaye kushika nafasi kama Ubunge, udiwani na u DC.

Je, watu kama hawa mamlaka zao zimetoka kwa Mungu?
Kabisa mkuu.wanatumia maneno kuharalisha hadi maovu yao.
 

Warumi13​

1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu.

2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu.

3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu.

4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu.

5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala.

7 Wal ipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.


Qur'ani
"Enyi mlioamini Mtiini Allah, na mtiini Rasuli (Wake Muhammad) na Wale waliopewa mamlaka kutoka miongoni mwenu, ......" (Qur'ani, 4:59)
Kwa point yako swali la kujuiliza kwanin YESU aku surrender kwa mafarisayo na herode mpaka wakamtumia YUDA, Kuna upotoshaji mkubwa sana unaofanywa kupitia biblia

Kuna nchi zinalazimisha ushoga kwa hiyo tuzitii mamlaka Kama hizo hapana
 
Watu wataviziwa kama kuku!Hiki ni chanzo kipya cha mapato!

Mambo mengine ni ushamba,faini hiyo ilipaswa apigwe ambaye hajatoa risiti na si mteja!Sio kazi yangu kudai risiti!Ni hiari yangu kufanya hivyo!Ila kwa mtoaji risiti ndio anatakiwa alazimishwe!
Ni mwanya mwingine wa rushwa hao wanaokamata watu watachukua sana rushwa
 
Kwa point yako swali la kujuiliza kwanin YESU aku surrender kwa mafarisayo na herode mpaka wakamtumia YUDA, Kuna upotoshaji mkubwa sana unaofanywa kupitia biblia

Kuna nchi zinalazimisha ushoga kwa hiyo tuzitii mamlaka Kama hizo hapana

Kila maandiko yanachokikataa na mamlaka ya waaminio inakataa pia

Maandiko matakatifu yanaukataa ushoga na mamlaka za nchi zinaukataa ushoga na umma wa watanzania uliwakataa waliotaka mamlaka huku wakitetea na kuhamasisha ushoga
 
Kila maandiko yanachokikataa na mamlaka ya waaminio inakataa pia

Maandiko matakatifu yanaukataa ushoga na mamlaka za nchi zinaukataa ushoga na umma wa watanzania uliwakataa waliotaka mamlaka huku wakitetea na kuhamasisha ushoga
Sio useme tutii kila mamlaka unapotosha
 
Bwasheee hiyo kodi mimi hainisaidii hata kidogo maana huku napokaa umeme natumia wa solar na maji nimechimba kisima, barabara hazipitiki kipindi cha mvua, bombadia sijawahi kupanda kwahiyo kodi yenu sijawahi kuitumia, risiti kwangu ni option siwezi kudai bora kodi achikichie mfanyabiashara ataongeza mzunguko kuliko mchukue nyinyi mnaenda kuendeleza GBADOLITE ya CHATTLE.
Ikiagizwa sample ya watu wasio na akili wewe unawakilisha Watu 100,000
 
Sio useme tutii kila mamlaka unapotosha
Sijasema mimi mkuu, ila yamesema maandiko kwa waumini

Warumi 13 ".......1 ila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
2 Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu."

Quran 4:59 "O ye who believe! Obey Allah, and obey the Messenger, and those charged with authority among you...."


Musa alitoa onyo sawa katika Kumbukumbu la Torati 4: 1-2, ambako aliwaonya Waisraeli kuisikiliza na kutii amri za Bwana, wala kuongezea au kuondoa kutoka Neno Lake
 
Back
Top Bottom