TRA Yaweka rekodi Mpya Kwa Kukusanya Trilioni 16.5 kwa miezi 6. Yavuka Malengo kwa asilimia 103%.

TRA Yaweka rekodi Mpya Kwa Kukusanya Trilioni 16.5 kwa miezi 6. Yavuka Malengo kwa asilimia 103%.

Nilipobisha nilileta hizo statements, wewe ukasema zipo zingine ambazo hazikupata hizo faida ndio nikakuomba uzilete kama mimi nilivyoleta.
Leta statements za benki Nje ya CRDB,NMB na NBC.

Mbona nimekuwekea tangazo la BoT wakifunga Benki awamu ya 5?

Saizi umesikia benki zinalalamika.kutaka kufirisika?
 
Kamanda huenda hujamuelewa. Twende taratibu utaelewa, Ulisema 2015 banks zilirekodi faida ndogo kuwahi kutokea. Mm nikaja kukueletea taarifa za faida kwa miaka 10 kutoka 2014-2024, kwa kipindi chote hicho faida zilikua zinaongezeka hazikuwahi kupungua

Ukaja kusema tuachane na crdb na nmb, nikakuomba uje na taarifa Kama niliyokuja nayo ya miaka 10 ili tuone faida zilikua zinapungua au kuongezeka. Naamini hizo taarifa unaazo, ndio nazoomba kuziona.

Unaleta taarifa za sasa hivi banks kupata faida ikiwa sijabisha na najua zinapata faida, weka 10years permformabce lengo tujue hizi faida za banks zipoje kila mwaka
Mkuu kama kweli faida ilikuwa inaongezeka kila mwaka, ilikuwaje overall profit kuanzia mwaka 2015 mpaka 2017 ishuke mpaka 287b.

View: https://x.com/MariaSTsehai/status/1024660238794940417?t=rWuiKbvpE2yTgesnHhEq_w&s=19
Wewe ulicholeta ni zile bank ambazo ni first tier lenders na ambazo nyingi Zinafanya kazi na serikali na ukiweka mfano wa nmb na crdb sio fair sababu 90% ya watumishi wanaakaunti huko, hivyo bado uhakika wa deposits unakuwepo.
Hapa mlinganisho mzuri ulipaswa uwe kwenye bank ambazo hazina mahusiano na serikali kama azania, equity na kadhalika sio standard au nmb
 
🤣🤣 Umepanic ,Sasa unaonesha jinsi ulivyo wa hovyo 😆😆

Ndio nakwambia Sasa kwamba ni lini na wapi uliwahi ona TRA imefikia 100% au kuvuka malengo kama awamu hii ya Mwenda/Samia.
 

Attachments

  • IMG_6078.png
    IMG_6078.png
    736.7 KB · Views: 1
Hizo statements nimeziweka hapo juu? Ushasahau?
Umeweka statement za crdb na nmb ambazo kiuhalisia sio fair sababu pamoja na mengine yote still yet hizo ni bank za watumishi hivyo bado zenyewe hazikudhuriwa na liquidity crunch ya kipind cha miaka ya 2015 mpaka 2020 . Leta za benk kama azania bank, bank m au benk zozote ambazo hazidili sana na serikali ila zimejiweka sana kwenye mikopo ya wajasiliamali kama equity. Zikiwa sawa basi utakuwa uko sawa
 
Mkuu kama kweli faida ilikuwa inaongezeka kila mwaka, ilikuwaje overall profit kuanzia mwaka 2015 mpaka 2017 ishuke mpaka 287b.

View: https://x.com/MariaSTsehai/status/1024660238794940417?t=rWuiKbvpE2yTgesnHhEq_w&s=19
Wewe ulicholeta ni zile bank ambazo ni first tier lenders na ambazo nyingi Zinafanya kazi na serikali na ukiweka mfano wa nmb na crdb sio fair sababu 90% ya watumishi wanaakaunti huko, hivyo bado uhakika wa deposits unakuwepo.
Hapa mlinganisho mzuri ulipaswa uwe kwenye bank ambazo hazina mahusiano na serikali kama azania, equity na kadhalika sio standard au nmb

Source ni Maria au the citizen?

