TRA yaweka rekodi ya kukusanya Trilioni 27.6 kwa mwaka 2023/2024

TRA yaweka rekodi ya kukusanya Trilioni 27.6 kwa mwaka 2023/2024

Daily transactions na ujazo wa pesa uliopo kwenye mzunguko ndio balance zenyewe hizo
Kwa hiyo transactions za June 30th, hazitatumika coz mwaka wa fedha ulishaisha, punguani wahed wewe.

Endeleeni kununua vx v8 huku huduma muhimu kwa watanzania zikiwa mbovu, ufisadi na wizi wa fedha za umma ukiwa kiwango cha kutisha na huku mkuendelea kuteka na kuua.
 
Kwa hiyo transactions za June 30th, hazitatumika coz mwaka wa fedha ulishaisha, punguani wahed wewe.

Endeleeni kununua vx v8 huku huduma muhimu kwa watanzania zikiwa mbovu, ufisadi na wizi wa fedha za umma ukiwa kiwango cha kutisha na huku mkuendelea kuteka na kuua.
Serikali ikikusanya pesa inazitoa mda mfupi zaidi Ili sikatumike kukuza Uchumi,ukifanya holding utakwamisha mzunguko wa Uchumi.

Pesa inayoweza kutunzwa ni ya Dharura tuu nayo ni Kwa mda maalumu sana,hata hivyo mda wote hela zinaingia na kutoka.

Mwisho walau hela ambayo inakaa Benki/BoT Kwa kiasi Fulani ni Foreign Currency na inatunzwa Kwa kumonotor mwensendonwa soko kwa Ajili ya regulation tuu,Kwa pesa ya ndani labda Ile ambayo Iko in excess of the required amount in circulation.
 
Serikali ikikusanya pesa inazitoa mda mfupi zaidi Ili sikatumike kukuza Uchumi,ukifanya holding utakwamisha mzunguko wa Uchumi.

Pesa inayoweza kutunzwa ni ya Dharura tuu nayo ni Kwa mda maalumu sana,hata hivyo mda wote hela zinaingia na kutoka.

Mwisho walau hela ambayo inakaa Benki/BoT Kwa kiasi Fulani ni Foreign Currency na inatunzwa Kwa kumonotor mwensendonwa soko kwa Ajili ya regulation tuu,Kwa pesa ya ndani labda Ile ambayo Iko in excess of the required amount in circulation.
Kaungane na agrey yule Shoga mwenzako
 
Serikali ikikusanya pesa inazitoa mda mfupi zaidi Ili sikatumike kukuza Uchumi,ukifanya holding utakwamisha mzunguko wa Uchumi.

Pesa inayoweza kutunzwa ni ya Dharura tuu nayo ni Kwa mda maalumu sana,hata hivyo mda wote hela zinaingia na kutoka.

Mwisho walau hela ambayo inakaa Benki/BoT Kwa kiasi Fulani ni Foreign Currency na inatunzwa Kwa kumonotor mwensendonwa soko kwa Ajili ya regulation tuu,Kwa pesa ya ndani labda Ile ambayo Iko in excess of the required amount in circulation.
Unaelewa nachomaanisha au unakurupuka na shule yako ya MEMKWA?
 
Sasa sisi huku Tanganyika Mwaka 23_24 bajeti ilikua Trilioni 44, makusanyo trilioni 27, pungufu ya 17 sawa na 40%.

Mwaka huu tumeweka almost Trilioni 50. Makusanyo ya kujitahidi yatafika Trilioni 30, pungufu ya Trilioni 20 sawa na 40%.

Sisi miaka nenda rudi bajeti yetu kwa 40% ama zaidi imekua ikitegemea, mikopo, wahisani, misaada, ruzuku nk.

Watanzania tuko 60+, walipakodi nchi hii wako below 3.5m, shida iko hapa. Ukiangalia TRA haijaweza kupanua wigo wa walipakodi, haiwezekani Watanzania milioni 65 walipa kodi ni milioni 3 tu. Hata ukisema wazee na watoto, wasiojiweza nk wako 40m, maana yake watu waliopaswa kulipa kodi ni 20m, ila sasa wako 3m, 17m wapo tu mtaani wanakula maisha.

Tukiweza kuongeza tax base yetu kufikia hata 6m, tunaweza kugharimia bajeti yetu kwa 70% to 90%.

