TRA ya USA waruhusiwa kuua ikibidi kukusanya kodi ya Serikali

TRA ya USA waruhusiwa kuua ikibidi kukusanya kodi ya Serikali

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!


1660316736145.png
 
Unalinganisha nchi ya kidemokrasia ambayo serikali inakuwa accountable kwa watu na hizi zetu? Kodi zinakusanywa zinakombwa na kwenda kufichwa Swiss Bank account ya mtu. Zingine zinawekwa kwenye makontena nyumbani. Kodi zetu ni wizi tuu.
 
Unalinganisha nchi ya kidemokrasia ambayo serikali inakuwa accountable kwa watu na hizi zetu? Kodi zinakusanywa zinakombwa na kwenda kufichwa Swiss Bank account ya mtu. Zingine zinawekwa kwenye makontena nyumbani. Kodi zetu ni wizi tuu.

Demokrasia inaishia kwenye kodi ya Serikali hapo hakuna mchezo na ndiyo maana wanaruhusiwa kushoot na hata kuuwa linapokuja swala la kodi, …
 
Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!


View attachment 2322078
Mbali na kwamba kigezo hicho kimeondolewa lakini hii inatuonyesha ni namna gani wenzetu wanatudangaya kuhusu utawala Bora na haki za binadamu.
 
Mbali na kwamba kigezo hicho kimeondolewa lakini hii inatuonyesha ni namna gani wenzetu wanatudangaya kuhusu utawala Bora na haki za binadamu.

Siyo kwamba wanatudanganya ni sisi tu kukosa uwezo wa kuhoji na kufikiria logically, mfano kwa hali ya kawaida nchi zote Duniani ni wapinzani wa Kiuchumi sasa iweje nchi xyz itake kukusaidia wewe utajirike ili uje kumletea Upinzani? Hakuna logic hapo, lkn bado tunaamini kabisa Mzungu, Mwarabu au Mchina anakuja kutusaidia, watu wanaamini kabisa USA anakuja kuwajengea Mji wa kisasa Kigamboni wengine wanaamini kabisa Mchina/Mwarabu anakuja kuwajengea Bandari kubwa Afrika na Mji wa kisasa Bagamoyo, kwa lipi haswa ?
 
Tulinganishe mapato,matumizi na matokeo ya wale mliokuwa mnaua vs ambao hawaui..

Tuanzie hapa, Mwendazake aliingia 2015 mapato bil.850 kwa mwezi anatoka baada ya miaka 5 mapato ya TRA ni Til.1.35 , difference=bil.500

Samia Kwa mwaka mmja mapato kutoka 1.3 T hadi 1.8Til. Bila kuua wala.kupora., difference=Bil.500

Kwa hesabu hizo mmja kaleta tofauti ndani ya mwaka mmja na mwingine Kwa kiasi kile kile alitumia miaka 5..

Ajili kichwani sio mihemko 😆😆😆😆
 

Attachments

  • Screenshot_20220704-082537.png
    Screenshot_20220704-082537.png
    113.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220704-082656.png
    Screenshot_20220704-082656.png
    43 KB · Views: 3
Huku kwetu wafanyabiashara wanachofanya ni kumrubuni kiongozi mkuu awasamehe wasilipe kodi.

Wafanyabishara wakishafanikiwa kum-corrupt kiongozi utasikia msiwasumbue wafanyabiashara, waacheni. Hili nendeni mkalitizame.

Halafu anaenda kukopa ama kuomba msaada kwa watu kama hao IRS wanaokusanya kodi hata kwa bunduki.
 
Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!


View attachment 2322078


Unapotosha hakuna mtu ana ruhusiwa kuuwa USA bali kujilinda! Unaweza kuenda kwenye biashara ukapigwa risasi na wewe ni lazima ujihami.
 
Unapotosha hakuna mtu ana ruhusiwa kuuwa USA bali kujilinda! Unaweza kuenda kwenye biashara ukapigwa risasi na wewe ni lazima ujihami.