Kabla ya kwenda mbali kuhusu hizi financial statements pitia bank profits hapa kwa source ya The citizen kwa case study ya bank ya NMB kwa mwaka 2014,2015 na 2016 alafu compare na statement ya NMB. Kuna kitu utajifunza alafu tutaendelea na hii dialogue

NMB wenyewe
Screenshot_20250102-173637_1.jpg


Soma na Hawa the citizen walichoweka
Screenshot_20250102-174041_1.jpg
 
Source ni Maria au the citizen?

Kabla ya kwenda mbali kuhusu hizi financial statements pitia bank profits hapa kwa source ya The citizen kwa case study ya bank ya NMB kwa mwaka 2014,2015 na 2016 alafu compare na statement ya NMB. Kuna kitu utajifunza alafu tutaendelea na hii dialogue

NMB wenyewe
View attachment 3190719

Soma na Hawa the citizen walichoweka
View attachment 3190720
Ndio the Citizens wamenukuu taarifa za Bank ya NMB na wahusika hawajawahi kanusha.

Nimekuwekea Hadi BoT iki merge Banks kisa kufilisika sijui wewe unataka taarifa zipi hasa
Screenshot_20250102-180133.jpg
 
Ndio the Citizens wamenukuu taarifa za Bank ya NMB na wahusika hawajawahi kanusha.

Nimekuwekea Hadi BoT iki merge Banks kisa kufilisika sijui wewe unataka taarifa zipi hasa
View attachment 3190730
Sijui hata umeelewa tulichojadili. Tumejadili profits kupanda na kushuka

Hili la bank baadhi kucollapse tulijadili Jana, niliuliza mwaka jana 2023 USA bank zaidi ya 3 zilikufa tafsiri yake uchumi wa USA umekufa? Umeshuka sana? Hata sasa kuna wasiwasi mkubwa banks zingine zikafa huko USA, je USA Wana sera mbaya za uchumi? Uchumi wao umekufa?
 
Kiongozi tuachane na haya maneno. Naomba financial statement ya exim bank kwa miaka 10

Au ya stanbic bank kwa miaka 10 tusome trend ipoje. Nadhani tumalizie hapa huu ubishi
umezungumzia kuwa faidaimekuwa ikipabda wa bank , unawez kutueleeza k nni kuliko na mporomoka wa faida wa faida kwa crdb kuanzia mwaka 2016
1735831259090.png
1735831259090.png

1735831458206.png

ila faida ya mwaka 2014 na 2013 ikwa ni kubwa kuliko hata ya mwaka 2019 na 2018 umaweza kueleza sabab
ya inconsistency ya mapato
1735832262019.png
1735832262019.png
 
Hizo ndio two Giants. Lakini ni ruhusa wewe kuketa financial statements za banks zingine kwa hiyo miaka. Hapo utakua umesaidia sana
nimkuletea financial statement ya crdb zikioneha kushuka kwa mapato kuanzia 2016 mpaka 2017 huku yale ya mwaka 2014 na 2013 yakiwa twice ya hio miaka hiyo ni kwa crdb , fiiria kwa benk ndogo kama faida ya cdrb kwa 2017 lishuka kwa zaidi ya 40% fikiria kwa benk ndogo hali ilikuwaje
 
umezungumzia kuwa faidaimekuwa ikipabda wa bank , unawez kutueleeza k nni kuliko na mporomoka wa faida wa faida kwa crdb kuanzia mwaka 2016
View attachment 3190770View attachment 3190770
View attachment 3190772
ila faida ya mwaka 2014 na 2013 ikwa ni kubwa kuliko hata ya mwaka 2019 na 2018 umaweza kueleza sabab
ya inconsistency ya mapato View attachment 3190782View attachment 3190782
Mkuu umeweka screenshots ambazo bado ni mashkolo, najaribu kukuelewa alafu nashindwa.

Labda nieleze in a plain language hao crdb Faida kwa mwaka 2013 ilikuaje, 2014 ilikuaje, 2015, ilikuaje 2016, ilikuaje, 2017,2018,2019 na 2020.
 
nimkuletea financial statement ya crdb zikioneha kushuka kwa mapato kuanzia 2016 mpaka 2017 huku yale ya mwaka 2014 na 2013 yakiwa twice ya hio miaka hiyo ni kwa crdb , fiiria kwa benk ndogo kama faida ya cdrb kwa 2017 lishuka kwa zaidi ya 40% fikiria kwa benk ndogo hali ilikuwaje
Highlights hizo faida za hiyo crdb from hiyo 2013. In a plain language

Pia kutoka hiyo 2016,2017 kuelekea 2020 napo ilikuaje.

