TRA yaanza kufanya ukaguzi wa risiti nchi nzima

TRA yaanza kufanya ukaguzi wa risiti nchi nzima

ifike mahala wote tuwe responsible kwenye kutoa na kuomba risiti.. iwe ni utamaduni wetu wote tu.... Serikali ikikusanya mapato makubwa tuna haki wote kuihoji hela za hizi kodi zinakwenda wapi? haiwezekani taifa la watu zaidi ya 60mil eti linakusanya 2trilioni wakati kiuhalisia tulipaswa kukusanya zaidi ya 7trilioni kwa mwezi kama tutakuwa serious..
 
MTANZANIA....usijaribu kukwepa kodi........bora ucheleweshe...ila usikwepe.....UTAJUTA.......nimejifunza.....
 
Jamaa yangu walimpigia rada kwenye kituo Cha kuuza mafuta ya gari, akaondoka hawakuona Kama amepewa risiti jamaa wakamfukuzia na Toyo wanakuja Kama sio maofisa baada ya kujitambulisha wakaomba risiti aliyopewa baada ya kununua mafuta.

Jamaa alipowaonyesha wakaingia upepo wakasanda. Yaani hapo ingekuwa hana receipt inhemtoka hela ya rushwa hapo balaa.

Tudai receipt kwa maendeleo yetu na Taifa letu.
Ila hii si ndio tulikua hatutaki kipindi Cha jiwe?
 
Jamaa yangu walimpigia rada kwenye kituo Cha kuuza mafuta ya gari, akaondoka hawakuona Kama amepewa risiti jamaa wakamfukuzia na Toyo wanakuja Kama sio maofisa baada ya kujitambulisha wakaomba risiti aliyopewa baada ya kununua mafuta.

Jamaa alipowaonyesha wakaingia upepo wakasanda. Yaani hapo ingekuwa hana receipt inhemtoka hela ya rushwa hapo balaa.

Tudai receipt kwa maendeleo yetu na Taifa letu.
Aise

Ova
 
3% ya Kodi yote nchini ni kiasi gani?!!
Acha mawazo finyu, haiwezekani ikawa kwa Kodi yote, ila hiyo ni 3% ya atakayeripoti siyo nchi nzima wataripoti na wafanyabiashara wote wataripotiwa au wote ni wakwepa Kodi.
 
Tupe ushuhuda mkuu
....mkuu.....wacha kabisa 2021 kwangu ilikuwa ngumu sana sio mbaya....NGUMU....na kama mfanyabiashara...jitahidi uwe na zaidi ya moja.....ukiweza kilimo na uwekezaji wa ujenzi......huko unaweza ficha pesa...ndicho kilichonisaidia....ukwepaji mkubwa kuyadadavua masurufu ya serikali......badala ya kupeleka ..kwa mfano.....badala ya 45 unapeleka 6......system inasoma vema.....upo online...una account zinavimba na kukonda ghafla....since 2013 - 2020.....wananizukia babake....kwanza wakajipangia rushwa.......10% ya deni.......halafu ndio tuanze kudadavua ninachopaswa kulipa......mpaka sasa niko clear,....japo sijamaliza.........ila safari ilikuwa ndefu na NGUMU.......ila hawakufunga account...nashukuru.....nilikuwa mpole...ila mbishi.......so nimejifunza kitu.....now nna adabu japo bila kuchengesha...UTACHELEWA SANA KUFIKA.....
 
Muda wa watu kupata pesa ya kiwi, ya kamba n.k
 
....mkuu.....wacha kabisa 2021 kwangu ilikuwa ngumu sana sio mbaya....NGUMU....na kama mfanyabiashara...jitahidi uwe na zaidi ya moja.....ukiweza kilimo na uwekezaji wa ujenzi......huko unaweza ficha pesa...ndicho kilichonisaidia....ukwepaji mkubwa kuyadadavua masurufu ya serikali......badala ya kupeleka ..kwa mfano.....badala ya 45 unapeleka 6......system inasoma vema.....upo online...una account zinavimba na kukonda ghafla....since 2013 - 2020.....wananizukia babake....kwanza wakajipangia rushwa.......10% ya deni.......halafu ndio tuanze kudadavua ninachopaswa kulipa......mpaka sasa niko clear,....japo sijamaliza.........ila safari ilikuwa ndefu na NGUMU.......ila hawakufunga account...nashukuru.....nilikuwa mpole...ila mbishi.......so nimejifunza kitu.....now nna adabu japo bila kuchengesha...UTACHELEWA SANA KUFIKA.....
Pole sana. Nchi ngumu sana hii. Nilipitia hayo 2019.
 
Acha mawazo finyu, haiwezekani ikawa kwa Kodi yote, ila hiyo ni 3% ya atakayeripoti siyo nchi nzima wataripoti na wafanyabiashara wote wataripotiwa au wote ni wakwepa Kodi.
Kodi inayokwepwa ni kiasi gani kwa makadirio ya tra?
 
Hao mm hawawezi kunikamata hawana mamlaka ya kunikamata hao labda washirikiane na mamlaka zinazo ruhusiwa kunikamata
 
ifike mahala wote tuwe responsible kwenye kutoa na kuomba risiti.. iwe ni utamaduni wetu wote tu.... Serikali ikikusanya mapato makubwa tuna haki wote kuihoji hela za hizi kodi zinakwenda wapi? haiwezekani taifa la watu zaidi ya 60mil eti linakusanya 2trilioni wakati kiuhalisia tulipaswa kukusanya zaidi ya 7trilioni kwa mwezi kama tutakuwa serious..
Tatizo ni ubadhilifu na matumizi ya hovyo,
Halafu hakuna usawa ,mlala hoi anaeinginza laki mbili kwa mwezi analipa Kodi, halafu mwanasiasa anayeingiza 15M kwa mwezi halipi chochote na anaishi bure, unadhani watu watakuwa na Uzalendo wa kipumbavu namna hiyo?
 
Back
Top Bottom