TRA wananiambia niingie VAT

TRA wananiambia niingie VAT

Boss ni kuwa makini:

Shida ya huu mchezo baada ya miaka kadhaa Utajikaanga kwenye manunuzi na matumizi na siku wakikufanyia examination watakuumiza.

Sikia boss, unahitaji akili sana kuwadanganya TRA maana sio mafala. Unless ww sio mkubwa na mara nyingi hawaangaiki na examination ya data zako.

Kama unatoa risiti pungufu hakikisha na wewe unapokea risiti pungufu, una matumizi pungufu, faida pungufu sababu wanatumia mbinu ya kupima uwiano kati ya mauzo, manunuzi, faida na gharama za biashara.

Huwezi liona hili mpaka siku ukijifanyia analyis ndefu, miez m3 sita au mwaka na ukawa na jicho la kihasibu ndipo utaona hizo gapes.

Sasa sheria inawaruhusu TRA kufanya examination hata miaka 5 nyuma. Na wakikufanyia mtu wa aina yako watajiuliza tu haya maswali:

Kwann huyu mtu ana mauzo machache ila anafanya manunuzi kuongeza mzigo ambao upo stoo hauuzi?

Kama wewe ni smart kwamba hata manunuzi huchukui risiti linakuja swali la pili.

Kwanini huyu mtu ana manunuzi machache, mauzo machache ila gharama za uendeshaji ni kubwa?

Kama wewe ni smart kuficha manunuzi, mauzo na gharama, sheria inaaruhusu kuchungulia miamala yako na swali lingine linakuja

Kwann huyu mtu ana mauzo madogo, gharama sio kubwa, manunuzi madogo ila mzunguko wa fedha bank na mpesa,tigo pesa huko ni mkubwa?

Kama hupeleki pesa bank au tigo pesa huko mwonekano wa biashara yako unaweza ukakusaliti kutegemeana na eneo la biashara sababu serikali inaelewa nchi yake kila sehemu na mzunguko ulivyo.

Ukifanya kilakitu kwa 100% unaweza ukaumia na ukafunga biashara, ila ukiitafuna sana serikali basi uombe miaka 5 ipite bila ukaguzi otherwise watakutafuna wao.

TANZANIA MFANYABIASHARA WA DRS LA SABA ANA AKILI KULIKO GRADUATE WA DEGREE FIELD HUSIKA.

Nikipokea receipt Haina TIN namba nani anajua ni ya kwangu?
 
TRA wanaangalia mauzo tu,faida utajua wewe na Mungu wako!
Hii ni kwa sisi wafanya biashara wadogo, kampuni kubwa wanawasilisha hesabu zote za gharama ya uendeshaji na kiasi cha faida. Kodi inatoka kwenye faida wanayopata, na kuna wakati hawalipi kodi wanapowasilisha hesabu ya zero profit au minus profit kabisa
 
Boss ni kuwa makini:

Shida ya huu mchezo baada ya miaka kadhaa Utajikaanga kwenye manunuzi na matumizi na siku wakikufanyia examination watakuumiza.

Sikia boss, unahitaji akili sana kuwadanganya TRA maana sio mafala. Unless ww sio mkubwa na mara nyingi hawaangaiki na examination ya data zako.

Kama unatoa risiti pungufu hakikisha na wewe unapokea risiti pungufu, una matumizi pungufu, faida pungufu sababu wanatumia mbinu ya kupima uwiano kati ya mauzo, manunuzi, faida na gharama za biashara.

Huwezi liona hili mpaka siku ukijifanyia analyis ndefu, miez m3 sita au mwaka na ukawa na jicho la kihasibu ndipo utaona hizo gapes.

Sasa sheria inawaruhusu TRA kufanya examination hata miaka 5 nyuma. Na wakikufanyia mtu wa aina yako watajiuliza tu haya maswali:

Kwann huyu mtu ana mauzo machache ila anafanya manunuzi kuongeza mzigo ambao upo stoo hauuzi?

