Black American ni chuki kama Saturn agentSiyo nchi hii tu. Po pote palipo na mtu mweusi mambo ni yale yale: ubinafsi wa kutisha, ufisadi wa kinyama, roho mbaya iliyopindukia, kuoneana, kutojali, uvivu na utopolo wa kila aina. Kuna tatizo mahali na mtu mweusi - si Afrika, si visiwa vya Caribbean, si Haiti, si.....Inakera !!!