HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ulisikia hoja yake kuhusu Ndege na Helicopter?Mwambie boss wako apunguze kupost post masifa yake ya pesa mtandaoni
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulisikia hoja yake kuhusu Ndege na Helicopter?Mwambie boss wako apunguze kupost post masifa yake ya pesa mtandaoni
Ova
Barabara!TRA wakachukue 30% yao
Ulisikia hoja yake kuhusu Ndege na Helicopter?
Mtoa mada Helicopter na Ndege iko wapi maana mwaka unaisha
Ame underport anachokipata kwenye financial reports. Hivyo TRA kisheria wapo sahihi na wanahaki ya kuvamia office na kufanya upekuzi na kuzuia bank accounts.Ama kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.
Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.
Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.
Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.
Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.
Kwamba agent anaitwa Mr T.Uongo wa kitoto sana ule ndio ujue pale napo tia maji tia maji tu sifa kibao lakini kichwani zero kabisa
Sikukatalii ila bado due process ni nzuri mno. Precedent huwa ina effect kubwa mno.TRA imeshinda Tribunal zote na wanakuwa na advantage maana tayari wanakuwa wamekamata hela zako
Hakuna aliye juu ya sheria, inaonekana ana pesa nyingi ambazo hazina maelezo ya kina au haziendeni na kazi anayofanya, akithibitisha kwa vyanzo vyake na kodi stahiki anayotakiwa kulipa atakwenda sawa na TRA, asilalamike kupitia mitandao huo ni utoto!Sasa kama hawalipi kodi ulitaka wachekewe tu?
Unajuaje huyo mama ndio kawatuma...Ama kwa hakika uonevu na unyama huu uliofanyika na taasisi kubwa ya serikali yani TRA sio wa kufumbiwa macho.
Imepora sh million 700 kwenye akaunti binafsi za msanii Diamond Platnumz.
Hii imefanya Diamond aamue kulalamika baada ya uonevu huu kuzidi.
Haya mambo ndio yanafanya watu waichukie serikali ya Mama Samia sababu kuna watendaji wanamchonganisha na raia.
Mama Samia tunaomba uingilie kati tuondolee huyo DG wa TRA.
Kumbe Mbowe ndo DG wa TRANaona vijana wa mbowe mnamwaga povu la kutosha [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa sisi tunawatazama tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1]Mama alisema sitaki kodi za dhulma alisahau anaongoza Tanzania na sio msikiti