Kama wewe ni smart kwamba hata manunuzi huchukui risiti linakuja swali la pili.

Kwanini huyu mtu ana manunuzi machache, mauzo machache ila gharama za uendeshaji ni kubwa?

Kama wewe ni smart kuficha manunuzi, mauzo na gharama, sheria inaaruhusu kuchungulia miamala yako na swali lingine linakuja

Kwann huyu mtu ana mauzo madogo, gharama sio kubwa, manunuzi madogo ila mzunguko wa fedha bank na mpesa,tigo pesa huko ni mkubwa?

Kama hupeleki pesa bank au tigo pesa huko mwonekano wa biashara yako unaweza ukakusaliti kutegemeana na eneo la biashara sababu serikali inaelewa nchi yake kila sehemu na mzunguko ulivyo.

Ukifanya kilakitu kwa 100% unaweza ukaumia na ukafunga biashara, ila ukiitafuna sana serikali basi uombe miaka 5 ipite bila ukaguzi otherwise watakutafuna wao.

TANZANIA MFANYABIASHARA WA DRS LA SABA ANA AKILI KULIKO GRADUATE WA DEGREE FIELD HUSIKA.
Service business haina manunuzi makubwa ati
 
Hii ni kwa sisi wafanya biashara wadogo, kampuni kubwa wanawasilisha hesabu zote za gharama ya uendeshaji na kiasi cha faida. Kodi inatoka kwenye faida wanayopata, na kuna wakati hawalipi kodi wanapowasilisha hesabu ya zero profit au minus profit kabisa
Inamaana wanachukua 18% toka faida inayobaki baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji?
 
Ukifikia tu mauzo ya milioni 100 automatically unakuwa qualified kuwa Vat collector.
 
TRA wanamatatizo sana,
Tatizo kubwa hawatoi elimu kabisa watu wanahangaika kutafuta elimu wenyewe.Na hili wanalifanya kusudi ili wapate mwanya wa kuwatisha watu wawape rushwa.

Kikiubwa inapswa iwe wazi namna wanavyokokotoa 18% ya VAT,je wanapiga kwenye mauzo ama kwenye faida?

Kama VAT itakua inafanyiwa hesabu kwenye mauzo huu utakua ni wendawazimu,ila kama watakua wanafanya hesabu kwenye faida si mbaya.

Chukua mfano Mimi na Juma tuwe na biashara zinazo fanana kwa kila namna,Mimi niwe kwenye VAT na Juma awe kwenye kodi ya mapato,bidhaa ikiwa na thamani mf 10,000/=,nitalazimika kuweka 18% ya VAT ambayo ni 1800/=,nikiijumlisha kwenye bei nitalazimika niuze 11800,

Kwa mfano huo wa mimi na juma utaona kwamba Juma yeye kwakua hayupo kwenye VAT anauwezo wakuuza kwa 11,000 akapata faida ya 1000,je .Mimi nitapata wateja?

Hii ndio hofu ya mtoa mada na wafanyabiashara wengi.

Tatizo kubwa kwenye biashara, ni hizi mambo za kutengeneza makundi,kama ilivyosasa hawa wa VAT na hawa sio wa VAT.Hapa kuna leta unfair competition na hili ndio tatizo kubwa linaloua biashara za watu.

Kinachotakiwa watu wote wawekwe kwenye mfumo mmoja,mfano watu wote wawe kwenye VAT na wote wawe na EFD machine.Na hizi machine zitolewe bure TRA.

Unfair competition inaua sana biashara,naamini kama kila mfanya biashara akipewa EFD mashine inawezekana kabisa VAT ikashuka hata 5% na makusanyo yakawa maradufu kuliko ilivyosasa.
 
Technically ukiingia VAT serikali inakutumia wewe kuchukua kodi kutoka kwa wanunuzi. Hivyo sio kitu kibaya especially kama biashara yako ni Limited Liability Company
 
Back
Top Bottom