Bado tuna kazi kubwa sana.
 
TRA hii inayojichotea pesa kwenye accounts za watu ndiyo mnaita makusanyo au ni uporaji tu..

Hayo makusanyo makubwa yanaenda wapi sasa kama miradi inasimama kwa ukata.
 
Makusanyo ya TRA hayana maana kama report ya Ujambazi ya CAG haifanyiwi kazi..hao lazima wavunje rekodi kwa jinsi wanavyowakaba Wananchi wasaka nyoka...
 
Sasa sisi huku Tanganyika Mwaka 23_24 bajeti ilikua Trilioni 44, makusanyo trilioni 27, pungufu ya 17 sawa na 40%.

Mwaka huu tumeweka almost Trilioni 50. Makusanyo ya kujitahidi yatafika Trilioni 30, pungufu ya Trilioni 20 sawa na 40%.

Sisi miaka nenda rudi bajeti yetu kwa 40% ama zaidi imekua ikitegemea, mikopo, wahisani, misaada, ruzuku nk.

Watanzania tuko 60+, walipakodi nchi hii wako below 3.5m, shida iko hapa. Ukiangalia TRA haijaweza kupanua wigo wa walipakodi, haiwezekani Watanzania milioni 65 walipa kodi ni milioni 3 tu. Hata ukisema wazee na watoto, wasiojiweza nk wako 40m, maana yake watu waliopaswa kulipa kodi ni 20m, ila sasa wako 3m, 17m wapo tu mtaani wanakula maisha.

Tukiweza kuongeza tax base yetu kufikia hata 6m, tunaweza kugharimia bajeti yetu kwa 70% to 90%.

Bado tuna kazi kubwa sana.
Unaamini kwamba ni kweli ni watanzania m. 3 tu ndio wamelipa hizo trillioni 27.6
na watu wengine hawajachangia kulipa hizo kodi.
 
Unaamini kwamba ni kweli ni watanzania m. 3 tu ndio wamelipa hizo trillioni 27.6
na watu wengine hawajachangia kulipa hizo kodi.
Tax base ni 15% tuu wakati ilitakiwa tuwe zaidi ya 30%,watu hawalipi kodi
 
TRA hii inayojichotea pesa kwenye accounts za watu ndiyo mnaita makusanyo au ni uporaji tu..

Hayo makusanyo makubwa yanaenda wapi sasa kama miradi inasimama kwa ukata.
Haiwezi kuchota kama huna makosa
 
Sasa sisi huku Tanganyika Mwaka 23_24 bajeti ilikua Trilioni 44, makusanyo trilioni 27, pungufu ya 17 sawa na 40%.

Mwaka huu tumeweka almost Trilioni 50. Makusanyo ya kujitahidi yatafika Trilioni 30, pungufu ya Trilioni 20 sawa na 40%.

Sisi miaka nenda rudi bajeti yetu kwa 40% ama zaidi imekua ikitegemea, mikopo, wahisani, misaada, ruzuku nk.

Watanzania tuko 60+, walipakodi nchi hii wako below 3.5m, shida iko hapa. Ukiangalia TRA haijaweza kupanua wigo wa walipakodi, haiwezekani Watanzania milioni 65 walipa kodi ni milioni 3 tu. Hata ukisema wazee na watoto, wasiojiweza nk wako 40m, maana yake watu waliopaswa kulipa kodi ni 20m, ila sasa wako 3m, 17m wapo tu mtaani wanakula maisha.

Tukiweza kuongeza tax base yetu kufikia hata 6m, tunaweza kugharimia bajeti yetu kwa 70% to 90%.

Bado tuna kazi kubwa sana.
Acha kukurupuka.Vyanzo vya Mapato ya Bajeti ni
-TRA
-Idara na wakala za serikali
-Makusanyo ya Halmashauri
-Mikopo
-Misaada ya wahisani
-Magawio kutoka mashirika ya serikali

Ni vyema mkawa mnajielimosha na mambo haya kabla ya kuchangia Ili msipotoshe au kuonekana wajinga 👇👇
Screenshot_20240613-231521.jpg
Screenshot_20240613-234715.jpg
 
Licha ya mgomo na Hujuma za wafanyabiashara waliochochewa Kisiasa ila TRA imeandika rekodi ya Kukusanya Shilingi Trilioni 7.3 robo ya mwisho wa mwaka (April-June) na pia imefanikiwa kukusanya Shilingi Trilioni 27.6 Kwa mwaka mzima kati ya lengo la kukusanya Trilioni 28.3.👇👇
---
Menejimenti ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi imesema katika kipindi cha Mwaka wa Fedha 2023/24, imefanikiwa kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa 97.67% ya lengo la kukusanya Tsh. trilioni 28.30.

