TRA yaanza kufanya ukaguzi wa risiti nchi nzima

Nia ya zoezi ni watu watoe stakabadhi. Siyo kukamata wahalifu tu, japo mhalifu akipatikana baada ya tangazo atakamatwa na mkazo utawekwa kwenye tahadhari iliyotolewa. Wewe ukakaidi baada ya kujuzwa tahadhari. Hivyo, adhabu kubwa unastahili.
 
Ila hii si ndio tulikua hatutaki kipindi Cha jiwe?
Sio mimi aisee when it comes to payment of statutory fees and levied services. Kama umelipa kwa kupata huduma ni shida gani inakupata ukichukua receipt??

Tunataka serikali iendelee kutoa huduma zaidi na zaidi na bila kukusanya kodi haitaweza kupata mapato yake kwa hiyo itapelekea kudhindwa kutoa huduma kwa jamii.

Kama umelipa kupata huduma dai receipt ili utakapodaiwa isiwe shida, yani ulipie bidhaa za laki tatu ukatae receipt then ukikamatwa utatoa lawama kwa Nani???

Ni mwehu pekee ndio anaweza kulalamika kwa makosa yake mwenyewe.
 
Hivi na kwenye baa na migahawa wana komaa na risiti? Naombeni ujuzi. Na je wale ambai wana tax exemption pia wanatakiwa kuwa na efd machine?
 
Hivi na kwenye baa na migahawa wana komaa na risiti? Naombeni ujuzi. Na je wale ambai wana tax exemption pia wanatakiwa kuwa na efd machine?
kwani baa hawafanyi biashara inayostahili kutoa risiti? unakuta meza imejaa bia tena heineken na k vant ,.tatizo watu risiti hizi tunachukulia poa ingekuwa namba ya simu ya weita weeee unakitunza kikaratasi kisipotee dadadeki. nani hao wanaofanya biashara halafu wamesamehewa lipa kodi? sasa watajuaje pia kama biashara uliyofanya ndiyo hiyo kama hutoi risiti na uliyemuuzia kama kanunua kihalali kwako?kumbuka kuna mwingine risiti hiyo inaenda msaidia kukadiriwa kodi au kurejeshewa sijui wanasema vat refund .Hivi kwani kuepuka na hawa tra kuna shida gani kudai risiti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…