Sasa ndiyo umeandika nini? Mbona unakubali halafu hapo hapo unakana? Kuruhusiwa kuuwa kwa kujilinda ni kuruhusiwa kuuwa na Dunia nzima ni hivyo, hakuna nchi ambayo mtu anaruhusiwa kuua for fun!
 
Tangazo la kazi IRS ya USA ambayo ndiye mkusanyaji kodi wa USA kama TRA kwetu, ukisoma majukumu na masharti ya mkusanyaji kodi kwamba awe tayari kutumia nguvu ikibidi kuua ili kukusanya kodi, tangazo la kazi hilo hapo chini. Nchi hazijengwi kilelemama na kwa kubembelezana!


View attachment 2322078

Watozwa kodi wa USA wamedandia Mtumbwi wa kibwengo
 
Acha ujinga Samia hakusanyi hiyo hela! Nakwambia huyu bibi hana uwezo hui ni uongo wa hali ya juu! Usiamini sana data za huyu bibiyenu ni utaahira mtupu!
Tulinganishe mapato,matumizi na matokeo ya wale mliokuwa mnaua vs ambao hawaui..

Tuanzie hapa, Mwendazake aliingia 2015 mapato bil.850 kwa mwezi anatoka baada ya miaka 5 mapato ya TRA ni Til.1.35 , difference=bil.500

Samia Kwa mwaka mmja mapato kutoka 1.3 T hadi 1.8Til. Bila kuua wala.kupora., difference=Bil.500

Kwa hesabu hizo mmja kaleta tofauti ndani ya mwaka mmja na mwingine Kwa kiasi kile kile alitumia miaka 5..

Ajili kichwani sio mihemko 😆😆😆😆
 
Acha ujinga Samia hakusanyi hiyo hela! Nakwambia huyu bibi hana uwezo hui ni uongo wa hali ya juu! Usiamini sana data za huyu bibiyenu ni utaahira mtupu!
Sasa baba mwenye chuki zake hiyo figure imetoka wapi? 🤣🤣🤣🤣.

Mzee angekuwa hakusangi ajira angelipa kamasi zako? Sgr angelipa matapishi yako? Maelfu ya miradi ya maji yanayoendelea analipa uji?

Barabara je ,analipa mkojo wako? Tarehe 14 atashuhudia utiaji Saini wa mikataba ya miradi Zaid ya 1000 ya Tarura..

Umeona mabilioni ya ruzuku za kilimo,mafuta kote huko analipa mavi yako Mzee?

Ni hivi ameshawafunika kwa hiyo hapa unatapatapa tuu kujifariji.👇
 

Attachments

  • 20220812_210106.jpg
    20220812_210106.jpg
    80.8 KB · Views: 3
  • 20220812_210441.jpg
    20220812_210441.jpg
    146 KB · Views: 4
Sasa ndiyo umeandika nini? Mbona unakubali halafu hapo hapo unakana? Kuruhusiwa kuuwa kwa kujilinda ni kuruhusiwa kuuwa na Dunia nzima ni hivyo, hakuna nchi ambayo mtu anaruhusiwa kuua for fun!


Wewe umeandika kama vile mtu akikataa kulipa kodi anaweza kupigwa risasi😂. Pili USA kuwa na bunduki inaruhusiwa kikatiba sio kitu cha idara moja pekee
 
Demokrasia inaishia kwenye kodi ya Serikali hapo hakuna mchezo na ndiyo maana wanaruhusiwa kushoot na hata kuuwa linapokuja swala la kodi, …
Kwani yule mbumbavu wa jambiani ana semaje
 
Umefafanya generalization..kufanya execution wamesema ni kwenye dangerous assignments nani asiyejua kuna mahali ili mambo yaende lazima nguvu ya ziada itumike?

Hii haina tofauti na kwa daktari unapoambiwa utafuata miiko ila kuna nyakati lazima urudi kuangalia "ubinadamu" walio madaktari wamenielewa.
 
Back
Top Bottom