Taarifa iliyotolewa leo July 01,2024 na Kamishna Mkuu wa TRA, Alphayo Kidato imesema “Makusanyo haya ni ongezeko la 14.50% ikilinganishwa na makusanyo ya Tsh. trilioni 24.14 katika Mwaka wa Fedha uliopita, 2022/23”

“Katika kipindi cha robo mwaka ya nne yaani Aprili - Juni, 2024, TRA imefanikiwa kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 7.09, sawa na ufanisi wa 99.46% ya lengo la kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 7.13, makusanyo haya ni ongezeko la 24% ukilinganisha na kiasi cha Tsh. trilioni 5.72 kilichokusanywa katika kipindi kama hicho kwa Mwaka wa Fedha uliopita 2022/23”

Tunaendelea kuweka rekodi sawa za Rais Samia.Alikuta Mapato ya Juu kabisa Kwa mwezi ni 1.5T(2020/2021) na Sasa ameyafikisha 2.5T(2024/25) yaani ongezeko la Trilioni 1 ndani ya miaka 4.

Kuna Marais wakiongeza Bilioni 500 tuu Kwa miaka 5 ila Makelele waliyokuwa wakipinga Sasa hatukunywa maji.

Saizi Wana wimbo wao Mpya Utasikia watu wanapiga sana hela awamu hii ila ukiwaambia wakati hawapigi hela pesa ziliwmda wapi wataishia kutukana 😂😂😂😂😂.

My Take
Hongera TRA Kwa kazi nzuri, Hongera Samia Kwa kukusanya Kodi kubwa na hongera walipakodi wote.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C85cFw2tnIh/?igsh=YWhram1xcGY4cjli

Mambo ya Kugoma sio dili ,tunajichelewesha na kuchelewesha maendeleo ya Nchi.

Samia Mama wa Taifa ndio gwiji wa Uchumi wa Kisasa ,mama Anatosha na chenji inabaki.

Kwa ambaye hafanyi biashara ataona kugoma ni ukorofi lakini huyohuyo ukimpa biashara ya duka kisha mtu apange biashara ileile anayoifanya mbele ya duka lake atagombana! Kuna maeneo mengi wafanyabiashara wanaotozwa kodi ni robo tu ya wamachinga wasiolipa kodi huku wakiwa na bidhaa za gharama kubwa sawa na wenye maduka.
 
Una uhakika haifanyiwi kazi?
Kulipa mishahara tu na kuiba uliona wapi watu wanapewa mradi harafu Waziri Mkuu anawapitia kuwakagua na kuwasihi watu wawe makini na fedha za Umma kama watu wamepewa Mradi wameboronga wapelekwe mahakamani huko kuliko kupita kila siku na kutoa masharti ya kisiasa tu..
 
Licha ya mgomo na Hujuma za wafanyabiashara waliochochewa Kisiasa ila TRA imeandika rekodi ya Kukusanya Shilingi Trilioni 7.3 robo ya mwisho wa mwaka (April-June) na pia imefanikiwa kukusanya Shilingi Trilioni 27.6 Kwa mwaka mzima kati ya lengo la kukusanya Trilioni 28.3.👇👇
---
Menejimenti ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi imesema katika kipindi cha Mwaka wa Fedha 2023/24, imefanikiwa kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa 97.67% ya lengo la kukusanya Tsh. trilioni 28.30.

