comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
- Thread starter
- #21
Paskali hakuna namna nyingine ya kumuuita huyu tax defaulter. Ku disable EFD devices unilaterally ni njia isiyo ya kistaarabu sana na inamuumiza mteja ambaye hausiki tatizo.Ukiona mpaka EFD mashine imekuwa blocked, ujue hao wafanyabiashara ni defaulters linking!. Siku hizi kukiwa na issues zozote, kwanza unatumiwa SMS, kisha unapigiwa simu ufike TRA, ukikaidi ndipo sasa EFD machine inakuwa blocked na ujumbe ufike TRA.
P