TRA ya USA waruhusiwa kuua ikibidi kukusanya kodi ya Serikali

Kwa uchumi wa Tanzania,,TRA INGEKUWA INAKUSANY TRILLION 30..WANJISIFIA KWA KUJIWEKEA TARGET KIDOGO
Ingekuwa inakusanya wakati hamtaki kudai risiti mkienda kufanya manunuzi hadi mlazimishwe?

Mimi wakati wote nimekuwa napenda kuwepo task force kubwa ya ku enforce jamii idai risiti Kwa kila manunuzi badala ya kukadiriana makodi makubwa..
 
Hakuna TRA Marekani,tafuta jina la Revenue Authority ya Marekani ndipo uandike.
Huwa mnawahi kuandika posti bila kujipanga.

Labda wewe ndiyo haujajipanga kusoma na kuelewa kilichoandikwa, kwani TRA ni nini nan kazi yake ni nini?
 
Don't be naive,hakuna nchi isiyoua,katika kulinda maslahi makubwa ya wananchi na vizazi vijavyo.
Hata hapa bongo,ccm inaua kila leo Ili ibaki Madarakani,walijaribu kumuua Tundu lisu mchana kweupe,Utawala wa Mwinyi ulimuua stanslaus katabalo baada ya kugundua wizi wa dhahabu uliokuwa ukifanywa na familia ya Mwinyi.
Umeishawahi kujiuliza kwa nini US haiivamii Japan,South Korea,Austaria,South Afrika,Philippine,India,Pakistan!?
Dunia ya leo lazima ulinde maslahi yako,lazima ufanye ujasusi wa kiuchumi,wengine wafe,wewe upone.
Kiwanda chetu Cha General tyre kiliuliwa kijasusi na Kenya,wao wakafungua kwao kinaitwa Yana tyre!unalijua Hilo?mpaka kesho Kenya watahakikisha Hiki Cha kwetu hakiponi.
Usiwalaumu US,wanalinda maslahi yao na siku zao za usoni.
Ukikutana na Simba,ukamwambia "Simba Mimi ni mnyonge usiniue,wafate wengine"kwanza atakushangaa,lazima akulalue!!
Ukitaka heshima,usisubili kupewa,itafute kwa lazima,kama anavyofanya Iran,Urusi,North Korea,Palestine Authority,nk.
 
Sasa haya maswala ya kujiandikisha Ili upewe mbolea ya ruzuku ya nini?mbolea kama ina subsides,iuzwe tu,watu wanunue huko walipo walime,mambo ya kujiandikisha ni kuturudisha kwenye ujamaa,
 
Trump forma USA president, yupo kikaangoni tuhuma Kampuni zake kukwepa Kodi!
Kiukweli wenzetu wapo serious na mambo ya Msingi, tuna mengi Mazuri ya kujifunza, mbali ya machache ya kupuuza Kama ushoga.
 

Eti IRS sio idara ya mapato! Huu ni uvivu wa kufikiria au uvivu wa kutafiti? Unajua hata kirefu cha IRS kweli?

Sema, kwa Marekani, federal government agencies na levels zote za serikali (state na local) zina law enforcement units zake. Hawana utamaduni wa kutegemea police force moja nchi nzima!
 


Mimi sielewi umeandika kitu gani!!, mimi nasema; America aache kujipachika cheo cha polisi wa dunia katika kulinda the so called Haki za kiraia na Demokrasia duniani ilhali kwake mwenyewe hakuna haki hizo. Aache undumilakuwili na kwanza ajishughulishe na mambo ya nyumbani kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…