Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
-
- #21
Hela anayolipa mpangaji haitoki kwa mwenye nyumba na wala hajui kiasi kilicholipwa.Sasa kama mpangaji analipa kwa niaba ya mwenye nyumba, itakuwaje tena mpangaji afidiwe na mwenye nyumba wakati hela alizolipa TRA ni za mwenye nyumba?
Kweli walipe wenye nyumba.Mbona miaka ya nyuma kulikuwa na fomu za kulipa kodi ya jengo hata ofc za mitaa,tra how now?Isijekuwa sekta husika inakwepa majukumu yake.TRA mnatupa namba za simu eti kwa maelezo zaidi.
Mimi mpangaji na mpokeaji simu hatuwezi kutatua tatizo kupitia simu, kodi ua ZUIO inahitaji maelezo ya kina kutoka uongozi na si marisepshenisti.
Tunataka kodi ya ZUIO ilipwe na mwenye nyumba na si mpangaji.
Mpangaji anatakiwa kukata 10% ya kodi anayomlipa mwenye nyumba na kupeleka TRA.Hela anayolipa mpangaji haitoki kwa mwenye nyumba na wala hajui kiasi kilicholipwa.
ExactlyMpangaji anatakiwa kukata 10% ya kodi anayomlipa mwenye nyumba na kupeleka TRA.
Jaribu ili uwe mfano.Mpangaji anatakiwa kukata 10% ya kodi anayomlipa mwenye nyumba na kupeleka TRA.
elimu inahitajika sana..na maelezo toshelezi maana wanaumia watu sanaMiaka yote wapangaji ndio wanaolipa kwa niaba ya mwenye nyumba, TRA inamshauri mpangaji amtake mwenye nyumba mwisho wa mwaka amfidie kiwango alicholipa! Hii haiwezekani, lakini pia mpangaji anaweza akahama kabla ya mwisho wa mwaka, hapa TRA haina maelezo kama itamrudishia baadhi ya kodi ya miezi iliyosalia.
Elimu tayari tunayo ila haiingii kichwani mimi nilipe kisha nimdai mwenye nyumba eti anirudishie pesa niliyolazimishwa kulipa! Mbona TRA wanatuma madai ya kodi za majengo sasa iweje washindwe kwa hilielimu inahitajika sana..na maelezo toshelezi maana wanaumia watu sana