TRA yaweka rekodi ya kukusanya Trilioni 27.6 kwa mwaka 2023/2024

TRA yaweka rekodi ya kukusanya Trilioni 27.6 kwa mwaka 2023/2024

Huo ni usanii tu, hakuna kipya cha maana. Ngoja nikupe shule kidogo hapa.

1. Thamani ya shilingi yetu imeshuka sana, hivyo tarakimu kubwa za mapato kwa kutumia shilingi yetu haziakisi uhalisia.

2. Mfumuko wa bei ni mkubwa sana na hilo litaakisi pia kwenye makusanyo ya kodi kuwa na tarakimu kubwa, lakini ukija kwenye uhalisia hayo mapato sio chochote kwenye kutumika kulipia huduma au manunuzi ya bidhaa.

3. Mfumo wa ukusanyaji mapato kwa TRA umejikita kumnyonya mlaji wa mwisho, na kitakwimu idadi ya watanzania inaongezeka kwa zaidi ya watu milioni moja kwa mwaka, hivyo automatically mapato ya TRA yataongezeka kufuata hilo.
Umemaliza muzee.
 
Chura kiziwi anatetewa na watu wapumbavu sana!

Unajiuliza mikopo yote toka kwa mashoga zake huko uarabuni anafanya nini kama makusanyo ndio hayo?

Hakuna mradi hata mmoja wa maana kwamba ndio unamaliza hela!

Chura kiziwi anafanyia nini hizi hela?
 
Huo ni usanii tu, hakuna kipya cha maana. Ngoja nikupe shule kidogo hapa.

1. Thamani ya shilingi yetu imeshuka sana, hivyo tarakimu kubwa za mapato kwa kutumia shilingi yetu haziakisi uhalisia.

2. Mfumuko wa bei ni mkubwa sana na hilo litaakisi pia kwenye makusanyo ya kodi kuwa na tarakimu kubwa, lakini ukija kwenye uhalisia hayo mapato sio chochote kwenye kutumika kulipia huduma au manunuzi ya bidhaa.

3. Mfumo wa ukusanyaji mapato kwa TRA umejikita kumnyonya mlaji wa mwisho, na kitakwimu idadi ya watanzania inaongezeka kwa zaidi ya watu milioni moja kwa mwaka, hivyo automatically mapato ya TRA yataongezeka kufuata hilo.
Tu s
Kwa hiyo transactions za June 30th, hazitatumika coz mwaka wa fedha ulishaisha, punguani wahed wewe.

Endeleeni kununua vx v8 huku huduma muhimu kwa watanzania zikiwa mbovu, ufisadi na wizi wa fedha za umma ukiwa kiwango cha kutisha na huku mkuendelea kuteka na kuua.


Kosa kubwa linalofanywa naserikali ni kuruhusu mianya kupotea kwa fedha za umma.

Palitakiwa pawe na control namba moja inayotolewa na hazina tuu.Kila pesa iingie hazina.

KuleTanapa tunapoteza fedha zinazotosha kuendesha nchi .
Kule Bandarini tunapoteza pesa zinazoweza kuendesha nchi .

Kwenye mashirika ya umma ukianza na Tanesco n.k, tunapoteza pesa zinazotosha kiendesha wizara mbili mpaka tatu.

Latra na Trafiki makusanyonyo yake yanatosha kuendesha wizara.
Makusanyo mengi Halmashauri na majiji na mijiji yanaishia mifukoni mwa watu na matumizi ya anasa tu.

Fedha zote hizo zingekua zinaingia hazina moja kwa moja bila shaka tungekua tunakusanya zaidi ya Tril. 100 kwa mwaka .
Tusingekwenda kukopa pesa kwenye taaisisi na mashirika ya mashoga duniani.
 
Tu s



Kosa kubwa linalofanywa naserikali ni kuruhusu mianya kupotea kwa fedha za umma.

Palitakiwa pawe na control namba moja inayotolewa na hazina tuu.Kila pesa iingie hazina.

