Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Ile ni PRIna maana takwimu za makusanyo makubwa huwa ni geresha tu kufurahisha uma! Hatari sana hii!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ni PRIna maana takwimu za makusanyo makubwa huwa ni geresha tu kufurahisha uma! Hatari sana hii!
Yani ni full confusionTulikotoka, tulipo, tunakokwenda
Asilimia kubwa serikalini wengi ni wezi, sasa kama nchi sijui tunaelekea wapi?
Kabisa na wasipotaka kujisahihisha hali itakuwa mbaya zaidi.Yale maigizo tu ya wanasiasa ili wasionekane wamefeli, jiulize kama makusanyo yanatosha kwanini mishahara ikachelewa?
Wao wanapenda maneno lakini vitendo vinawaumbua.
Kibaya zaidi kama ndio wameanza ku-frustrate investors hizo Dollars watazipata wapi?..... Maana hata watalii sidhani kama wanapata thrilling experience kuwafanya warudi tena Tz kwa hali hii ya ubabaishaji tunayoishuhudiaBenk ya Dunia inataka rejesho baba, we unacheza kudaiwa na Mzungu
Ni kuhadaa watu tu, hakuna cha 4R wala nini.... Ubabaishaji kila sehemuSamia alisema ana 4R kumbe ulli ujinga wa magufuli unaendelea na yeye anakenua meno tu
Wale jamaa ni wasomi sana. Wamesoma kumzidi kila mtu duniani.Licha ya kupiga hatua kwenye kuvutia wawekezaji na kuwa kivutio cha FDI sasa hali imeanzakudhoofishwa. Mabalozi wameanza kulalamika kuwa wawekezaji wao wengi wanakumbana na usumbufu mkubwa kutokana na notisi zisizothibitishwa kutoka kwa TRA zinazodai malipo na usuluhishi wa akaunti wa miaka 15. Biashara nyingi zimekabiliwa na 'maafa ya wakala wa benki' ambayo yanasimamisha akaunti, kusimamisha shughuli na kuathiri vibaya mishahara ya wafanyikazi na mtiririko wa pesa wa wasambazaji. Makampuni yamesaini mikataba ya mapunguzo ya kodi na Kituo cha Uwekezaji Tanzania na wizara husika, na kushauriwa kuwa TRA haitatambua wala kuheshimu mikataba hiyo kwa sababu haijatangazwa kwenye gazeti la Dodoma. Wawekezaji pia wanaripoti kuwa mawakala wa TRA hutoza bili zisizo za kawaida za kodi zisizoungwa mkono na sheria za Tanzania, kutishia wawekezaji na washirika wa Tanzania wakati makampuni yanapopinga au kukata rufaa kwa vitendo hivi, na kufungia au kukamata akaunti za benki na mali za kampuni bila taarifa wala msaada wa kisheria kwa wakati.
Kwa maelezo zaidi soma attachment ya barua toka ubalozi wakionesha waswasi na sintofahamu inayokabili wawekezaji wao.
My Take.
Kuna uwezekano mkubwa hazina ya serikali ikawa kwenye hali mbaya kama hizi tuhuma zitakuwa za kweli. Kingine ni uthibitisho tosha kuwa kwenye mfumo wa serikali wizi umetamalaki mno kiasi cha kuathiri uendeshaji wa shughuri za umma kwa ujumla.
Magufuli alidili na wakubwa wasiolipa kodi na alifanikiwa. Kama ulikuwa umenyooka wakati wa Jiwe biashara ilikuwa poa.Samia alisema ana 4R kumbe ulli ujinga wa magufuli unaendelea na yeye anakenua meno tu
Tatizo kukopa sana kuchukua harusi marejesho kilio, hii nchi kausha damu sio kwa wananchi tu mpaka kwa wenye nchi ndugu yangu nao wanakaushwaKibaya zaidi kama ndio wameanza ku-frustrate investors hizo Dollars watazipata wapi?..... Maana hata watalii sidhani kama wanapata thrilling experience kuwafanya warudi tena Tz kwa hali hii ya ubabaishaji tunayoishuhudia
Ni disaster aiseeUnachekea wakwepa kodi halafu unasumbua walipa kodi. Na bado.
Suala la dollar acha kabisa dola Amna juzi hapa nimeinunua Kwa 2900 imagine mambo yako ovyo kabisaKibaya zaidi kama ndio wameanza ku-frustrate investors hizo Dollars watazipata wapi?..... Maana hata watalii sidhani kama wanapata thrilling experience kuwafanya warudi tena Tz kwa hali hii ya ubabaishaji tunayoishuhudia
Nchi yetu ina disappoint Sana bro........ Hakuna kabisa uwajibikaji, so bila kuipigania nchi hali itaendelea kuwa mbaya Sana maana mifumo saizi haipo vizuri kabisa.Suala la dollar acha kabisa dola Amna juzi hapa nimeinunua Kwa 2900 imagine mambo yako ovyo kabisa
Kikubwa ni wao wavuke lengo la ukusanyaji, hawajui kesho watakosa hata sehemu ya kukusanya, unawezaje kuharass FDI wakati huna hata uwezo wa kuajiri 50% ya wahitimu wa vyuo ?Licha ya kupiga hatua kwenye kuvutia wawekezaji na kuwa kivutio cha FDI sasa hali imeanzakudhoofishwa. Mabalozi wameanza kulalamika kuwa wawekezaji wao wengi wanakumbana na usumbufu mkubwa kutokana na notisi zisizothibitishwa kutoka kwa TRA zinazodai malipo na usuluhishi wa akaunti wa miaka 15. Biashara nyingi zimekabiliwa na 'maafa ya wakala wa benki' ambayo yanasimamisha akaunti, kusimamisha shughuli na kuathiri vibaya mishahara ya wafanyikazi na mtiririko wa pesa wa wasambazaji. Makampuni yamesaini mikataba ya mapunguzo ya kodi na Kituo cha Uwekezaji Tanzania na wizara husika, na kushauriwa kuwa TRA haitatambua wala kuheshimu mikataba hiyo kwa sababu haijatangazwa kwenye gazeti la Dodoma. Wawekezaji pia wanaripoti kuwa mawakala wa TRA hutoza bili zisizo za kawaida za kodi zisizoungwa mkono na sheria za Tanzania, kutishia wawekezaji na washirika wa Tanzania wakati makampuni yanapopinga au kukata rufaa kwa vitendo hivi, na kufungia au kukamata akaunti za benki na mali za kampuni bila taarifa wala msaada wa kisheria kwa wakati.
Kwa maelezo zaidi soma attachment ya barua toka ubalozi wakionesha waswasi na sintofahamu inayokabili wawekezaji wao.
My Take.
Kuna uwezekano mkubwa hazina ya serikali ikawa kwenye hali mbaya kama hizi tuhuma zitakuwa za kweli. Kingine ni uthibitisho tosha kuwa kwenye mfumo wa serikali wizi umetamalaki mno kiasi cha kuathiri uendeshaji wa shughuri za umma kwa ujumla.