Nimejaribu kukuelewa ulicholeta but sijakuelewa
 
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imeandikisha rekodi Mpya ya Mapato ya nusu mwaka Kwa kukusanya zaidi ya Trilioni 16.5 kwa.kioindi Cha miezi 6 au nusu mwaka ya mwaka wa Fedha 2024/2025.

Kiwango hicho ni Cha Juu zaidi kuwahi kufikiwa na TRA huku ikiwa ni ufanisi wa asilimia 103% yaani imevuka malengo.

Pia soma TRA yaweka rekodi ya kukusanya Trilioni 27.6 kwa mwaka 2023/2024

Aidha mwezi Disemba pekee imekusanya takribani Shilingi Trilioni 3.5 ikiwa ni Juu ya lengo la Trilioni 3.


My Take
Hongera sana Kwa TRA na walipakodi wote nimiwemo mimi.

Hongera sana Rais Samia, hongera Kwa Waziri Mwigulu Kwa kukusanya Kodi bila dhuluma na kuvuka malengo , haijawahi tokea tangu TRA kuanzishwa.

Tunatoka wito wa matumizi sahihi ya Kodi zetu na pia juhudi zaidi za kukusanya Mapato,Bado ukwepaji Kodi ni mkubwa na watu hawatoi Wala kudai risiti inavyostahili.
---

TRA YAKUSANYA TRILIONI 16.528 SAWA NA UFANISI WA 104.76% | MATOKEO UTEKELEZAJI AGIZO LA DKT SAMIA KWA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA

Kamishna mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema katika Robo ya Pili ya Mwaka wa Fedha 2024/2025, Mamlaka hiyo imefanikiwa kukusanya Shilingi Trilioni 16.528, sawa na ufanisi wa asilimia 104.76 katika ukusanyaji wa Trilioni 15.778, ambapo ukuaji wake ukiwa ni asilimia 18.77, ikilinganishwa na kiasi cha Shilingi trilioni 13.917 iliyokusanywa katika mwaka wa Fedha uliopita wa 2023/ 2024.

Kamishna Mkuu Mwenda amebainisha hayo Jijini Dar es Salaam leo Januari 01, 2025, wakati akitoa Taarifa ya Makusanyo ya Kodi kwa Kipindi cha Mwezi Julai hadi Disemba kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi na Menejimenti ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

"Vile vile TRA imefanikiwa kuvuka lengo la Makusanyo ndani ya miezi sita mfululizo katika nusu ya kwanza kuanzia Mwezi Julai hadi Disemba ya mwaka wa Fedha 2024/2025, huku Wastani wa Kiwango cha Makusanyo kwa mwezi ukiongezeka kwa asilimia 18, kutoka Wastani wa Shilingi Trilioni 2.319 mwaka wa Fedha 2023/ 2024 hadi wastani Trilioni 2.755 kwa Mwezi katika mwaka wa Fedha 2024/2025" amesema Kamishna Mwenda.

Aidha Kamishna Mwenda amesema mafanikio hayo ni kuendelea kutekeleza kwa Vitendo maagizo na Maelekezo ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

"Katika moja ya maelekezo ya Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, Sisi kama TRA tumeendelea kuhamasisha Ulipaji Kodi kwa Hiyari, Kusikiliza na kutatua changamoto za walipakodi wote waliopo nchini, huku tukiimarisha Ushirikiano baina ya TRA na Wizara ikiwemo Taasisi na Ofisi zingine za Serikali katika Usimamizi wa Sera za kodi na Ufanyaji wa Biashara hapa Nchini" amesema Kamishna Yusuph Mwenda.
Kicheko kwa wachache
 
Highlights hizo faida za hiyo crdb from hiyo 2013. In a plain language

Pia kutoka hiyo 2016,2017 kuelekea 2020 napo ilikuaje.

Nimejaribu kukuelewa ulicholeta but sijakuelewa
point yako ilikuwa bank zimekuwa zikiripot ongezeko kila mwaka na sababu yako kuu imekuwa ni inflation sasa hoja imekuja kama zilikuwa zinaripoti ongeeko la faida ikawaje mwaka 2016 to 2017 zikadrop almost by a half wakatvalue ya dollr iikuwa juu zaid ya mwaka 2013
1735833503554.png
 
Back
Top Bottom