KuleTanapa tunapoteza fedha zinazotosha kuendesha nchi .
Kule Bandarini tunapoteza pesa zinazoweza kuendesha nchi .

Kwenye mashirika ya umma ukianza na Tanesco n.k, tunapoteza pesa zinazotosha kiendesha wizara mbili mpaka tatu.

Latra na Trafiki makusanyonyo yake yanatosha kuendesha wizara.
Makusanyo mengi Halmashauri na majiji na mijiji yanaishia mifukoni mwa watu na matumizi ya anasa tu.

Fedha zote hizo zingekua zinaingia hazina moja kwa moja bila shaka tungekua tunakusanya zaidi ya Tril. 100 kwa mwaka .
Tusingekwenda kukopa pesa kwenye taaisisi na mashirika ya mashoga duniani.
Unaijua Trilioni 100 wewe? Kuwa na namba Moja ndio Serikali inafanyia kazi Ili kuwapunguzia wafanyabiashara usumbufu wa kulipia kila taasisi.
 
Huo ni usanii tu, hakuna kipya cha maana. Ngoja nikupe shule kidogo hapa.

1. Thamani ya shilingi yetu imeshuka sana, hivyo tarakimu kubwa za mapato kwa kutumia shilingi yetu haziakisi uhalisia.

2. Mfumuko wa bei ni mkubwa sana na hilo litaakisi pia kwenye makusanyo ya kodi kuwa na tarakimu kubwa, lakini ukija kwenye uhalisia hayo mapato sio chochote kwenye kutumika kulipia huduma au manunuzi ya bidhaa.

3. Mfumo wa ukusanyaji mapato kwa TRA umejikita kumnyonya mlaji wa mwisho, na kitakwimu idadi ya watanzania inaongezeka kwa zaidi ya watu milioni moja kwa mwaka, hivyo automatically mapato ya TRA yataongezeka kufuata hilo.
Porojo za usongo hizo.

Mapato yamepanda au yameshuka?
 
Sawa, ila bado haitoshi
Kwa mfano:
Bajeti 24/25 mapato yetu ni kama 70%, unaingiza laki 7 ila matumizi ni Mil 1,

Kwahiyo, serikali iongeze mapato, ipunguze matumizi au vyote kwa pamoja
Pia ijitahidi kuongeza idadi ya walipa kodi badala ya kuwakamua kupitiliza waliopo
 
Sawa, ila bado haitoshi
Kwa mfano:
Bajeti 24/25 mapato yetu ni kama 70%, unaingiza laki 7 ila matumizi ni Mil 1,

Kwahiyo, serikali iongeze mapato, ipunguze matumizi au vyote kwa pamoja
Pia ijitahidi kuongeza idadi ya walipa kodi badala ya kuwakamua kupitiliza waliopo
Tu s



Kosa kubwa linalofanywa naserikali ni kuruhusu mianya kupotea kwa fedha za umma.

Palitakiwa pawe na control namba moja inayotolewa na hazina tuu.Kila pesa iingie hazina.

KuleTanapa tunapoteza fedha zinazotosha kuendesha nchi .
Kule Bandarini tunapoteza pesa zinazoweza kuendesha nchi .

Kwenye mashirika ya umma ukianza na Tanesco n.k, tunapoteza pesa zinazotosha kiendesha wizara mbili mpaka tatu.

Latra na Trafiki makusanyonyo yake yanatosha kuendesha wizara.
Makusanyo mengi Halmashauri na majiji na mijiji yanaishia mifukoni mwa watu na matumizi ya anasa tu.

Fedha zote hizo zingekua zinaingia hazina moja kwa moja bila shaka tungekua tunakusanya zaidi ya Tril. 100 kwa mwaka .
Tusingekwenda kukopa pesa kwenye taaisisi na mashirika ya mashoga duniani.
Sawa ila wamejitahidi 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C87dRhZt2vR/?igsh=MTZpYzBwcWhmOHYzMw==
 
meneja TRA.jpg
 
Back
Top Bottom