Taarifa iliyotolewa leo July 01,2024 na Kamishna Mkuu wa TRA, Alphayo Kidato imesema “Makusanyo haya ni ongezeko la 14.50% ikilinganishwa na makusanyo ya Tsh. trilioni 24.14 katika Mwaka wa Fedha uliopita, 2022/23”

“Katika kipindi cha robo mwaka ya nne yaani Aprili - Juni, 2024, TRA imefanikiwa kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 7.09, sawa na ufanisi wa 99.46% ya lengo la kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 7.13, makusanyo haya ni ongezeko la 24% ukilinganisha na kiasi cha Tsh. trilioni 5.72 kilichokusanywa katika kipindi kama hicho kwa Mwaka wa Fedha uliopita 2022/23”

Tunaendelea kuweka rekodi sawa za Rais Samia.Alikuta Mapato ya Juu kabisa Kwa mwezi ni 1.5T(2020/2021) na Sasa ameyafikisha 2.5T(2024/25) yaani ongezeko la Trilioni 1 ndani ya miaka 4.

Kuna Marais wakiongeza Bilioni 500 tuu Kwa miaka 5 ila Makelele waliyokuwa wakipinga Sasa hatukunywa maji.

Saizi Wana wimbo wao Mpya Utasikia watu wanapiga sana hela awamu hii ila ukiwaambia wakati hawapigi hela pesa ziliwmda wapi wataishia kutukana 😂😂😂😂😂.

My Take
Hongera TRA Kwa kazi nzuri, Hongera Samia Kwa kukusanya Kodi kubwa na hongera walipakodi wote.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C85cFw2tnIh/?igsh=YWhram1xcGY4cjli

Mambo ya Kugoma sio dili ,tunajichelewesha na kuchelewesha maendeleo ya Nchi.

Samia Mama wa Taifa ndio gwiji wa Uchumi wa Kisasa ,mama Anatosha na chenji inabaki.

Kwa makusanyo haya Serikali ingeshindwa kulipa madeni ya makandarasi? Endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe
 
Licha ya mgomo na Hujuma za wafanyabiashara waliochochewa Kisiasa ila TRA imeandika rekodi ya Kukusanya Shilingi Trilioni 7.3 robo ya mwisho wa mwaka (April-June) na pia imefanikiwa kukusanya Shilingi Trilioni 27.6 Kwa mwaka mzima kati ya lengo la kukusanya Trilioni 28.3.👇👇
---
Menejimenti ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi imesema katika kipindi cha Mwaka wa Fedha 2023/24, imefanikiwa kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa 97.67% ya lengo la kukusanya Tsh. trilioni 28.30.

Taarifa iliyotolewa leo July 01,2024 na Kamishna Mkuu wa TRA, Alphayo Kidato imesema “Makusanyo haya ni ongezeko la 14.50% ikilinganishwa na makusanyo ya Tsh. trilioni 24.14 katika Mwaka wa Fedha uliopita, 2022/23”

“Katika kipindi cha robo mwaka ya nne yaani Aprili - Juni, 2024, TRA imefanikiwa kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 7.09, sawa na ufanisi wa 99.46% ya lengo la kukusanya kiasi cha Tsh. trilioni 7.13, makusanyo haya ni ongezeko la 24% ukilinganisha na kiasi cha Tsh. trilioni 5.72 kilichokusanywa katika kipindi kama hicho kwa Mwaka wa Fedha uliopita 2022/23”

Tunaendelea kuweka rekodi sawa za Rais Samia.Alikuta Mapato ya Juu kabisa Kwa mwezi ni 1.5T(2020/2021) na Sasa ameyafikisha 2.5T(2024/25) yaani ongezeko la Trilioni 1 ndani ya miaka 4.

Kuna Marais wakiongeza Bilioni 500 tuu Kwa miaka 5 ila Makelele waliyokuwa wakipinga Sasa hatukunywa maji.

Saizi Wana wimbo wao Mpya Utasikia watu wanapiga sana hela awamu hii ila ukiwaambia wakati hawapigi hela pesa ziliwmda wapi wataishia kutukana 😂😂😂😂😂.

My Take
Hongera TRA Kwa kazi nzuri, Hongera Samia Kwa kukusanya Kodi kubwa na hongera walipakodi wote.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C85cFw2tnIh/?igsh=YWhram1xcGY4cjli

Mambo ya Kugoma sio dili ,tunajichelewesha na kuchelewesha maendeleo ya Nchi.

Samia Mama wa Taifa ndio gwiji wa Uchumi wa Kisasa ,mama Anatosha na chenji inabaki.

hakuna kitu ni ilikujaza matumbo ya wanaccm na kutunisha akaunti za watoto wao
 
Back
Top Bottom